Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Hata deci pia ilikuwa na watuw aliokuwa wakivuna na ndio walikuwa mashuhuda mbele ya wengine,tena wanakuwa mashuhuda kwa watu wanaowaamini km ndugu za.Siku linafikia kileleni ni kilio, na gonjwa kaenda okota ndugu yako na kawaletea kwa furaha kabisa.Ndio tabia ya MLM nyingi ku nyonya kupitia unduku,uhusiano wa watu.Watu wanaoaminian ni rahisi kuuzia, kwa vile kuna wanaofuata watu, kuna wanao onea wengine aibu,kuna wanaofuata mkumbo, kuna wanaoona watadhalilika mbele ya wenzao wanaojituma, na kuna watakaogopa kumwambia mtu wa karibu no huku ni king`ang`anizi.Mbaya zaidi ndugu king`ang`anizi mwenye ushuhuda wa transaction ni ngumu kumtosa,na kuweka hela hata kuuza chips.Mbona akina mangi wanauza vitu vya kawaida na wanapiga hela haswa?Hawana vilio vya matozi wa mjini.
una andika mashudu afu unajiona ume andika mwenyew kumbe shudu
bf95f3ec5986ca7228fa862fbd9ee770.jpg

ukitaka kumficha mtanzania kitu mwekee kwenye maandishi..
Elimu Elimu Elimu....
una fananisha Forex na Deci??, Forever Living??
kazi kwel kwel Bongo bado tuna safari ndefu
 
6c70254a3bc281000ae1ec07a2895016.jpg

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
khaaaa hii ni saa7 usiku dk53 ndo nimepata nafas ya kuupitia huu uzi nakutana na hii comment yako aisee we mzee embu acha kutuvunja mbavu hivi hata shule ulipata kwenda kwel ww ume shindwa hata kuji ongeza kuingia google na ku type ....what is forex ???
unakuja kuandika kua watu wana lipwa kutokana na izo ada wanazo lipa kweli??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

ume andka maneno meengi kuna watu wana kupuuza ila mimi siwez kukupuuza aisee
we ni kilaza narudia tena aisee we ni kilaza
... usijifanye mjuaji kwa mambo usiyo yajua
Acheni ujinga nyie watoto.Msiwe km wale wanaomba hela home na kuingia studio dkk kumi wanatoka na single yao kisha wanjiita wanamuziki. Hicho kitabu hakihusini na huu upatu wehu nyie.Mnakuwa marsta wanavyojifanya wansoma biblia na bangi. Kuwa ktk intenet ndio kunafanya iwahudumie watu wengi ila hakuna forex hapo. Forex kwa hela kuuzina nyie kwa nyie dollar?Hizo currency sijui 3 mlizoweka wavivu nyie ndio mnauzian nyie kwa nyie huku mnadrai hela hakuna hela mpya inaingia km faia ktk system.Mnadanganya tuu ni simulation ya system. wao walipaswa kuizungusha hiyo hela masomo mengine ikalete faida.hayo masomo mengine hawana guarantee ya faida.Ambayo watakuja wapa nyie faida ktk mzunguko mwingine kati yao na ninyi. Ndio maana kuna upatu pembeni wa kuchukua hela za kugawana.Cumpute programm inafanya simulation,Muone dat azinakwenda ila inacheza na kiasi fulani cha upatu kinazungushwa mnaonyeshwa km faida.

Sihitaji kuwalazimshiah ila trust me very soon mtakuw amikoni mwa BOT.Mtaimba.Kesho someni sheria za fedha. Na hamna hata depositi nono BOT ya kufidia watu mnaowaaminisha na ksuhukua hela zao za mafunzo,na ujinga mwingine kila mwezi .Mbaya zaidi hela mnazochukua ni kiduchu waliopo nje ya sheria za bongo wanachukua nyingi zaidi.Mtaumia sana.
 
Matusi na kejeli za nini sasa? Ajibiwe maswali yake ili kuondoa utata, mnapotoa kejeli na matusi badala ya kutoa majibu, mnajenga wasiwasi na maswali mengi kwa watu wengi wanaotaka kuingia kwa mafunzo yenu juu ya ukweli wake. Mpeni majibu kwa maswali yake
hakuna anacho kijua uyu bwana mi namshusha vyeo kwa kua ana fananishaje foreign exchange trade/market na forever living??
Damn it Seriously???
afu maneno meeengi nikajua kuna anacho jua bas kumbe mboyoyo miiingi ana piga
una sema forex ni ponzi embu tuambie hao waanzilishi wake n akina nani??
na haya mabenk yanayo trade foreign currency kweny Interbanks nayo ni Scam??

Huyu jama mnayemtukana ana ponti ajibiwe kwa hoja na wala sio kwa matusi na kuonyesha vi statement vya dollar 100 ,huku mkihubiri u bilionea. Mtuambie ninyi mnaojiita TMT ni akina nani mekwisha faidika na nini na sio kuonesha tuu vi statement vya kutengeneza na kajamaa cha malawi kamepiga picha na gari ili watu washawishike waingie kwenye tanuru la moto huku ninyi mkipata mgao wenu wa pyramidy jinsi wajinga wanavyoongezeka kujiunga?

Hawa jamaa ni wacheza upatu waliokubuhu,na wanaamini kuwa wametangulia kwa hiyo liwalo na liwe hakitalala kwao sasa wanajua nitasanua ng`ombe wao wa maziwa. Nilichokuwa nataka ni waweke wazi tuu ukweli wa haya mambo na risk iliyopo ili watu wasije kopa, au kuweka chakula ya watoto ktk hii issue.Nimehoka kuona watu wakiteseka mitaani huku wakifanyiwa mizaha kuwa hwajui kuwa aggressive.ndio maana hata maccm nayachukia kwa hizi tabia.Yanadhani kujipendekeza na kubebwa ni kazi ambayo watanzani wote wanaweza ufanya.Ndio maana wakizidi wengi wa kujipendekeza napo kuna kugumu km ajira halali.Ni bora tuu nchi ikafanya mambo halali na kujenga mifumo inayoweza ongeza ajira watu wapate kazi kwa ujuzi wao.
 
una andika mashudu afu unajiona ume andika mwenyew kumbe shudu
bf95f3ec5986ca7228fa862fbd9ee770.jpg

ukitaka kumficha mtanzania kitu mwekee kwenye maandishi..
Elimu Elimu Elimu....
una fananisha Forex na Deci??, Forever Living??
kazi kwel kwel Bongo bado tuna safari ndefu
usichojua ktk neno FOREX ni kwamba jamaa wamemix km ilivyo kuwa MOBITEL(Ni mobile Telephone), ni jina la jumla la handset.Ila ni jina la kampuni iliyokuja fiki kuitwa Tigo.Na wapo ktk bishara ya huduma za simu za mkononi. Na pia wapo ktk pesa ndani ya huo mfumo.Km ilivyo upatu ktk forex.Sasa uikibishana kuwa nisifananishe Mobitel na voda, na halotel etc.Tunapoongelea suala la pesa.Utakuwa unajichanganya vitu vingi sana.ndio shida kuruka stage.utadhani unajua sana kumbe unalet ahasara tuu nyingin ehutoweza lipa hadi ufe.hata ukiti ahuruma hakuna wa kukusaidia kwa vile utakuw auameharibu sana.Nikuhauri tuu fanya km wewe ila usifanya biashrara km bank. ujiandae kubeba dhamana. Kiini cha hizo huduma ni upatu ulifungwa ktk forex. hao akina voda wenyewe wamefunga huduma za pesa kwa kujiunga na bank ili watumie leseni zao.Wao wakabajifisha ktk technology.Ndio wote hao niliokutajia .ahlafu unafanya mizaha km viel upo sahihi.Kupata hela hata wezi wanapata hela ili wawaonyeshe wengine wapate hakika na kuvutiwa .
 
Acheni ujinga nyie watoto.Msiwe km wale wanaomba hela home na kuingia studio dkk kumi wanatoka na single yao kisha wanjiita wanamuziki. Hicho kitabu hakihusini na huu upatu wehu nyie.Mnakuwa marsta wanavyojifanya wansoma biblia na bangi. Kuwa ktk intenet ndio kunafanya iwahudumie watu wengi ila hakuna forex hapo. Forex kwa hela kuuzina nyie kwa nyie dollar?Hizo currency sijui 3 mlizoweka wavivu nyie ndio mnauzian nyie kwa nyie huku mnadrai hela hakuna hela mpya inaingia km faia ktk system.Mnadanganya tuu ni simulation ya system. wao walipaswa kuizungusha hiyo hela masomo mengine ikalete faida.hayo masomo mengine hawana guarantee ya faida.Ambayo watakuja wapa nyie faida ktk mzunguko mwingine kati yao na ninyi. Ndio maana kuna upatu pembeni wa kuchukua hela za kugawana.Cumpute programm inafanya simulation,Muone dat azinakwenda ila inacheza na kiasi fulani cha upatu kinazungushwa mnaonyeshwa km faida.

Sihitaji kuwalazimshiah ila trust me very soon mtakuw amikoni mwa BOT.Mtaimba.Kesho someni sheria za fedha. Na hamna hata depositi nono BOT ya kufidia watu mnaowaaminisha na ksuhukua hela zao za mafunzo,na ujinga mwingine kila mwezi .Mbaya zaidi hela mnazochukua ni kiduchu waliopo nje ya sheria za bongo wanachukua nyingi zaidi.Mtaumia sana.
Sina haja ya kuendeleza majibizano na ww kwa sababu si ajabu una umri wa baba yangu
am young and free mid 20's
nna uhuru wa kufanya nnacho kimudu ww ulie shindwa hata kuji ongeza kuingia mtandaoni na kutafuta ukwel kuhusu Foreign exchange trade una leta ujuaji mwingi wakat huna lolote unalo lijua afu una kimbilia kweny kivuli cha bot @ the same time una fananisha FX na Deci,D9???
...

Nakuona mweupe sana upstairs una uliza physical location ya FX??



ha ha ha ha [HASHTAG]#Grandpa[/HASHTAG] u made my night wacha nilale
 
Kabla sijawaachia ujinga wenu kwa vile sina faida binafsi napata kuwabadili n ahata hela mnazogawa nje zingebaki sina hakika km maccm nao wasingefanya hivyo.Naomba niwaachie wanashosema jamaa wanaojua biasharaktk msoko ya fedha kule arekani wall steet journal.Alipo mtaalamu warren buffet.Mnachofanya ni bahati nasibu ndio maana pale nilisema kiasi fulani ni km betting.Betting ni bahati nasibu ambayo sio mchezeshaji au mcheza anayeweza influence matokeo ila timu zinazocheza.Ingawa kuna nchi siku hizi wachezeshaji wananunu timu fulani ili upande uliowekewa dau kubwa ushindwe au ushinde.Bahati nasibu nyingine lazima km ni mashine zikaguliwe n tume husika nao wasimamie ili bahati nasibu kabisa.Na si wajanja kuleta mashine ambazi hazina mshindi.

"".....
The Foreign-Exchange Market Is Luring Record Numbers of Retail Investors—but the Potential Pitfalls Are Huge.

“I think individuals should allocate zero dollars to currency trading,” says Joshua Brown, vice president of investments at Fusion Analytics Investment Partners LLC, an asset-management firm in New York. “To go to an online brokerage and think you’re doing anything more than gambling is foolish.” – Source Wall Street Journal..""
 
Hongera sana mkuu ONTARIO na timu nzima ya TMT,

Pia hongereni wadau wote wa JF mlioonesha ushirikiano katikan hii fursa jambo ambalo linamtia hamsa Mkuu ONTARIO na kuweza kuwajibika kadri ya uwezo wake kuhakikisha anatoa elimu jinsi alivyokusudia

Kwa kweli ni jambo jema sana kwa hii fursa kuwepo humu nchini kwani ni suluhisho zuri sana la kiuchumi

Ngoja na mimi nianze kujipanga mdogo mdogo japo kuanza kusoma vitabu kabla sijaja Jangid Tower tayari kwa kuchuma hii elimu hata kama nitaanza mwakani au mwaka kesho kutwa ni sawa tu maana hili jambo lipo na limeanza miaka mingi iliyopita japo limekuwa likifanyika kwa siri kubwa sana but ONTARIO katuletea kwa uwazi kabisa hapa kwetu.

Hatuna la kumlipa ONTARIO zaidi ya kumuombea maisha marefu yenye amani na kutimiza ndoto zake
 
Kwa dsm inafanyikia wapi? inafanyika siku gani? mtu anayetaka kujiunga aje na nini zaidi ya kiingilio cha 130,000/?
 
Sina haja ya kuendeleza majibizano na ww kwa sababu si ajabu una umri wa baba yangu
am young and free mid 20's
nna uhuru wa kufanya nnacho kimudu ww ulie shindwa hata kuji ongeza kuingia mtandaoni na kutafuta ukwel kuhusu Foreign exchange trade una leta ujuaji mwingi wakat huna lolote unalo lijua afu una kimbilia kweny kivuli cha bot @ the same time una fananisha FX na Deci,D9???
...

Nakuona mweupe sana upstairs una uliza physical location ya FX??



ha ha ha ha [HASHTAG]#Grandpa[/HASHTAG] u made my night wacha nilale
matusi tupu. Physical address y akampuni inayomiliki hiyo biashara wewe kijana usijifanya kujichekesha kwa dharau kumbe huna kitu. Huo mtandao na server yake ndio unamiliki bank account na kufanya kazi?Si kuna watu behind?Wanapatikana office gani nchi zenye kuaminikika kisheria ktk biashara km marekani? Siku unaamka asubuhi na kukuta mtandao hauopo hewani utaenda dai wapi?
 
matusi tupu. Physical address y akampuni inayomiliki hiyo biashara wewe kijana usijifanya kujichekesha kwa dharau kumbe huna kitu. Huo mtandao na server yake ndio unamiliki bank account na kufanya kazi?Si kuna watu behind?Wanapatikana office gani nchi zenye kuaminikika kisheria ktk biashara km marekani? Siku unaamka asubuhi na kukuta mtandao hauopo hewani utaenda dai wapi?
You have a point
 
Toka nimeanza kusoma Threads za Forex sijawahi kuona post za ajabu kama za huyu Nicholaus, yaani unasoma na kushangaa huyu anakaa Dunia ipi? Au kaja kututembelea toka Sayari nyingine?

Kama Nicholaus anaishi kwenye Dunia yetu basi yuko miaka mingi sana nyuma yetu hajui kama hajui na hataki kuamini kuwa hajui na hayuko tayari kujifunza kutoka kwa wengine.

Ni sahihi kweli kulikuwa na DECI na ilikula fedha nyingi za watu, siku za karibuni kulikuwa na D9 Club nayo imekula fedha nyingi za watu ,lakini Forex iko tofauti sana na hivyo vyote nilivyotaja hapo juu.

Ili ujiunge kwenye biashara ya Forex kwanza ni lazima usome vitabu na uelewe neno kwa neno, pili ni lazima ufanye Demo kwa angalau miezi mitatu ili kukupa uzoefu kidogo na mwisho unatakiwa ushiriki kwenye mafunzo yanayotolewa na TMT chini ya uangalizi wa Mr Ontario.

Kwenye hayo mafunzo utapata mambo mengi lakini ka msingi ni kupata Lifetime Mentorship ambayo itakufanya wewe ufanye trades zako kwa ufanisi wa kutosha.

Watu wengi wanajitahidi kuwakatisha wenzao tamaa kwamba Forex ni UPATU si sahihi, forex ni biashara ambayo ina faida na hasara na inarisk kubwa. Ukiwa tayari kufanya Forex ni lazima ujipange na mafanikio utayaona tu. Ni dhahiri kuna ndugu zetu wanauelewa hasi juu ya biashara hii na niwajibu wetu kuwaelimisha ili siku moja nao waje waifahamu na kuifanya.

Nicholaus naamini kuwa yuko na tatizo la Kisaikolojia kwa hiyo tumpe nafasi ya kuelezea yote aliyonayo mpaka mwisho then atapatiwa tiba ya matatizo yake ya Kisaikolojia tumvumilie kwa sasa kwa sababu ni MGONJWA!!
 
matusi tupu. Physical address y akampuni inayomiliki hiyo biashara wewe kijana usijifanya kujichekesha kwa dharau kumbe huna kitu. Huo mtandao na server yake ndio unamiliki bank account na kufanya kazi?Si kuna watu behind?Wanapatikana office gani nchi zenye kuaminikika kisheria ktk biashara km marekani? Siku unaamka asubuhi na kukuta mtandao hauopo hewani utaenda dai wapi?
IMG_20171009_154412_500.JPG

You have a point
 
Nachoshangaa ni kitu kimoja kwanini kuna nguvu kubwa inatumika kuelezea mabaya ya forex? Na pia nashangaa mtu hela yake jasho lake anaitumia anavyotaka, mwingine anaumia kwa hela anayotumia mtu mwingine
 
Nimehudhulia training pale tmt and am thankful for that, naweza nkakusaidia Hv elimu ya forex inayotolewa pale haihitaj uwe na elimu kubwa ila uwe na uwezo wa kuelewa kizungu [emoji12] kwasabab lugha ya kufundishia ndo hyo
Kama upo vzur there is nothing to worry about just attend na the best service they offer ni mentorship aisee ni kitu kikubwa Sana ambacho wanakupatia yan market engineer atakapoona kuna opportunity sokon ata kuinform chap mnaingia sokon mnadownload pesa pamoja.
Ontario popote ulipo ubarikiwe Sana kwa kutuletea ukomboz watz [emoji120]
Kwahiyo nije na laptop au simu ya mkononi inafaa?
 
Niwatakie upatu mwema otherwise ,naweza pata kichefuchefu nikawaletea nouma personally. Forex ni kifupi cha FOREIGN EXCHANGE .Ni kama huduma za huduma za bureau de change. Au masoko ya kubadil/luuza na kununua fedha za nje.Kuwepo ktk internet hakuondoi sheria za bureau de change na ndio maana kuna mwehu sikutaka muaibisha alivyosema kuwa haifundishwi chuo kikuu. na kwa sheria ya nchi leseni ya kuendesha burau de change ni very serious amount of money,na kila mtu atatakiwa kuweka deposit BOT ya milioni nyingi haswa ili ukienda mramba watu walipwe pesa yao.

Ktk bureau de change unanunua hela na kuuza kwa kiasi fulani juu,unanua kwa bei ya chini na kuuza ya juu.Nikisema chini ina maana chini kidogo ya ile ya BOT, na unauza juu kidogo ya ile ya BOT ,kutokana na ushindani na kiasi chaa hel auanzouza na kununua.Ndio maana utaona kuna doa kuanzia $1 hadi $10 bei fulani kwa hela ya madafu, $10-$100 bei fulani etc. Wanaweza kuwana hela za nchi nyingi na wanapima kwa TSh km hela ya nyumbani.

Ugoro mwingine ni kuchanganyikiwa na mapenzi km binti aliyepata bwana siku ya mwanzo huwa natukana wazazi wake kuwa kuliko amkose huyo mwanamume bora afe, yupo tayari kwa lolote kuliko kuwacha.Siku ya siku.Huwa narudi wakili vibaya na ni too late.Ushamba wenu wa online bureau usiwe sababu ya kujiona wajuaji.Biashara ya hela nchini BOT ndio wanasiamia , mnachofanya ni haramu tena haramu sana. Na leseni zimekuwa tight km petrol station ,sasa hivi watu wengine wameamua kununua bureau za watu. Biashara ya pesa hata vodacome wenyewe wanajificha chini ya leseni ya Bank of Africa. ila wao wanajiita watoaji wa technolgia tuu.
We mchawi nikiibiwa hela zangu nilizozitolea jasho Wewe inakuhusu nini!!!!


Nchi hii ina wachawi wengi sana
 
Back
Top Bottom