Hapo kwenye Red umetisha mkuu.Elimu ya bongo Ukihalibu form 4 bola utafte namna nyngne ya kutoka ktk maisha na sio kuludia coz hutatoka daima.....pia kwa div four hata ufundi ktk taasisi znazoeleweka anaeza asipokelewe....mpe mtaj wa bzness akishndwa hapo ozesha akaijaze dunia.....
Mtu hufanya vizuri zaidi chochote anachopenda! kumpeleka shule tena kama umri unaruhusu ni sawa kama anapenda! ila elimu ya shule sio kila kitu! atafute short course za maana asome! alluminium, mechanics, electrical etc
Kila alefanikiwa hapa duniani amesoma sio? elimu sio kila kituwatu mnachekesha sana Tz bila chetibcha 4m4 si lolote wala chochote atarudi tu kukitafuta, mkuu kwa vile ni wa kike option ya kwanza arisiti tu na ukae umwambie ukweli hata form 2 sio mbaya
Hata mimi nilikuwa nawaza hivi mkuu, asante
Kuna migration ya watu toka Arusha kwenda kilindi kukamata pori la kulima na kufuga, nadhani ni vizuri akaelekea hukoNina uncle wangu kapata matokeo mabaya sana, ambayo sikuyategemea na wala yeye hakuyategemea ila all is well.
Nimekuja kwenu wakuu kuomba ushauri, najua wapo na wengine wengi watakaofaidika na ushauri huu.
Lengo langu nataka asome. Ni options zipi ambazo zinaweza kumsaidia akaendelea kupata elimu kwa hii div 0 yake, binafsi sijakata tamaa na hata yeye nitamshawish asikate tamaa. Ni binti wa miaka 17 alikuwa huko Moshi sasa nikamchukua tupo nae hapa Dar
Kila alefanikiwa hapa duniani amesoma sio? elimu sio kila kitu
Mtafutie shule aanze form two ila aki resit atazeekea shule huyoNina uncle wangu kapata matokeo mabaya sana, ambayo sikuyategemea na wala yeye hakuyategemea ila all is well.
Nimekuja kwenu wakuu kuomba ushauri, najua wapo na wengine wengi watakaofaidika na ushauri huu.
Lengo langu nataka asome. Ni options zipi ambazo zinaweza kumsaidia akaendelea kupata elimu kwa hii div 0 yake, binafsi sijakata tamaa na hata yeye nitamshawish asikate tamaa. Ni binti wa miaka 17 alikuwa huko Moshi sasa nikamchukua tupo nae hapa Dar
Weka mchanganuo wa kila somoMdogo angu amepata div 4 point 28, je ni fani gani anaweza somea? Mpaka sasa nimewaza jeshi na ualimu ila sijajua kama vigezo vya kupata hizo nafasi. Kama kuna mtu ana uelewa wa hizo nafasi au anaweza akatoa ushauri mwingine wa nin afanye nitashukuru.
Weka mchanganuo wa kila somo
Mpeleke VETA atasoma mambo ya ujasilia Mali au Biashara.CIV - 'D' HIST - 'D' GEO -
'D' KISW - 'C' ENGL - 'D'
PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO
- 'D' B/MATH - 'F'