Forex inataka niua
Huo ndio ukubwa na ndio kujifundisha maisha,

Hata hawa matajiri unao waona walipitia mitihani mingi mpaka kufika hapo walipo,

Maisha yanahitaji ubishi na roho ngumu bila kukata tamaa,

Keep going na usirudi nyuma.
Asante kaka, nmekubali nmepoteza ipo siku ntakuja na ushuhuda, kwa sasa acha nifocus na harakati za mtaan
 
Ndugu,

Ukitaka kuelewa forex Fanya ingia YouTube mtafute KIJANA ANAITWA AMIRYSAL INGIA YOUTUBE

FOREX ILI UIWEZE INABIDI UJIFUNZE FINANCIAL MARKETS zipo nyingi Hawa wanauza stocks,

Mzee ili kuielewa inabidi u parsue iwe carrier Yako hata kwa miaka mitano iviii sio jambo la kukurupuka utakula za usoo kama member mtoa madaa
Hiyo hela nanunua mbuzi na beer December nalisha watu kijijin huko marrrrrraaaangu kwa kina loose Nut
 
Bwashee ile ni biashara tu ila kwa dola 100 200 , utalia na kulaumu sana
Sisi wabongo tukiambiwa HISA hatuelewii

Mambo ya DAR ES SALAAM STOCK OF EXCHANGE. Hatunaga ufahamu nayoo

Huku mambo ya stocks exchange ni ngumu kwetu kuelewa haya masoko ya HISA.
 
Hiyo hela nanunua mbuzi na beer December nalisha watu kijijin huko marrrrrraaaangu kwa kina loose Nut
Haaa umekumbuka ya KALYNDA

Kuna muumini mwenzangu kanisanii ile KANAMBIA tuu.. anaanza kunihamasisha ananionyesha balance yake Mimi namsikiliza ila Huwa sitakagi mambo ya PRONZE PROJECTS

Jumatatu yake vilio Kila Kona ya nchii KALYNDA kafanya yake😊😁
 
kila kitu kinahitaji elimu na muda, msiwalaumu watu wanaoshindwa forex maana hata kilimo kuna watu wanakishindwa maana nacho kinahitaji elimu kuanzia soko, hali, madalali n.k so hata forex ipo hivyohivyo.
Umenena vema
 
Tueleze tujue, ulianzaje, ukafikia wapi na nini kimesababisha ukashuka hadi kuukaribia umasikini wa fedha.


Toa somo mkuu!
 
Kuna rafik yangu kajiingiza kwenye FOREX namhurumia.
Watu wanafungua maduka kila siku na baada ya mwaka-miaka kadhaa wanafunga.

Watu wanaenda shambani, wanawekeza ekari za vitunguu, nyanya, karoti, mahindi, maharage nk na wanaangukia pua, wanakula hasara.

Watu wanaenda migodini, wanawekeza wanachimba madini miaka na miaka ila hakuna kitu.

Je, forex ni nini tofauti na hizo zingine.....the higher the risk!!!
 
Kiwanda cha rasta mbagala , kiwanda cha bakheresa kazi ni nnje nnje , ukitaka kibarua cha kupalilia na kazi za mashambani cha 8000 kwa kutwa nitafute
Shindii hayo mashamba yako wapi?
 
Watu wanafungua maduka kila siku na baada ya mwaka-miaka kadhaa wanafunga.

Watu wanaenda shambani, wanawekeza ekari za vitunguu, nyanya, karoti, mahindi, maharage nk na wanaangukia pua, wanakula hasara.

Watu wanaenda migodini, wanawekeza wanachimba madini miaka na miaka ila hakuna kitu.

Je, forex ni nini tofauti na hizo zingine.....the higher the risk!!!
Wacha bwana!!
 
Back
Top Bottom