Forex inataka niua
Mimi nimeanza forex ila bado na demo next week naweka dollar 300 ninacheza pia Kamariya sport ..Nina hela za kupoteza usinishauri kuhusu uwekezaji nishawekezaga siku nyingi
 
Habari wana jamvi,
Mimi ni kijana mwenye miaka (27) nlikua vizuri tangu nmehitimu chuo nlikua natrade forex ,kwa miaka mitatu sasa , ila upepo umejigeuka nmepata hasara kubwa ,na sasa Nina tapatap yaani kiufupi sina mwelekeo isitoshe nlipanga nioe mwaka huu,
Naona kama ndoto zangu zimekatika ,najihisi kukata tamaaaa, biashara yangu imeanguka sasa nawaza labda nkajichanganye Ata nikachimbe madini kibarua geita au chunya

Au wakuuu kama Kuna mtu anaweza nisaidia mchongo wa kunisogeza popote , na wowote naweza Fanya naombeni wakuuu
Unaweza nishauri pia nifanyaje??
Kipindi kama hiki
Mimi huwa natrade options. Kuna kipindi nlikuwa natrade kwa siku profit $200-400 aisee miezi 3 iliyopita imenigeuka kila stratergy haiwork. Nimejipa likizo.
Jipe likizo mkuu uendelee kusoma
 
Unawashauri nini wanaotaka kuingia kwenye forex ili wasije fikia hatua uliyopo sasa au aliyepo forex na majanga haya hayajamkuta nini afanye ajitoe au aendelee kupambana
 
Trading is the only job where being right 40% of the time can make you rich ,and being wrong once can make you broke.
Upo sahihi mkuu Hii michezo ni Risk ila ukibutua umebutua. Tatizo ina arosto huwezi kuacha ni kama betting tu
 
Back
Top Bottom