Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Asije kua alikua anatimba kila Ijumaa kwenye Mageto ya hapa KCMC
 
Elimu ya bongo ukihalibu form 4 bola utafte namna nyngne ya kutoka ktk maisha na sio kuludia coz hutatoka daima.....pia kwa div four hata ufundi ktk taasisi znazoeleweka anaeza asipokelewe....mpe mtaj wa bzness akishndwa hapo ozesha akaijaze dunia.....
hapana with 17 leo mwezi wa pili form two bado hawajasajiliwa ampeleke akaanze Form two katika Shule nzuri atapata number kama school candidate na atamaliza tuu akiwa na 20 years na akibahatika kuingia Form 5 atamaliza akiwa na 22 na Chuo atamaliza akiwa na 26
 
MPE jembe akalime lami kufeli form four ni jambo la kushangazaaa kweliii
 
hapana with 17 leo mwezi wa pili form two bado hawajasajiliwa ampeleke akaanze Form two katika Shule nzuri atapata number kama school candidate na atamaliza tuu akiwa na 20 years na akibahatika kuingia Form 5 atamaliza akiwa na 22 na Chuo atamaliza akiwa na 26
Kumbe una ushauri sema basi tuu kichwa ngumu
 
Ongea nae kwanza upate mtizamo wake kwanza kuhusu kurudia mtihani au kwenda kusomea kazi.
Kama kurudia mpe QT
Kama course zipo nyingi mfano
Ususi.upambaji.urembo
Hotel management
Computer graphic designs
Kozi zifuatazo atamaliza ila kazi itamsumbua kwani watadai cheti cha kidato cha 4
Secretarial studies
Record management
Human Resources
Business Administration
etc

Wabongo tunaamini sana kwenye kusoma, yaani tuaamini kusoma vitabu, na walio leta elumu wao kwa sasa kusoma darasani sio ishu tena. Kosa tunalo fanya ni kurazimisha watoto wasome hata kama sio hoby zao, hata kama haipandi.

Na thread hii 90% wanatoa ushauri mtoto arudie, apelekwe kozi mara ufundi, haya ni makosa makubwa sana na yatatugharimu sana.
 
Pole sana,
Kwa hiyo elimu ya la saba sasa kwenda ufundi haitamsaidia; pengine akaanze form one kama hana mwili mkubwa.
 
Swala sio mwili......hiv kafel akiwa yuko mentally fit atafaulu vp ukimpeleka form 1or 2.....peleka ufund au ozesha....mtoa mada inaelekea pia ana amin bila kupga kitab huwez kuwa mtu ktk maisha
 
Mi nakusahauli kama ni first sitting na una uhakika alikuwa na maendeleo mazuri darasani ila imekuwa bahati mbaya mshauri kurudia mtihani mwaka huu kwani Div 0 hata akienda ufundi kwa mifumo ya elimu yetu bongo itakuwa na buree tuu
 
Utakuwa ni mjinga sana kuamini kila anayefeli ni kilaza, nimeona watu waliofanikiwa vizuri kiuchumi japo walifeli shule
Sasa kama kapata F masomo yote utasemaje kafeli kwa bahati mbaya? Muulize vizuri tu kilichomfanya afeli ni kipi hasa?

Chunguza marafiki zake ni wa aina gani? Fuatilia nyendo zake japo sio rahisi,pengine alijua tu kuwa atafeli kwa jinsi alivyofanya au alivyojibu maswali ya mitihani,ila anazuga tu kwako eti hakutegemea?!
 
Swala sio mwili......hiv kafel akiwa yuko mentally fit atafaulu vp ukimpeleka form 1or 2.....peleka ufund au ozesha....mtoa mada inaelekea pia ana amin bila kupga kitab huwez kuwa mtu ktk maisha
Hapana mkuu siyo kweli naamini hivyo, nimeona watu ambao hawana elimu ya darasani wanafanya mambo yao vizuri ila mwisho wa siku inabidi warudi darasani au la waajiri watu waliosoma katika shughuli zao

Kama familia na wanaotuzunguka wote wamepitia pitia shule, sitapenda baadae aje kujisikia vibaya kwamba hana elimu, elimu inasaidia sana ila suala la kufanikiwa katika maisha si lazima sana kuwa na elimu ya darasani japo inasaidia
 
Sasa kama kapata F masomo yote utasemaje kafeli kwa bahati mbaya? Muulize vizuri tu kilichomfanya afeli ni kipi hasa?

Chunguza marafiki zake ni wa aina gani? Fuatilia nyendo zake japo sio rahisi,pengine alijua tu kuwa atafeli kwa jinsi alivyofanya au alivyojibu maswali ya mitihani,ila anazuga tu kwako eti hakutegemea?!
Kweli mkuu
 
Elimu ya bongo ukihalibu form 4 bola utafte namna nyngne ya kutoka ktk maisha na sio kuludia coz hutatoka daima.....pia kwa div four hata ufundi ktk taasisi znazoeleweka anaeza asipokelewe....mpe mtaj wa bzness akishndwa hapo ozesha akaijaze dunia.....
Unataka kusema Biashara inafanywa na watu walioFELI?
 
Wabongo tunaamini sana kwenye kusoma, yaani tuaamini kusoma vitabu, na walio leta elumu wao kwa sasa kusoma darasani sio ishu tena. Kosa tunalo fanya ni kurazimisha watoto wasome hata kama sio hoby zao, hata kama haipandi.

Na thread hii 90% wanatoa ushauri mtoto arudie, apelekwe kozi mara ufundi, haya ni makosa makubwa sana na yatatugharimu sana.
Kiongozi naona umeishia kulaumu bila kushauri hebu mpe NENO mleta mada na wote wenye mawazo usiyopenda yakusoma
 
Back
Top Bottom