rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 6,571
- 8,897
Mkuu umechoka kudanlodi hela
Karibu Jangid buildingKu Download Rahisi Tyu Ila Io Forex Sio Ku Download Ni Mambo Ya Graph 📉
Iko wapiKaribu Jangid building
Sijui msg yangu naijibu vip naona uwanja wa reply haupandi , ebu subiri niwacheki modsKwa sasa nmeachana nayo kabisa , nifocus na maisha mengine, nlikua vizuri ila sahib ad najihirumia
Natafuta mchongo pia mwenye anaweza nisaidia aise
Eee kakaMkuu umechoka kudanlodi hela
Kiwanda cha rasta mbagala , kiwanda cha bakheresa kazi ni nnje nnje , ukitaka kibarua cha kupalilia na kazi za mashambani cha 8000 kwa kutwa nitafute
Hahah ila wapo wanao menya bwashee😃Hawa wazee wa foreksi, wananifurahisha jambo moja; unakuta wapo magetoni na kompyuta zao, wanapanga mipango huku wakipitia grafu zao za uongo na kweli, wakipeana moyo wa kutajirika bila kufanya kazi. 😁
Mzungu/ mhindi akikuita kwenye hela ujue wewe ndio hela yenyewe. 😁
Pole sana. Maisha ni shule umejifunza kutokana na makosa yako kwenye hili hutakosea tena.Kwa sasa nmeachana nayo kabisa , nifocus na maisha mengine, nlikua vizuri ila sahib ad najihirumia
Natafuta mchongo pia mwenye anaweza nisaidia aise
forex hapana mnama, ngoja niwe na akiba ya maneno.Unawekezwa na kuwekeza , inakata makali kuwili
Ni kuwekwa sio mnama😃😃forex hapana mnama, ngoja niwe na akiba ya maneno.
Hahah ila wapo wanao menya bwashee😃
nini kimebadilika je kwahio miaka mi 3 ulikua unatengeneza hela?Kwa sasa nmeachana nayo kabisa , nifocus na maisha mengine, nlikua vizuri ila sahib ad najihirumia
Natafuta mchongo pia mwenye anaweza nisaidia aise
Naogopaga sana kushindwa maisha..Hahaha acha zako daktari
Hahaha unarudi na kusimama tena bwashee maisha sio kuogopa chochoteNaogopaga sana kushindwa maisha..
Naogopaga sana kurudi kwenye UMASKINI..
Acha tuu
🤣🤣🤣Mkuu umechoka kudanlodi hela