Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Kama bado ana nia ya kusoma na wewe unauwezo wa kumsomesha mtafutie shule aanze form two.
Nasema hivi kwani hii situation ilinitokea na mimi. Nina mjomba angu nae alipata div 0 ila nikamtafutia shule akarudia form two na amefanya mtihani last year jana matokeo yametoka amepata division two ya points 19.
Kwahiyo msikilize yeye kama anataka shule bado do like that ila usimlazimishe.
Atleast kwa sasa hivi mtoto ukitaka aende vzr apate angalau first degree maisha ni magumu sana kitaa bila hata kadegree kimoja.
Kadegree sio ishu sana.. ishu ni kuboresha maisha mkuu. Ebu nenda pale k'koo kafanye research ndogo tu kujua ni wangapi wenye degree wanaoparate b'ness pale?
Akikomaa kusaka ngawila na kufanikiwa kuwa nazo shule itajileta yenyewe..
 
Hata mimi nilikuwa nawaza hivi mkuu, asante


Je ana interest nao kwa kiasi gani? unaweza kumpeleka lakini asiwe na interest, naamini kwa sasa ana stress, mpe muda kiasi atulize akili, then mdodose kitu gani angependa kufanya, anaweza kurudia mitihani akafanya vizuri sana
 
Siku hizi watoto wanamaliza form four wakiw bado wadogo kiasi hata kumpeleka ufundi anaweza shindwa hata kushika spana, randa, koleo nk binafsi nakushauri urudie form one hata mrisho mpoto aliwahi imba kuanza upya siyo ujinga..!
😀😀😀😕
 
Kadegree sio ishu sana.. ishu ni kuboresha maisha mkuu. Ebu nenda pale k'koo kafanye research ndogo tu kujua ni wangapi wenye degree wanaoparate b'ness pale?
Akikomaa kusaka ngawila na kufanikiwa kuwa nazo shule itajileta yenyewe..
Anyway ni mtazamo mkuu., ila ninachoamini mimi mtu msomi na ambae hajasoma hata kama wanafanya the same business tofauti ya uendeshaji wao wa shughuli tofauti ni kubwa sana.
Kwanza aliesoma kukabiliana na mabadiliko na dhoruba yeyote itakayomkuta ni rahisi sana tofauti na ambae haja soma.
Duniani inabadilika kwa kasi sana with money education is important, fikiria umejiingiza kwenye biashara ukiwa form four leaver muda si mrefu itabidi ujiingize kwenye ndoa na mikopo ya benki unadhani ni rahisi sana kupata muda wa kusoma?
 
Kabla hujafanya chochote kumsaidia kwanza kaa nae...umsikikize nayy anafikiria nini kama anataka kuendelea na Masomo mtupe QT then aendelee akitaka Ufundi mpeleke huko itakusaidia sana....Kukupunguzia Stree Nivyema MTU akafanya anachotamani ukimuamulia itakusumbua badae
 
Very strange. Eti halutegemea wala kijana hakutegemea. Hii ni sawa na kijana kutosoma ili baadaye aje aombewe afaulu!

Mzazi/mlezi asiyejua nini cha kutegemea kwa kijana wake ni dhahiri alikuwa hafuatilii maendeleo yake. Sijui jipu la mzazi wa namna hiyo atatumbua nani.
Unajua wazazi/walezi wengi wanashindwa kuendana na kasi ya mdololo wa elimu hapa Nchini. Wanajua jukumu ni kutoa ada na kuguarantee uhakika wa mtoto kuhitimu masomo.
Kumbe ni tofauti kabisa.
Hufuatilii maendeleo ya mtoto hatua kwa hatua halafu mwisho wa siku akifeli unaanza kiyangayanga.
Mtoto asiependa au mwenye kupenda shule utamjua mapema tu kama utafuatilia performance yake. Na kama hajiwezi haraka sana tafuta mbinu mbadala ili kumrahisishia kesho yake..
 
Nenda kawaone walimu wake, wakupe ukweli juu ya uwezo wa mjomba wako na tabia yake kwa ujumla. Pili wewe mwenyewe angalia kama kuna mazingira yaliyochangia kuanguka kwake. Ukishamaliza kufanya uchunguzi binafsi, basi kaa naye kitako, mshauriane kurudia kusoma sekondari. Jambo hili linahitaji hiari ya mtt mwenyewe.
 
Anyway ni mtazamo mkuu., ila ninachoamini mimi mtu msomi na ambae hajasoma hata kama wanafanya the same business tofauti ya uendeshaji wao wa shughuli tofauti ni kubwa sana.
Kwanza aliesoma kukabiliana na mabadiliko na dhoruba yeyote itakayomkuta ni rahisi sana tofauti na ambae haja soma.
Duniani inabadilika kwa kasi sana with money education is important, fikiria umejiingiza kwenye biashara ukiwa form four leaver muda si mrefu itabidi ujiingize kwenye ndoa na mikopo ya benki unadhani ni rahisi sana kupata muda wa kusoma?
Kinachotakiwa ni DISCPLINE katika kila ufanyalo.
Hapo ndipo kila kitu kitawezekana tena kwa wakati muafaka.
 
Nina uncle wangu kapata matokeo mabaya sana, ambayo sikuyategemea na wala yeye hakuyategemea ila all is well.

Nimekuja kwenu wakuu kuomba ushauri, najua wapo na wengine wengi watakaofaidika na ushauri huu.

Lengo langu nataka asome. Ni options zipi ambazo zinaweza kumsaidia akaendelea kupata elimu kwa hii div 0 yake, binafsi sijakata tamaa na hata yeye nitamshawish asikate tamaa. Ni binti wa miaka 17 alikuwa huko moshi sasa nikamchukua tupo nae hapa Dar
Zungumza naye umueleze umuhimu wa elimu kwa maisha yake ya baadaye halafu arudie mitihani. Usipozungumza naye akajua wajibu wake hata umpeleke wapi kama hajui wajibu wake ni kazi bure.
 
Pole sana bwana mkubwa kwa matokeo hayo.
Binafsi nilikuwa na akili sana shuleni.kwa muhula wa kwanza na wa pili wa kidato cha tano nilikiwa namba moja darasani kwa kombi ya pcb.baada ya kufika kidato cha sita niaanzisha mgomo pale shule.baada ya mgomo kuisha nikafukizwa shule but nikaenda mahakamani na nikashinda kesi na kuamriwa kuludi shuleni siku ya kufanya mtihani wa taifa ila shule nyingine yoyote nitayoichagua tofauti na ile niliokuwa nasoma.nikapiga pepa huku nikijua kabisa nikifeli sana basi napata 1.9 kwa maana ya ccc mana nilikuwa najiweza tena kipindi kile ambacho elemu ilikuwa elimu.
Matokeo yakatoka nna div 4 .nikakata rufaa ili warudie kusahihisha mitihani yangu wakasema kuwa jina langu limepigwa saini kwamba hawaruhusiwi kurudia kusahihisha.
So watu wakaanza kunipa ushauri wa kurudia kidato cha tano katika shule ya private ya maana ili nifanye tena pepa .wazazo wangu walikuwa na uwezo wa kunipeleka shule yoyote nitayoichagua ya privateya but ubongo wangu uligoma kukubaliana na ilo swala la kurudia mana nilikuwa sijui sababu iliofanya nifeli.
Nikajichanga mitaa mana nilikuwa mtoto wa mjini so baada ya mwezi nikapata mchongo mpya wa kusoma pre university nje ya nchi na baada ya mwaka unaendelea na mwaka wa kwanza kama mwanachuo.so nikapiga mishe nikafanikiwa na hadi ss nafanya yangu tu kwa wazungu.
Hoja yangu ni kwamba kwanza muulize huyo mtoto kama anahukika kuwa akiludia atafaulu?
Pili muulize anataka nn au anawaza nn?
Miaka 17 kumwambia kuwa arudie kidato cha kwanza ni kupotezeana muda tu.yani amalize kidato cha nne na miaka 21?
Kama unawezo mzuri wa kipesa mtafutie kitu cha kufanya.
 
Uspaniki kufeli mtihan sio kufeli maisha, unaweza mpeleka veta , akarudia pepa, au mdhamin aimbe bongofleva mbona kina diamond ata form four hawaijui
 
Kuna vitu nilazima tuanze kuvikubali kua elimu hailazimishwi,wazazi/walezi wengi tumekua na hii tabia ya kulazimisha sana watoto kung'ang'ana na elimu.

Elimu yetu ni ngumu sana na lugha(kingereza) hasa ndio inayofanya kua ngumu zaidi.mpime uwezo wake kwa vitu vidogodogo vya uelewa ukiona nikichwa maji fanya mpango Wa kumfunza biashara,ufugaji zitakazoendana na uelewa Wa kichwa chake.

Sikila MTU ana kichwa cha shule japo kuna wachache wameweza kulazimisha na kufanikiwa.
 
kufeli mtihani si kufeli maisha....mtie moyo mshauri,kaa nae kwa upendo mpe elimu ya kusaka mapene.
 
Very strange. Eti halutegemea wala kijana hakutegemea. Hii ni sawa na kijana kutosoma ili baadaye aje aombewe afaulu!

Mzazi/mlezi asiyejua nini cha kutegemea kwa kijana wake ni dhahiri alikuwa hafuatilii maendeleo yake. Sijui jipu la mzazi wa namna hiyo atatumbua nani.
Sikutegemea mkuu kutokana na matokeo yake ya vipond vilivyopita, kama mdau mmoja alivyosema huko juu, inawezekana kabisa hata mitihani waliyokuwa wakipewa haikukidhi viwango vya NECTA labda walikuwa wanatudanganya wazazi huwezi kujua, all in all mzazi hawezi kukwepa hizi lawama, binafsi sikuwa nikikaa naye ila nimemchukua alivyomaliza kidato cha nne kwa ajili ya kumuendeleza, kwa hiyo haya matokeo yamekuwa mwiba sana kwake na kwangu...

Ukiona mtu mzima analia mbele za watu ujue kuna jambo
 
Hakuelewa kitu katika safari yake yote ya miaka minne,kumsaidia aanze upya form 1,maana hata ukimpeleka ufundi huyo atakuwa ni fundi wa vilaka tu,siyonwa kutumia akili kutatatua changamoto
 
Nina uncle wangu kapata matokeo mabaya sana, ambayo sikuyategemea na wala yeye hakuyategemea ila all is well.

Nimekuja kwenu wakuu kuomba ushauri, najua wapo na wengine wengi watakaofaidika na ushauri huu.

Lengo langu nataka asome. Ni options zipi ambazo zinaweza kumsaidia akaendelea kupata elimu kwa hii div 0 yake, binafsi sijakata tamaa na hata yeye nitamshawish asikate tamaa. Ni binti wa miaka 17 alikuwa huko Moshi sasa nikamchukua tupo nae hapa Dar
MIMI SIJAOA AND NATAFUTA WIFE KIGEZO MWENYE LEAVING CERTIFICATE
 
Nina uncle wangu kapata matokeo mabaya sana, ambayo sikuyategemea na wala yeye hakuyategemea ila all is well.

Nimekuja kwenu wakuu kuomba ushauri, najua wapo na wengine wengi watakaofaidika na ushauri huu.

Lengo langu nataka asome. Ni options zipi ambazo zinaweza kumsaidia akaendelea kupata elimu kwa hii div 0 yake, binafsi sijakata tamaa na hata yeye nitamshawish asikate tamaa. Ni binti wa miaka 17 alikuwa huko Moshi sasa nikamchukua tupo nae hapa Dar
Elimu ya bongo ukihalibu form 4 bola utafte namna nyngne ya kutoka ktk maisha na sio kuludia coz hutatoka daima.....pia kwa div four hata ufundi ktk taasisi znazoeleweka anaeza asipokelewe....mpe mtaj wa bzness akishndwa hapo ozesha akaijaze dunia.....
 
Back
Top Bottom