Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Mabenki nayo yanacheza upatu na hela zetu???
mabenk hayachezi.Ila kuna watu wanaingiza upatu ktk bank kun abank meridian ,greenland kwa tz miaka ile walitengeneza bank ya upatu wakaanza toa riba za fuji walew atu wa kuiga dar, wakauza chai maharage wakakimbizia hela kule kisha asbh wakaambiwa hakuna kitu.Ndio bot wakaanza kuwa makini ktk deposit za bank.bank zinazocheza kihalali riba zao kiduchu,faida zao kiduchu .Ni kam ilivyo kwa saccos kuna za sahihi na kuna za upato,km deci.Hela haziendi kufanya kazi,ila unayeweka leo zinagawiwa kwa wajana, wa keso anakupa zako wa leo, yeye asubiri wa kesho kutwa.Wanapopungua au kuisha watu wa kuja kumlipa wa mwisho game inakuwa ovyo.Wa mwisho analala nacho.ndio hawa jamaa.Wameweka forex pembeni na hiyo kugawana ada za mafunzo,na michango ya membership.


Forex sio serious kihivyo.Km forever living hawauzi bidhaa,bidhaa ni kujificha kwa vile marekani upatu ni haramu lazimauuze bidhaa,ndio maana wapo tayari kukuambia uanweza tumia tuu wewe,ukaishi kwa kuingiza watu.Yaani wewe ndie mteja wao ununue bidhaa usiyoiuza.Kwa vile kwao bidhaa sio muhumi.Ndio maana watu anasota.Pia bidhaa zao sio dawa ila nyongeza tuu mwilini. Na huo ushenzi mwingi madini wanayosema ni ya kawaida sana uanweza yapata ktk bustani au ukanunu multivitamins kwa 20 na ukawa zaidi yao.
 
Ww ni moja ya watu wachache walioijua forex mapema kabla ya weng wetu hapa,
Wengi wetu tumeijua baada ya Ontario kutushirikisha we are thankful for that. unachojarbu ni kuleta upinzan tu ili TMT isisonge mbele,
I know unajua forex na hutak watu wengne waijue [HASHTAG]#roho[/HASHTAG] ya kichawi hyo.
Makamanda tupo vzur tushavunga mikanda tunalipa fadhila Kwa alichotufanyia kijana mwenzetu Ontario ,tunahakikisha harakat hizi hazitaishia hapa huu ni ukomboz Kwa vijana wote wa taifa hili tumedhalaulika Sana wazaz wametumia nguvu nyng kutusomesha lkn weng wetu mishahara haireflect wazaz walichokitarajia, forex mkomboz
ROAD TO FINANCIAL FREEDOM
wakuu naomben from this moment we give zero fuc** Kwa huyu hater. Tusimpatie umaarfu over
typical mhanda wa upatu.Km wafuasi wa alqaeda,km wajamaa siku zote mabepari ndio wanawaonea wivu na kuwarudisha nyuma na sio ujinga wao. Ngoja niwa fix na mtakula miaka km mmeamua kunitukana hivi.
 
Nilikuwa siamini kuwa we ni mtupu kiasi hiki kichwani....Khaaaaa...unatia kinyaa mkuu...umeandika maneno mengiiii....mashudu tupu.
Ahaha... Yaani nimecheka sana baada ya kusoma hiyo comment yake.
 
Duuuh kweli hii nchi ngumu sana!!
Chezea haki hii ya hapa kazi, watu watabakwa ,wataibiwa na waganga wa kienyeji, na watapigwa na hawa wavivu wanaoshinda ktk miatndao kutafuta upatu mpya wa kusisimua watu kisha wawe wa kwaza kuingia ili wakae pale juu.Hii inaua sana uchumi wa nchi.Wehu wanagawana na wahuni hela za walalahoi wa nchi hii.Mbaya pia wana drai dola za nchi kuzipeleka nje.Uchumi unakuwa mbaya haswa.Hizo hela bora watu wangechoma hata mahindi.mchoma mahindi analaza ziadi ya elf 30 faida kwa siku.Kwa mwezi ni zaidi ya mshahara wa msomi office.Maji wa mahindi ni shini ya hizo dollar.Hawa ndezi wanakamua wengine hela kibao, wanapewa malipo ya wizi.Nyingine wanwapa maharamia nje ya nchi wakale.Ksiha yanajisifu kwa hilo.


Kuna miaka fulani kulikuwa na tabia ya watoto wa matajiri kuwatuma wezi waje kuiba kwa wazazi waona kuwaambia hela zipo wapi.Wanachofanya ni kuwaambia msiwaue ila wachapeni vibao tuu.kisha chukueni hela.Wanaiba 20mil, wanagawana sawa watu km 10, 2mil each. Si bora angechukua uridhi wake bila kuwapa watu wa nje hela. hawa kuku si bora wangewauzia hao wenzao hata kuku wa kienyeji ili wenzao wafanikio na kesho kwa imani hiyo hiyo wakija wauzia tena wakute bado ana hela na wana upendo.
 
Mkuu Nicholas, nafikiri watu wote waliofata fursa ya forex wameamua wenyewe pasipo kulazimishwa, najua unaweza ukasema upatu kwa uelewa wako ukawa sahihi, nakuomba mkuu ilimradi umeshatoa warning ok, waache wakuu wengine wafanye wanachoamini tu, kama ni upatu time will tell then utakuja kuzibitisha tu unachosema usihofu, ila kwa sasa tulia tu pembeni kwa muda
 
Usitumie nguvu kuaminisha watu unachoamini@Nicholas, kama ni upatu au la time will tell vumilia tu kwa sasa@Nicholas
 
Chezea haki hii ya hapa kazi, watu watabakwa ,wataibiwa na waganga wa kienyeji, na watapigwa na hawa wavivu wanaoshinda ktk miatndao kutafuta upatu mpya wa kusisimua watu kisha wawe wa kwaza kuingia ili wakae pale juu.Hii inaua sana uchumi wa nchi.Wehu wanagawana na wahuni hela za walalahoi wa nchi hii.Mbaya pia wana drai dola za nchi kuzipeleka nje.Uchumi unakuwa mbaya haswa.Hizo hela bora watu wangechoma hata mahindi.mchoma mahindi analaza ziadi ya elf 30 faida kwa siku.Kwa mwezi ni zaidi ya mshahara wa msomi office.Maji wa mahindi ni shini ya hizo dollar.Hawa ndezi wanakamua wengine hela kibao, wanapewa malipo ya wizi.Nyingine wanwapa maharamia nje ya nchi wakale.Ksiha yanajisifu kwa hilo.


Kuna miaka fulani kulikuwa na tabia ya watoto wa matajiri kuwatuma wezi waje kuiba kwa wazazi waona kuwaambia hela zipo wapi.Wanachofanya ni kuwaambia msiwaue ila wachapeni vibao tuu.kisha chukueni hela.Wanaiba 20mil, wanagawana sawa watu km 10, 2mil each. Si bora angechukua uridhi wake bila kuwapa watu wa nje hela. hawa kuku si bora wangewauzia hao wenzao hata kuku wa kienyeji ili wenzao wafanikio na kesho kwa imani hiyo hiyo wakija wauzia tena wakute bado ana hela na wana upendo.
Yani tatizo lako hasa ni nini? embu elezea kwa ufupi kiongozi!
 
Mkuu Nicholas, nafikiri watu wote waliofata fursa ya forex wameamua wenyewe pasipo kulazimishwa, najua unaweza ukasema upatu kwa uelewa wako ukawa sahihi, nakuomba mkuu ilimradi umeshatoa warning ok, waache wakuu wengine wafanye wanachoamini tu, kama ni upatu time will tell then utakuja kuzibitisha tu unachosema usihofu, ila kwa sasa tulia tu pembeni kwa muda
Yeah,nashukuru wote ni matusi tuu, na kutoa vitransactions tuu,ila hawana uelewa nini kinaendelea under the hood ,na wanaojua wameamua kuchukua hiyo njia.Niliwataka tuu wawe wakweli angalia wasiwe wameiba.Km wauza gongo wanajua ni harama wao na wateja wao.Kwa hiyo kila mtu anajua risk anayobeba na kuwajibika nayo.
 
Yani tatizo lako hasa ni nini? embu elezea kwa ufupi kiongozi!
tatizo langu ni matusi yenu kuliko majibu ya maswali ya kawaida. Sasa wahuni km nyie mantaka wtu wakubali uhuni kwa nguvu.Si afya kwa taifa.
 
Betting ni standard prediction games na zina sheria inayotokana na standards za hiyo michezo.Sheria zilitungwa kutokana na hiyo michezo ilivyotengenezwa haifikiriwi km bahati nasibu ya kawaida ndio maana masharti yake kwa nchi nyingi sio magumu,ila nchi zilizoendelea kuna issue mashirika makubwa ya malaysia na thailand yananunua hadi wachezaji wakubwa duniani ili matokeo yaende tofauti na upande walioweka points nyingi.Na wengi tuu wameshikwa na vikosi vya upepelzi ktk michezo ulaya.hata wacheza tenisi wakubwa wamekiri kufikiwa na watu km hao. maswali yao kidogoyana ulimbukeni. Kwa taarif ayako kuna courses za vyuo vikuu zinafundisha kwa watu wa sheria, wa uchumi, na wataalamu wenye kuenda kuwa wadau ktk hiyo sector.Ila kwa ujumla wengi wanafundishana.
SIYO MFUATILIAJI SANA WA HAYA MAMBO BUT NAONA HII KITU NI REAL NA NI BIASHARA KAMA BIASHARA ZINGINE. Kwenye mabenki ipo ni kama exchange fulani ya pesa kuuza na kununua so unacheza na utofauti na wakati ili uweze kuingiza pesa. Si sahihi kuifananisha na Forever hata kidogo pia nimeona ni somo kabisa la kitaaluma. Si busara kukatisha watu tamaa maana ni kweli kuna wanaofail si kwamba wote watafanikiwa kama tu ilivyo biashara nyingine yoyoe.
 
tatizo langu ni matusi yenu kuliko majibu ya maswali ya kawaida.
Mkuu wangu kumbuka hata wewe kwenye ule uzi mwingine umenitukana, je na wewe muhuni?
Sasa wahuni km nyie mantaka wtu wakubali uhuni kwa nguvu
Kama matusi ndio yamefanya utuite wahuni, na wewe kwa matusi uliyonitukana kule basi na wewe ni muhuni tu!

Na wewe ndio mwenye makosa kuja kwenye uzi wetu na kuchokoza watu!! ungeendelea na mishe zako kuna mtu angekufwata??

Mkuu wangu ni lazima tukubali kutokubaiana, hata hapa nchini kuna waislamu, wakristo na wapagani na kila mmoja anaheshimu imani ya mwenzake!

Mimi sioni kama unachofanya ni busara maana tumeingia huku sio kwa kulazimishwa na pesa tunazotumia ni zetu na hazikuhusu wewe kwa namna yeyote!!

Kwa ustaarabu tu ni vyema ukatuacha tubaki na utapeli wetu na wewe ubaki na unachoamini!!
 
SIYO MFUATILIAJI SANA WA HAYA MAMBO BUT NAONA HII KITU NI REAL NA NI BIASHARA KAMA BIASHARA ZINGINE. Kwenye mabenki ipo ni kama exchange fulani ya pesa kuuza na kununua so unacheza na utofauti na wakati ili uweze kuingiza pesa. Si sahihi kuifananisha na Forever hata kidogo pia nimeona ni somo kabisa la kitaaluma. Si busara kukatisha watu tamaa maana ni kweli kuna wanaofail si kwamba wote watafanikiwa kama tu ilivyo biashara nyingine yoyoe.
Ashaambiwa anabaki kubisha tu!
 
Ashaambiwa anabaki kubisha tu!
Hata deci pia ilikuwa na watuw aliokuwa wakivuna na ndio walikuwa mashuhuda mbele ya wengine,tena wanakuwa mashuhuda kwa watu wanaowaamini km ndugu za.Siku linafikia kileleni ni kilio, na gonjwa kaenda okota ndugu yako na kawaletea kwa furaha kabisa.Ndio tabia ya MLM nyingi ku nyonya kupitia unduku,uhusiano wa watu.Watu wanaoaminian ni rahisi kuuzia, kwa vile kuna wanaofuata watu, kuna wanao onea wengine aibu,kuna wanaofuata mkumbo, kuna wanaoona watadhalilika mbele ya wenzao wanaojituma, na kuna watakaogopa kumwambia mtu wa karibu no huku ni king`ang`anizi.Mbaya zaidi ndugu king`ang`anizi mwenye ushuhuda wa transaction ni ngumu kumtosa,na kuweka hela hata kuuza chips.Mbona akina mangi wanauza vitu vya kawaida na wanapiga hela haswa?Hawana vilio vya matozi wa mjini.
 
Hata deci pia ilikuwa na watuw aliokuwa wakivuna na ndio walikuwa mashuhuda mbele ya wengine,tena wanakuwa mashuhuda kwa watu wanaowaamini km ndugu za.Siku uuza chips.Mbona akina mangi wanauza vitu vya kawaida na wanapiga hela haswa?Hawana vilio vya matozi wa mjini.
Soma post namba 230 hapo juu.
 
Soma post namba 230 hapo juu.
Niwatakie upatu mwema otherwise ,naweza pata kichefuchefu nikawaletea nouma personally. Forex ni kifupi cha FOREIGN EXCHANGE .Ni kama huduma za huduma za bureau de change. Au masoko ya kubadil/luuza na kununua fedha za nje.Kuwepo ktk internet hakuondoi sheria za bureau de change na ndio maana kuna mwehu sikutaka muaibisha alivyosema kuwa haifundishwi chuo kikuu. na kwa sheria ya nchi leseni ya kuendesha burau de change ni very serious amount of money,na kila mtu atatakiwa kuweka deposit BOT ya milioni nyingi haswa ili ukienda mramba watu walipwe pesa yao.

Ktk bureau de change unanunua hela na kuuza kwa kiasi fulani juu,unanua kwa bei ya chini na kuuza ya juu.Nikisema chini ina maana chini kidogo ya ile ya BOT, na unauza juu kidogo ya ile ya BOT ,kutokana na ushindani na kiasi chaa hel auanzouza na kununua.Ndio maana utaona kuna doa kuanzia $1 hadi $10 bei fulani kwa hela ya madafu, $10-$100 bei fulani etc. Wanaweza kuwana hela za nchi nyingi na wanapima kwa TSh km hela ya nyumbani.

Ugoro mwingine ni kuchanganyikiwa na mapenzi km binti aliyepata bwana siku ya mwanzo huwa natukana wazazi wake kuwa kuliko amkose huyo mwanamume bora afe, yupo tayari kwa lolote kuliko kuwacha.Siku ya siku.Huwa narudi wakili vibaya na ni too late.Ushamba wenu wa online bureau usiwe sababu ya kujiona wajuaji.Biashara ya hela nchini BOT ndio wanasiamia , mnachofanya ni haramu tena haramu sana. Na leseni zimekuwa tight km petrol station ,sasa hivi watu wengine wameamua kununua bureau za watu. Biashara ya pesa hata vodacome wenyewe wanajificha chini ya leseni ya Bank of Africa. ila wao wanajiita watoaji wa technolgia tuu.
 
vipi mmekimbia, mna haraka kwenda ibiwa kwa vile wanaowatapeli wanawaambia kuwa mnatengeneza pesa?NIlitaka uliza hiyo pesa kwenye huo mtandao zinatengezwa vipi?Wamesajiliwa wapi, address ya marekani ni virtual au real physical address?Je michango ya mwezi na hela kufundishwa ni ya nini km hela zinaingia kwa kufanya exchange ? wana hisa wapi new york stock exchange,nasqad au wapi pennye security ya hela.nani mwanzilishi wa hiyo business.Hiyo real time stock data wan aggregare toka source gani? Kwanini membership fees ukistop kuchangia unatoka km unaingiza faida. je hao jamaa wapo nchi gani nyingine ya asia?Malaysia,philipines,brazil, indonesia, thailand ndio mbingu za upatu.Kwa vile huko hakuna sheria, na raisa wanataka utajiri wa haraka. Wengi wao ndio wateja ila wanaaminishwa kuwa wajasiria mali.Wanaopata hela ni wale waliongia mapema wanaochelewa lazim ile kwao.

Kmapuni yeyote yenye physical Address marekani unaweza check na report za FBI, kwa vile FBI huwa hawaachi.Upatu ni haramu marekani.Ila virtual address ni jina tuu ila kampuni haipo nchini marekani.
ha ha ha ha we Jamaa ni Zero Brain kabisaa nikajua una kitu una fahamu kumbe hakuna lolote unalo lijua ume weka kweny mawazo yako kua Forex ni Pyramid scheme??
iv unajua hata kirefu cha neno forex ww ama una kimbilia kudandia train kwa mbele
..
Advance nimesoma Economics Topic ya international trade ndio mara ya kwanza nakutana na foreign exchange market
...
chuo pia nime pata kusoma mambo ya foreign exchange market/futures/spot mkts
...
physical nimesha wahi badil Some bucks into Tzs afu unakuja mjinga mjinga kama ww kujifanya ujuaji wakati huna hata unacho kijua et una uliza Address..


wewe ndo wale wale mnao kuja kuuliza Nani mmiliki wa Forex ama physical address ya ya Fx
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ha ha ha ha we Jamaa ni Zero Brain kabisaa nikajua una kitu una fahamu kumbe hakuna lolote unalo lijua ume weka kweny mawazo yako kua Forex ni Pyramid scheme??
iv unajua hata kirefu cha neno forex ww ama una kimbilia kudandia train kwa mbele
..
Advance nimesoma Economics Topic ya international trade ndio mara ya kwanza nakutana na foreign exchange market
...
chuo pia nime pata kusoma mambo ya foreign exchange market/futures/spot mkts
...
physical nimesha wahi badil Some bucks into Tzs afu unakuja mjinga mjinga kama ww kujifanya ujuaji wakati huna hata unacho kijua et una uliza Address..


wewe ndo wale wale mnao kuja kuuliza Nani mmiliki wa Forex ama physical address ya ya Fx
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyie ndio wale vilaza mliokuwa mnasinzia ktk darasa la uchumi na account.Kisha mkirudi mitaani mnapiga kelele sijui international trade.Mara sijui uchumi ni mgumu kuliko science.Te teh. FOREX hii hapa sio unayotaka danganya watu.Hii ni forex echanga in terms of currency only.Na ndio hiyo ya bureau dechange.Hiyo y ainternational trade inakuja kwa kuuza bidhaa na nchi nyingineinayoweza ishia kuwa fedha za kigeni au mbadilishano wa values km gold au madeni. Teh teh.


hii ni Forex kwa vile kuna kubadilisha currencey zaidi ya moja, na ni obvious kuwa huwezi kuwa na currency mbili ktk nchi moja. Kwa hiyo utabadili na hela ya kigeni(Na in fact unainunua, ili uuze kwa bei ya juu), inaenda juu kiasi gani inategemea na ushumi wa nchi na nchi unayonunua hela unabadilika vipi.wauzaji wa hivyo lazima wawe ktk news full time ili wapate data toka source mbalimbali .Ni predictions na si gambling km nyie hapa.Na hii biashara haihiitaji kuvakishwa upatu km huo huo wenu wa kugawana viingilio vya wengine waofuatia. Kilichoongezeka ni kwamba imekuwa online na hivyo kufanya iwe rahisi kwa mnunuzi wa hela kibiashara.Ktk hii biashara kuna nayeweza fany abishara kwa kuwa bereau de change, n akuna anaweza kununua hela na kwenda kubadili ktk bureau nyingine km inalipa, au akaenda bureau nyingi nkununua hela tofauti ili aje uza kupitia hela nyingine km daraja kisha kurusiha hela nyingi ktk maduka tofauti na kupata faida. zote hizi hazihitaji kuacha kulipa kodi ya mapato wala kufungashia na upatu wa kugawana hela km nyie.Nani kakuambi forex ni ugali unahitaji mboga?
 
6c70254a3bc281000ae1ec07a2895016.jpg
Ni mchanganyiko fulani wa upatu ktk forex na km betting fulani controlled na computer. Hella wanazopata ni vizo wanazolipishwa ktk membership fee, na hela kibao za kufundishwa.Zinazungushwa kiakili ktk formula za computer jamaa wanapewa kidogo kidogo cha kuendelea.Km ingekuwa biashara yenye faida halisi ya soko.wenye mtandao wasingeweka malipo ya mwezi wanayapa amjina fulani ila ukweli wanazirudisha hizo hela ktk mgao. kawaida ya upatu wanaoingia mwanzoni wengi wanajua kuwa haitokula kwao.Na wanajua wanapiga mandezi.Wengine huwalinda watumwa wao kwa kuwaambia usiongee na watu wenye akili ndogo,wapinga maendeleo,huko kutoongea kunasadia hata watu wa dini ili kulinda watu watu wao wasishawishike kutoka, na hata wakipigwa au game likianza fikia pagumu karibia na kuanguka.huwa wanaanza walaumu wateja wao kuwa shida sio upatu ,ila wao ndio wavivu.

Ni km forever living ,wanadanganyaw atu ni biashara ,kumbe wanataka kula hela yao, na mavitu wanayowauzia wanawaambia hakuna shida hata ukitumia tuu sio shida ,ila ingiza watu.Watu wanakuwa wateja wakimini kuwa ni wajasiria mali. wanakwenda gombana na rafiki na ndugu wanapopeana hasara au ndugu wakikataa kuingia ktk huo upuuzi.Wauzaji dili za upatu ni wanyonyaji wa mahusiano,anakutumia wewe kuweka uhsino wako rehani ili umuaminishe anayekuamini kununua bidhaa kwa faida yao.Na siku zote husema mafanikio ya uongo kuliko waliyo nayo. Nawajua wengi wamejenga kwa mikopo ila wanawaambia watu kuwa ni forever living, wakishakosa watu wanawapasha kiporo moto wale wale kwa kuwadhalilisha kuwa ni wao tuu hawakomai warudie km hawataona mafanikio. Watoto w ashule wengi ndio wanajiunga bila kujua.Na wafanya kazi wa serikali wasiopenda kuumia ktk bisahra halisi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
khaaaa hii ni saa7 usiku dk53 ndo nimepata nafas ya kuupitia huu uzi nakutana na hii comment yako aisee we mzee embu acha kutuvunja mbavu hivi hata shule ulipata kwenda kwel ww ume shindwa hata kuji ongeza kuingia google na ku type ....what is forex ???
unakuja kuandika kua watu wana lipwa kutokana na izo ada wanazo lipa kweli??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

ume andka maneno meengi kuna watu wana kupuuza ila mimi siwez kukupuuza aisee
we ni kilaza narudia tena aisee we ni kilaza
... usijifanye mjuaji kwa mambo usiyo yajua

 
ume mtoa wapi kilaza uyuu
mtupu kabisa uyu jamaaaa
Tukaneni sana.Ilamwisho wa siku nitaangalia km mtasimama.Jinsi matukana bila majibu ndivyo mnanitia kishefu chefu niwaanike sasa hivi> mbanwe leseni nadhani mtauza hadi urithi, kisha mbanwe, kwa money laundering, mnahamisha hela na wahuni kwa raia wasiojua na wasio na hatia,pia hamlipi kodi ktk huu ushenzi,kisha mkamatwe kwa kuendesha Ponzi nchini kinyume cha sheria.Endeleeni kunitukana. nania kakuambia kuficha upatu ktk FOREX kunasafisha upatu?
 
Back
Top Bottom