Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Mambo niaje kaka?

I'm here my bro I ain't go nowhere so long as Jf is still accessible to me any time, any day.

Mkuu kaveli I am big supporter of this movement and i urge you to join and be the part of revolution as quickly as possible, this is rarest opportunity you should never allow it to pass up.

Once you are fully equipped with the right forex skills you won't be the same again financially, you'll never think about njaa, you will never go bankrupted,you will never wish to work manually again,you will start chasing your dream life,you will be an investor,you will be a bank for 9-5 job employees,you will be your own boss, you will bring back Pepetua(kidding though) yaani you will be financially stable forever as long as the forex market exists.

Sasa nini kina takiwa?

Ni kupata knowledge sahihi isiyokuwa na utata na mazoezi ya kutosha. Unaweza ukajifunza hata wewe mwenyewe lakini itakuchukua muda mrefu sana kuja kuwa profitable angalau mwaka mzima hivi kwa sababu utakuwa unasoma na vingine ambavyo hautakuja kuvitumia kabisa.

Kwa sasa naona hakuna haja ya kukomaa mwenyewe uchukue muda wote huo wakati kijana Ontario ametuletea mentors wa kuaminika wanao rahisisha kazi within one week na uangalizi wanakupa tena kwa bei nafuu kabisa.

Mimi binafsi Niko kwa game tayari tangu muda tu japo mwendo wangu bado ni wa kihoga.
b10ded6ea3fafeb2e7a0c6775cef319f.jpg

This week kulikuwa na news kibao na haikuwa wiki rafiki kufanya trading kwa amateur trader ambae hana uangalizi wowote.

Halafu kama nimawahi kukujuza kuhusu hii kitu kipindi cha nyuma angalia private messages.

Nna tutorial videos kadhaa za kukuongoza lakini mentorship muhimu.

Jumapili njema.


Mimi sijambo kaka. Hopefully nawe uko pouwa mkuu wangu.

Aisee, shukrani kwa maelezo murua kabisa. Maelezo yako yamenipa morali kubwa juu ya forex.
Sasa naanza seriously kufanya follow up kwenye hii kitu.

Kila lakheri kwenye forex trading yako ambayo ushaanza. Big up bro. I too am on it now...

-Kaveli-
 
Huyo Ndugu Nicholas muulizeni kwa nini kuna watu wananunua ama kuuza items Online wakati zipo nchini?
Pia atuambie ni Regulatory board gani huwa inasimamia online purchases?

Bank wanapata fees zao kwa mujibu wa taratibu na source za gaining funds zipo zinajulikans
 
Mimi sijambo kaka. Hopefully nawe uko pouwa mkuu wangu.

Aisee, shukrani kwa maelezo murua kabisa. Maelezo yako yamenipa morali kubwa juu ya forex.
Sasa naanza seriously kufanya follow up kwenye hii kitu.

Kila lakheri kwenye forex trading yako ambayo ushaanza. Big up bro. I too am on it now...

-Kaveli-
I am OK brother!

I do hope j'3 imeanza vizuri.

Karibu sana kwa any kind of primary help bro!
 
Ni mchanganyiko fulani wa upatu ktk forex na km betting fulani controlled na computer. Hella wanazopata ni vizo wanazolipishwa ktk membership fee, na hela kibao za kufundishwa.Zinazungushwa kiakili ktk formula za computer jamaa wanapewa kidogo kidogo cha kuendelea.Km ingekuwa biashara yenye faida halisi ya soko.wenye mtandao wasingeweka malipo ya mwezi wanayapa amjina fulani ila ukweli wanazirudisha hizo hela ktk mgao. kawaida ya upatu wanaoingia mwanzoni wengi wanajua kuwa haitokula kwao.Na wanajua wanapiga mandezi.Wengine huwalinda watumwa wao kwa kuwaambia usiongee na watu wenye akili ndogo,wapinga maendeleo,huko kutoongea kunasadia hata watu wa dini ili kulinda watu watu wao wasishawishike kutoka, na hata wakipigwa au game likianza fikia pagumu karibia na kuanguka.huwa wanaanza walaumu wateja wao kuwa shida sio upatu ,ila wao ndio wavivu.

Ni km forever living ,wanadanganyaw atu ni biashara ,kumbe wanataka kula hela yao, na mavitu wanayowauzia wanawaambia hakuna shida hata ukitumia tuu sio shida ,ila ingiza watu.Watu wanakuwa wateja wakimini kuwa ni wajasiria mali. wanakwenda gombana na rafiki na ndugu wanapopeana hasara au ndugu wakikataa kuingia ktk huo upuuzi.Wauzaji dili za upatu ni wanyonyaji wa mahusiano,anakutumia wewe kuweka uhsino wako rehani ili umuaminishe anayekuamini kununua bidhaa kwa faida yao.Na siku zote husema mafanikio ya uongo kuliko waliyo nayo. Nawajua wengi wamejenga kwa mikopo ila wanawaambia watu kuwa ni forever living, wakishakosa watu wanawapasha kiporo moto wale wale kwa kuwadhalilisha kuwa ni wao tuu hawakomai warudie km hawataona mafanikio. Watoto w ashule wengi ndio wanajiunga bila kujua.Na wafanya kazi wa serikali wasiopenda kuumia ktk bisahra halisi.

Tafuta kitabu kinaitwa forex bible
Pia search forex kwny Wikipedia
 
Njmepitia taratibu post za mtu wa kuitwa Nicholas. Well, hakukua na haja ya kumtusi.

Ila kinachonishangaza mpaka sasa ni namna ambavyo ameweka hoja zake.

Kuna post anasema Forex ni upatu kama Forever living. Alafu kuna post anasema Forex ni online bureau de change. Kifupi tu, hoja zake zinapingana!

Mwisho wa siku, post yake nyingine anaonyesha kuikubali forex, ila anaipinga TMT kwamba ndio wanofanya utapeli wa kuchezesha upatu!

Kwa mtu yeyote mwenye common sense, atagundua kwamba Nicholas anaifahamu vizuri forex, pengine vizuri zaidi kuliko wengi wetu!

Anafahamu jinsi hela inavyotengenezwa kwenye forex, na pengine ni moja kati ya Forex traders wakubwa waliopo Tanzania.

Kinachonisikitisha ni namna anavyotumia nguvu kubwa kupotosha ukweli, pengine kwa lengo maalum la kuwakatisha watu tamaa.

Mkuu Nicholas, mmetengeneza hela sana kwenye forex bila kushirikisha ndugu, jamaa na marafiki nao wanufaike.

Roho mbaya ya ubinafsi ilifanya mkaificha fursa kwa watanzania wengine. Trust me, you are on the losing end!

Mumeamua kupiga vita kampeni ya TMT ili muendelee kupiga hela kimya kimya. But the truth is, you are fighting a losing battle!

Tayari watu takribani 300 wameipata hii fursa hapa Dar, na sasa kampeni inaendelea mikoani. Thousands of lives will be changed!

You just can't stop the rain brother! The cat is already out of the bag, and soon enough your bubble will burst!

Hatutakata tamaa, just get prepared cause there gonna be thousands of new Dons in town!


Just relax, we are about to give you a reason to hate us even more. You are either on our side, or on the losing side!

These are two words that you'll never hear, TMT FAILED!


We gonna turn you haters to our motivators and eventually our congratulators!


Tunafanya kama hatujawahi kufanya vyema, na tukifanya tunafanya kama hatutafanya tena!

Adios Amigo
 
Tafuta kitabu kinaitwa forex bible
Pia search forex kwny Wikipedia
Acha wehu wewe, FOREX BIBLE inahusiana vipi na UPATU NDANI YA FOREX?Wamelezea wapi hiyo scheme.Ya kugawana hela za kiingilio kwa kupanda ngazi, na jinsi ngazi inapanda yule pale juu anapata hela bila kufanya kazi wala hiyo hela kuzunguka kwa kuuza na kununua ili watu wachukue faida?hakunaga dunia watu mnagawana hela ya mtaji kisha mnaita faida .Unakuwa km wapakistani walivyo ktk page za mastar wakiowaomba master wawe dini yao bila kujua wenzao wanawahurumia sana kwa kuwa so misrable .
 
Njmepitia taratibu post za mtu wa kuitwa Nicholas. Well, hakukua na haja ya kumtusi.

Ila kinachonishangaza mpaka sasa ni namna ambavyo ameweka hoja zake.

Kuna post anasema Forex ni upatu kama Forever living. Alafu kuna post anasema Forex ni online bureau de change. Kifupi tu, hoja zake zinapingana!

Mwisho wa siku, post yake nyingine anaonyesha kuikubali forex, ila anaipinga TMT kwamba ndio wanofanya utapeli wa kuchezesha upatu!

Kwa mtu yeyote mwenye common sense, atagundua kwamba Nicholas anaifahamu vizuri forex, pengine vizuri zaidi kuliko wengi wetu!

Anafahamu jinsi hela inavyotengenezwa kwenye forex, na pengine ni moja kati ya Forex traders wakubwa waliopo Tanzania.

Kinachonisikitisha ni namna anavyotumia nguvu kubwa kupotosha ukweli, pengine kwa lengo maalum la kuwakatisha watu tamaa.

Mkuu Nicholas, mmetengeneza hela sana kwenye forex bila kushirikisha ndugu, jamaa na marafiki nao wanufaike.

Roho mbaya ya ubinafsi ilifanya mkaificha fursa kwa watanzania wengine. Trust me, you are on the losing end!

Mumeamua kupiga vita kampeni ya TMT ili muendelee kupiga hela kimya kimya. But the truth is, you are fighting a losing battle!

Tayari watu takribani 300 wameipata hii fursa hapa Dar, na sasa kampeni inaendelea mikoani. Thousands of lives will be changed!

You just can't stop the rain brother! The cat is already out of the bag, and soon enough your bubble will burst!

Hatutakata tamaa, just get prepared cause there gonna be thousands of new Dons in town!


Just relax, we are about to give you a reason to hate us even more. You are either on our side, or on the losing side!

These are two words that you'll never hear, TMT FAILED!


We gonna turn you haters to our motivators and eventually our congratulators!


Tunafanya kama hatujawahi kufanya vyema, na tukifanya tunafanya kama hatutafanya tena!

Adios Amigo
Nyie watoto vilaza kweli kweli.Matusi mliyokuwa mnaporomosha ndio maana hamkusoma nilichokuwa naandika .Sasa mnajipayukia tuu kuwa kuna sehemu nilisema forex ni sawa na upatu.Ila hamkusema sehemu nyingine nilisema nini.Niliwauliza swali zuri je mnajua tofauti ya FOREX NA UPATU KTK FOREX? Nikawaambia pia kuwa kunaVIRUTUBISHO na SABUNI KM BIDHAA TUNAZONUNUA SMARKET na zinazowatajirisha wachaga wengi na KUNA UPATU KUPITIA VIRUTUBIDHO Km ILIVYO KWA FOREVER LIVING. NIkawaambia km mnachofanya ni upatu kupitia forex km cover,ila kinachofanyika hamtengenezi hela halali kwa kununua na kuuza fedha za kigeni. Ila mnagawana hela za viingilio, hela za sijui semina na semina kubwa,na hizo package za viwango,na michango yake kwa mwezi.

Ukirudi hapo juu ktk mfano wa smarket au duka la mangi ambaye ni bilionea sasa hivi.Yeye aliuza colgate ya aloe vera na isisyo na aloe vera km bidhaa na kupata faida kwa kuuza bidhaa,na sio kumuunga mtu na kugawana viingilio, forever livingi bidhaa sio muhimu hela za kujiunga kwa vile ni kificho ili wasiharamishwe marekani ambapo upatu ni haramu. NI km bar inayouza sigara na bangi kwa kificho. Ndio maana wanasema wazi hata ukitumia sio shida.Biashara gani hiyo.Mjasiriamali anatumia bidhaa badala ya kuuza kwa faida?Huyo ni mjasiriamali au mteja?


ROREVER LIVING HAKUNA BISHARA HAPO, HAPO NI KUWA WEWE NI MTEJA KWA VILE NDIE UNATUMIA BIDHAA KM UNAVYONUNUA MKATE NA KUULA, NA PIA NI AGENT WA KUKUSANYA HELA KWA BOSS WA KILELENI NAE ANAKUPA COMMISSION. MNGEKUWA MNAJUA UCHUMI WAPUUZI NYIE MNGEJIULIZA WAPI MNA ADD VALUE HADI MSTAHILI KUPOKEA HELA?HATA BIT COINS ZENYEWE LAZIM UFANYE MINING KUPITIA COMPUTER KM VILE UNAVYOCHIMBA DHAHABU. UNATUMIA UMEME WAKO,PROCESSING POWER YA COMPUTER YAKO.NDIO UNAPATA BIT COINS YENYE THAMANI HUSIKA NA HIVYO KUSTAHILI KUNUNUA KITU. IN ESSENCE NYIE WATOTO MNATAKA FANYA HIYO FOREX YENU KM FOREX YA KWELI AMBAYO WATU WANANUNUA HELA NA KUUZA KWA BEI YA JUU. ILA MNACHOFANYA NI KM KUCHUMA JANI N AKULIFANYA PESA YA KUMLIPA MTU MLIYESIMAMA NAE PEMBENI YA MTI ULIOCHUMA. HATA waxhimba mchanga wanuuza kwa vile kuuchimba waliingiza value kwa kutolea jasho ingawa mchanga ni bure.

wengi wenu ndio wale mnaoamini kuokota hela aliyoangusha mtu ni halai yako.Kuangusha hela hakuondoi umiliki wako. ila muokotaji anaweeza kuibia kwa vile hauwezi muona au akaamua kutumia kwa vile unaweza usikae rudi tena kwa kipindi kirefu na akaokota mwingine au ikaoza

Hiyo forex yenu Upatu unaofanywa kupitia forex, km umalaya kupitie elimu(Binti anaweza kwenda soma IFM ili aongeze thamani ktk umalaya wake au kuwapata wateja wengi kwa haraka). iNGEKUW AMNAFANYA FOREX HIZO HELA ZA KUGAWANA KTK PYRAMIDS ZISINGEKUWEPO.NA UKIACHA MALIPO YA MWEZI ULIPASWA ACCOUNT YAKO IWE HAI NA UPOKEE FAIDA ZAKO KM KAWAIA KWA VILE UNAINGIZA HELA.UKWELI NI KWAMBA WANAKUCHOMOA NA HUPEWI HELA ILIYOBAKI.KWA VILE NI DANGANYA TOTO, hizo hela mnazogawana ktk ada za kijinga ,wao ndio wanachukua nyingi, computer inachezesha shere inawarudishia % fulani kistaili, bila kuvuka asilimia zao.nanyi mnajiona mnaingiza hela.

kuna sheria ktk physics na pia uchumi una similar.MATTER IS NEITHER CRETED NOR DESTROYED. KTK uchumi ili nyie muingize hela ktk system yenu nzima(Nyie jumlisha mmiliki wa huyo mtandao), hamuwezi tengeza value from nowhere. Ili nyie mpate na mmiliki apate lazima hizo hela zitoke kwa nyie kufanya biashara na upande mwingine.Yaani muwe ktk masoko fulani mnapoenda kununua hizo hela, kisha mnawauzia wengine nje ya mfumo wenu.Hiyo faida ndio iingie ktk mfumo wenu.Na huko ktk mfumo wenu ndipo mnagwana hiyo faida.Kinachofanyika ktk mfumo wenu ni km uwe na nchi inayofanya biashara ndai ya mipaka yake tuu.hawaingizi hawatoi. Ni ngumu sana kuongeza faida.Mtagombania hela mliyo nayo hata ikibidi kuporana, kwa vile haitoshi. Ndio mnachokifanya, na wamiliki wa mtandao wanataka ongeza kiasi kikubwa kuliko nyie,na hicho kiasi kinatoka kwenu.Kuweka forex ni zuga tuu ili isionekane haramu sana.
 
Nyie watoto vilaza kweli kweli.Matusi mliyokuwa mnaporomosha ndio maana hamkusoma nilichokuwa naandika .Sasa mnajipayukia tuu kuwa kuna sehemu nilisema forex ni sawa na upatu.Ila hamkusema sehemu nyingine nilisema nini.Niliwauliza swali zuri je mnajua tofauti ya FOREX NA UPATU KTK FOREX? Nikawaambia pia kuwa kunaVIRUTUBISHO na SABUNI KM BIDHAA TUNAZONUNUA SMARKET na zinazowatajirisha wachaga wengi na KUNA UPATU KUPITIA VIRUTUBIDHO Km ILIVYO KWA FOREVER LIVING. NIkawaambia km mnachofanya ni upatu kupitia forex km cover,ila kinachofanyika hamtengenezi hela halali kwa kununua na kuuza fedha za kigeni. Ila mnagawana hela za viingilio, hela za sijui semina na semina kubwa,na hizo package za viwango,na michango yake kwa mwezi.

Ukirudi hapo juu ktk mfano wa smarket au duka la mangi ambaye ni bilionea sasa hivi.Yeye aliuza colgate ya aloe vera na isisyo na aloe vera km bidhaa na kupata faida kwa kuuza bidhaa,na sio kumuunga mtu na kugawana viingilio, forever livingi bidhaa sio muhimu hela za kujiunga kwa vile ni kificho ili wasiharamishwe marekani ambapo upatu ni haramu. NI km bar inayouza sigara na bangi kwa kificho. Ndio maana wanasema wazi hata ukitumia sio shida.Biashara gani hiyo.Mjasiriamali anatumia bidhaa badala ya kuuza kwa faida?Huyo ni mjasiriamali au mteja?


ROREVER LIVING HAKUNA BISHARA HAPO, HAPO NI KUWA WEWE NI MTEJA KWA VILE NDIE UNATUMIA BIDHAA KM UNAVYONUNUA MKATE NA KUULA, NA PIA NI AGENT WA KUKUSANYA HELA KWA BOSS WA KILELENI NAE ANAKUPA COMMISSION. MNGEKUWA MNAJUA UCHUMI WAPUUZI NYIE MNGEJIULIZA WAPI MNA ADD VALUE HADI MSTAHILI KUPOKEA HELA?HATA BIT COINS ZENYEWE LAZIM UFANYE MINING KUPITIA COMPUTER KM VILE UNAVYOCHIMBA DHAHABU. UNATUMIA UMEME WAKO,PROCESSING POWER YA COMPUTER YAKO.NDIO UNAPATA BIT COINS YENYE THAMANI HUSIKA NA HIVYO KUSTAHILI KUNUNUA KITU. IN ESSENCE NYIE WATOTO MNATAKA FANYA HIYO FOREX YENU KM FOREX YA KWELI AMBAYO WATU WANANUNUA HELA NA KUUZA KWA BEI YA JUU. ILA MNACHOFANYA NI KM KUCHUMA JANI N AKULIFANYA PESA YA KUMLIPA MTU MLIYESIMAMA NAE PEMBENI YA MTI ULIOCHUMA. HATA waxhimba mchanga wanuuza kwa vile kuuchimba waliingiza value kwa kutolea jasho ingawa mchanga ni bure.

wengi wenu ndio wale mnaoamini kuokota hela aliyoangusha mtu ni halai yako.Kuangusha hela hakuondoi umiliki wako. ila muokotaji anaweeza kuibia kwa vile hauwezi muona au akaamua kutumia kwa vile unaweza usikae rudi tena kwa kipindi kirefu na akaokota mwingine au ikaoza

Hiyo forex yenu Upatu unaofanywa kupitia forex, km umalaya kupitie elimu(Binti anaweza kwenda soma IFM ili aongeze thamani ktk umalaya wake au kuwapata wateja wengi kwa haraka). iNGEKUW AMNAFANYA FOREX HIZO HELA ZA KUGAWANA KTK PYRAMIDS ZISINGEKUWEPO.NA UKIACHA MALIPO YA MWEZI ULIPASWA ACCOUNT YAKO IWE HAI NA UPOKEE FAIDA ZAKO KM KAWAIA KWA VILE UNAINGIZA HELA.UKWELI NI KWAMBA WANAKUCHOMOA NA HUPEWI HELA ILIYOBAKI.KWA VILE NI DANGANYA TOTO, hizo hela mnazogawana ktk ada za kijinga ,wao ndio wanachukua nyingi, computer inachezesha shere inawarudishia % fulani kistaili, bila kuvuka asilimia zao.nanyi mnajiona mnaingiza hela.

kuna sheria ktk physics na pia uchumi una similar.MATTER IS NEITHER CRETED NOR DESTROYED. KTK uchumi ili nyie muingize hela ktk system yenu nzima(Nyie jumlisha mmiliki wa huyo mtandao), hamuwezi tengeza value from nowhere. Ili nyie mpate na mmiliki apate lazima hizo hela zitoke kwa nyie kufanya biashara na upande mwingine.Yaani muwe ktk masoko fulani mnapoenda kununua hizo hela, kisha mnawauzia wengine nje ya mfumo wenu.Hiyo faida ndio iingie ktk mfumo wenu.Na huko ktk mfumo wenu ndipo mnagwana hiyo faida.Kinachofanyika ktk mfumo wenu ni km uwe na nchi inayofanya biashara ndai ya mipaka yake tuu.hawaingizi hawatoi. Ni ngumu sana kuongeza faida.Mtagombania hela mliyo nayo hata ikibidi kuporana, kwa vile haitoshi. Ndio mnachokifanya, na wamiliki wa mtandao wanataka ongeza kiasi kikubwa kuliko nyie,na hicho kiasi kinatoka kwenu.Kuweka forex ni zuga tuu ili isionekane haramu sana.
Aisee mkuu una kichwa kigumu sana.. Inaonyesha hata walimu wako shulen walipata shida sana
 
Aisee mkuu una kichwa kigumu sana.. Inaonyesha hata walimu wako shulen walipata shida sana
Kwa taarifa yenu fanyeni matusi fanyeni mizaha.Ila kuwa wanaoona na kusoma na kuelewa.Hao ndio wanajua kuchuja. Nyie sio lazima niw ashawishi.Akili yako mimi ndie nina kichwa kigumu km vile kuna maswali mmejibu nami sijayaelewa.Hizo ni akili za irrational people, wakishangiliwa na irrational people.Km vile kuna chochote mmeweka hapa kuelezea mtirirko wote na makato yote mnayowakamua ng`ombe wenu,na nini security ya hela mnayoililia sana. Mngeweka dhamana BOT basi ili siku ngema inakata, mliowashupalia hapa wawe na hakika ya kupata hela sio nyie madalali wa mwanzo ambao hamtokuwepo.Ila mtalazwa ndani na mtauza hadi chupi.Chezeni BOT.

Mkiweza nihakikishia kuwa Forex sio zuga na bishara halisi ni huko kugawana hela ambayo haijaingiza kitu mnayokamua watu.Na ndivyo foreza living wanafanya,wanadanganya watu kuwa ni wajasiriamali huku wanawafanya wateja na madalali wa kukusanya hela za kiingilio ambazo hazigawanywi kutoka kwenye faida ya kibiashara ila ktk mtaji wa michango. Hivyo siku watu wanakata kuingia wamwisho analala nacho. Na member siyechangia hata akiba yake inapotea.Ni wazi ndizo zinagwanywa na kupewa kijanga nyuma ya mgongo kwa computer kuwachezeshea data km vile masoka ya hisa hele zinapanda na kuchuka. Mbona pia mmewekewa GAMBLING kuwa ubahatishe?Na sio kununua hela fulani,kisha kusubiri ikifika hela unayotaka unauza,na unajua unauza kwa mtu aliyesema ananunua. Hizi mnafahamu nani ananunua hela?Mtandao au mwanachama mwenzako?Je mnafahamu mnanunua na kuuza ktk soko gani? mnasema tuu uza na hmajui nani kauza?Au computer inanunua na kuuza, kwa akiba zenu?Then lazima kuwe na mtu anapata hasara ktk system yenu ili mwingine apate faida,otheriwise kuwepo na mtu wa nje anakuja nunua kwenu na kuuza kwenu bila kuwa ktk network yenu ili kuongeza value.
 
Kwa taarifa yenu fanyeni matusi fanyeni mizaha.Ila kuwa wanaoona na kusoma na kuelewa.Hao ndio wanajua kuchuja. Nyie sio lazima niw ashawishi.Akili yako nina kichw akigumu km vile kuna maswali mmejibu,km vile kuna chohcote mmeweka hapa kuelezea mtirirko wote na makto yote mnayowakamua ng`ombe wenu,na nini security ya hela mnayoililia sana. Mngeweka dhaman BOT basi ili siku ngema inakata, mliowashupalia hapa wawe na hakika ya kupata hela sio nyie madalali wa mwanzo ambao hamtokuwepo.Ila mtalazwa ndani na mtauza hadi chupi.Chezei BOT.
Haya mimi hiyo training sijaanza na sijalipia lakin angalia navopiga hela na hapo utasema kuna upatu?... Nitajie bas watu walionifanya nipige hii profit
 

Attachments

  • Screenshot_2017-10-09-17-30-03.png
    Screenshot_2017-10-09-17-30-03.png
    35.6 KB · Views: 49
Haya mimi hiyo training sijaanza na sijalipia lakin angalia navopiga hela na hapo utasema kuna upatu?... Nitajie bas watu walionifanya nipige hii profit
Sasa km huwezi soma majiu yangu huko juu,unataka ni rewind unavyotaka km tape yako?Sina muda wa kuelekezana na vitoto vyenye majibu ya kuruka ruka km kuku, hazisikilizi ila vinaweka maswali ya kutokosa kufikiri.Nimetoa majibu juu kwanini lazima upate hela.

Ila sio guarantee ya kuendelea pokea hela ,kwa muda mrefu.Nimeweka hadi michango ya waliocheza nigeria, brazili,asia na hata usa. Pia wewe sio mkweli,uliingia bure?Bila kiingilio kwa kifurushi husika?Na huna michango ya mwezi?bila hela za mafunzo na mafunzo mengine zaidi? Si hizi semina mnatangaza humu ili watu wakalimwe pesa?Au hii thread ni ya nini?Ni bure? Mtoto huna soni wewe.

Unaleta vistatement ili uonekane una hela hakuna kitu,ka edit utuwekee $10,000+?Hela za bure?km huji jinsi hii MLM inafanya kazi?HUjajibu swali hapo juu hata moja zaidi ya matusi. Ni vipi utatuambia kuwa umepata hela bure? Kwa jinsi mlivyo malimbuke au wezi statements huwa ni siri ktk biashara. Pia ktk biashara halisi hakuna muuza bidhaa halisi km Bakhresa anayeweza kwenda sokoni kutangaza azamu juice kwa kuonyesha repoti ya miamala na sio sifa za juice.

wewe mtoto una laana, wewe ndio wale wanaofanya kazi ya hasara kwa kununua hiace nyingi mjini ila matumizi yenu ni makubwa kuliko mapato, na mara nyingine huduma za gari zinalipwa na baba ,kisha unaongezewa gari na baba.Baba ni mwizi wa umma nae anajisifu kuwa nakuongezea gari kwa vile unajituma,kisha unjisifu kuwa ulianza mdogo mdogo. Sasa upo mbali, halafu unawatukana walipa kodi anazoziiba baba yako ukisema kuwa ni wazembe na wavibu sana.Wavivu wanakununuia magari?
 
Mkuu Nicholas you have raised serious allegations

Summary ya hoja ulizoibua
1; Kwanza unakubaliana na uhalal wa forex.
Hapa unaeza rejea aya ya kwanza
2; Upatu katika forex kupitia forex cover, kwa maana nyingine TMT inafanya upatu ktk forex kupitia forex halali.
Hapa pia rejea aya ya kwanza, ya pili, ya tatu, na ya tano
3; Hakuna economic value creation, kupitia upatu unaofanyika kupitia forex..!
Hii ni hoja mtambuka ya hoja ya pili...! Hapa pia rejea aya ya tatu..!

NB;
a) Hapo kwenye summary naomba unithibitishie kama nimekupata vizuri, na kama kuna hoja ambayo nimeisaihau
iongezee kwa ufupi tu kabla sijaanza kujibu nijiridhishe na nitakachokuwa najibu..!

b) Pia nina kaombi kadogo hapa..!
Naombi unipe vithibitisho kuhusiana na upatu wa forex unaofanyika kupitia forex..! ili nijue naongea na mtu mwenye critical evidence au unatumia hisia tu..! Be free Mkuu tell me ni akina nani hao wamesema humu or else where kuna mgao wa fedha zilizochangiwa kwa mujibu wa maelezo yako..? Na possibly ni nani tayari alishapata huo mgao ambaye unamfaham..? Maana upatu ktk forex kupitia forex cover ndo hoja mama uliyoibua na hoja zingine ni side effect tu ya hoja mama ningefurahi endapo bandiko lako lingeambatana na ushahidi juu ya hili ili hoja yako iwe na mashiko zaidi au pia naeza nikawa sijaona vizuri kwenye bandiko si mbaya ukanionesha ni wapi umeweka ushahidi wako juu ya hili...! So i need evidence on this..!
Unataka critical reasoning au critical evidences?
Tatizo umejikaza ila hujaweza ziba jazba na mizaha kuanzia ktk (b) hapo juu? tatizo lingine ume quote post moja.Ukatumia km base ya hoja zako.Umeskip mengi sana juu. Kwa ujumla umeshot circuit mjadala km mtu aliyenukuu kipengele kimoja cha msari biblia. Kwa watu wenye akili km hizi ninguku sana kuwasaidia.

Mbona sijaona mifano mwingi niliyoweka ya Net flow ya money ktk border za nchi yetu?Yes namaanisha dollar mnazosaidia kuzihamisha mipaka na kupelekea maharamia nje?hizi mnafikiria uchumi wa nchi?

Mbona huja admin wala kujibu maswali na maombi ya maelez mazima ya details za hii business na watu walitukana tuu hadi sasa hakuna aliyesema?Nini siri?Nini ghadhabu?NImeuliza km ningekuwa ktk hizo semina zenu mikoani mngenitukana hivyo km ningeuliza swali hilo hilo?Kwanini hukuona hao watu kuwa ni shida au damaging ktk business km ulikuwa na maana sana?Ila ukaniona mimi ndio wa kuanza nao?

Undhani kwa kili hizi una qualify kuanza jibizana na mimi na kupoteza muda kwa ubishi utakaoishia kwako kutukana matusi tena na kujaza database na pos kibao?

NIKUONBE TUU KM UPO SAFI KTK HII ISSUE NU NAHISI UNAWEZA TETEA SANA.HEMBU ANZA SHUKA NONDO ZOTE HAPA KM MUUZAJI WA HII PRODUCT NA SIO KUBISHANA NA NAMI NDIO BIASHARA YAKO. NISIKUPA NAFSI YA KUPOTEZA MUDA.Utakuwa umejibu km utakuwa clean and clear.Pia useme nani anagharamia hizo regional tour na zina faida gani mgharamiaji.Km mhudhuriaji kwanini msiweke video online wajisomee?Na km ni ninyi mnapata nini baada ya kufanya hiyo tour.

Pia sio mbaya ukisema kuwa mlishwahi ingia JF na mkafutwa,kipindi hicho hicho kuna watu ,walilalamika kuwa baada ya mafunzo waliambiwa tena kuna amount km $300 ya mafunzo.Je ni kweli na km sio kweli walipata wapi?Kwanini hiyo amount iwe dunia nzima sawa?Na km inalipwa inalipwa kwa nani?Kwako mtoa mafunzo au kwa mtandao?Kwanini kwa mtandao?Inahusika vipi ni usajili wake,na account yako? Kwanini km sio nyie mnauza bidhaa za kampuni au kuwa wadau kwanini nyie ndio mtangaze.

KWANINI NYIE MHUSIKE KUONGEZA WATU NA KUTANGAZA HIYO HIYO KAMPUNI WAKATI NYIE MNAFANYA FOREX KTK MASOKO YA DUNIA ,NA KAMA WAO NI PLATFORM TUU.UNAYOWALIPA KADIRI UNAVYOTUMIA?HUNIHITAJI MIMI ILI UNUNUE DOLA ZA UWEZO WAKO, NA UKAUZA KTK MASOKO YA DUNIA YENYE WATU WA JAPANI,ILI UPATE YENN.

UNAWEZA NIAMBIA KTK HUO MFUMO WAKO UNA TAARIFA NANI ANANUNUA HELA ULIYOUZA?NA UNAPONUNUA UNAJUA NANI ANAUZA?
 
Unataka critical reasoning au critical evidences?
Tatizo umejikaza ila hujaweza ziba jazba na mizaha kuanzia ktk (b) hapo juu? tatizo lingine ume quote post moja.Ukatumia km base ya hoja zako.Umeskip mengi sana juu. Kwa ujumla umeshot circuit mjadala km mtu aliyenukuu kipengele kimoja cha msari biblia. Kwa watu wenye akili km hizi ninguku sana kuwasaidia.

Mbona sijaona mifano mwingi niliyoweka ya Net flow ya money ktk border za nchi yetu?Yes namaanisha dollar mnazosaidia kuzihamisha mipaka na kupelekea maharamia nje?hizi mnafikiria uchumi wa nchi?

Mbona huja admin wala kujibu maswali na maombi ya maelez mazima ya details za hii business na watu walitukana tuu hadi sasa hakuna aliyesema?Nini siri?Nini ghadhabu?NImeuliza km ningekuwa ktk hizo semina zenu mikoani mngenitukana hivyo km ningeuliza swali hilo hilo?Kwanini hukuona hao watu kuwa ni shida au damaging ktk business km ulikuwa na maana sana?Ila ukaniona mimi ndio wa kuanza nao?

Undhani kwa kili hizi una qualify kuanza jibizana na mimi na kupoteza muda kwa ubishi utakaoishia kwako kutukana matusi tena na kujaza database na pos kibao?

NIKUONBE TUU KM UPO SAFI KTK HII ISSUE NU NAHISI UNAWEZA TETEA SANA.HEMBU ANZA SHUKA NONDO ZOTE HAPA KM MUUZAJI WA HII PRODUCT NA SIO KUBISHANA NA NAMI NDIO BIASHARA YAKO. NISIKUPA NAFSI YA KUPOTEZA MUDA.Utakuwa umejibu km utakuwa clean and clear.Pia useme nani anagharamia hizo regional tour na zina faida gani mgharamiaji.Km mhudhuriaji kwanini msiweke video online wajisomee?Na km ni ninyi mnapata nini baada ya kufanya hiyo tour.

Pia sio mbaya ukisema kuwa mlishwahi ingia JF na mkafutwa,kipindi hicho hicho kuna watu ,walilalamika kuwa baada ya mafunzo waliambiwa tena kuna amount km $300 ya mafunzo.Je ni kweli na km sio kweli walipata wapi?Kwanini hiyo amount iwe dunia nzima sawa?Na km inalipwa inalipwa kwa nani?Kwako mtoa mafunzo au kwa mtandao?Kwanini kwa mtandao?Inahusika vipi ni usajili wake,na account yako? Kwanini km sio nyie mnauza bidhaa za kampuni au kuwa wadau kwanini nyie ndio mtangaze.

KWANINI NYIE MHUSIKE KUONGEZA WATU NA KUTANGAZA HIYO HIYO KAMPUNI WAKATI NYIE MNAFANYA FOREX KTK MASOKO YA DUNIA ,NA KAMA WAO NI PLATFORM TUU.UNAYOWALIPA KADIRI UNAVYOTUMIA?HUNIHITAJI MIMI ILI UNUNUE DOLA ZA UWEZO WAKO, NA UKAUZA KTK MASOKO YA DUNIA YENYE WATU WA JAPANI,ILI UPATE YENN.

UNAWEZA NIAMBIA KTK HUO MFUMO WAKO UNA TAARIFA NANI ANANUNUA HELA ULIYOUZA?NA UNAPONUNUA UNAJUA NANI ANAUZA?
Dah you have a point. Ila shida nayo iona hakuna hata mmoja anaye kuja na point za kuelezea kama hivim wengi utasikia wanasema wewe una Wivu? Uanatuonea wivi, tuache, kinakuuma nini? Kwani pesa yako? unawashwa nini?wewe kichaaa, Una matatizo

HAYO HAPO JUU NDO MAJIBU MAKUU

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Dah you have a point. Ila shida nayo iona hakuna hata mmoja anaye kuja na point za kuelezea kama hivim wengi utasikia wanasema wewe una Wivu? Uanatuonea wivi, tuache, kinakuuma nini? Kwani pesa yako? unawashwa nini?wewe kichaaa, Una matatizo

HAYO HAPO JUU NDO MAJIBU MAKUU

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Siku zote hoja zinajibiwa kwa hoja.

Ukiibua tuhuma zisizo na ushahidi tegemea majibu ya karaha, na sio hoja!

Nicholas anadai TMT inaendesha upatu kupitia forex. Tunaomba atupe uthibitisho ili apewe majibu kutokana hoja na uthibitisho atakaoutoa.

Lakini kama ataendelea tu kutoa false accusations, basi anastahili majibu anayopewa. Ataishia kutuita vitoto, vilaza, matapeli au vyovyote atakavyopenda ila hana hoja ya kutukwamisha!

Hebu tudiscuss kwa hoja mkuu. Wekeni uthibitisho TMT inaendesha vipi upatu wa Forex?

Otherwise, tusikaripiane. Maana hizi ID feki naweza kujikuta namtukana mtu wa umri sawa na mzazi wangu. Sio kitu kizuri!

Leteni hoja
 
Ivi mbeya wanategemea kuanza lini? Maana group lao huwezi juinga list iko full
 
Back
Top Bottom