Forex inataka niua
Mara moja tu, labda sikuwa na elimu ya kutosha😃
kila kitu kinahitaji elimu na muda, msiwalaumu watu wanaoshindwa forex maana hata kilimo kuna watu wanakishindwa maana nacho kinahitaji elimu kuanzia soko, hali, madalali n.k so hata forex ipo hivyohivyo.
 
kila kitu kinahitaji elimu na muda, msiwalaumu watu wanaoshindwa forex maana hata kilimo kuna watu wanakishindwa maana nacho kinahitaji elimu kuanzia soko, hali, madalali n.k so hata forex ipo hivyohivyo.
Yeah , ndio maana nikaacha akiba ya meneno😃
 
Naomba niulize forex ndo hii hii ya swaps options na future ama kuna nyingn??

Unaweka shngp?? Na unavuna faida kwa muda gani, na forecasting ipoje na una trade kivip 🤔
 
Naomba niulize forex ndo hii hii ya swaps options na future ama kuna nyingn??

Unaweka shngp?? Na unavuna faida kwa muda gani, na forecasting ipoje na una trade kivip 🤔
Ndugu,

Ukitaka kuelewa forex Fanya ingia YouTube mtafute KIJANA ANAITWA AMIRYSAL INGIA YOUTUBE

FOREX ILI UIWEZE INABIDI UJIFUNZE FINANCIAL MARKETS zipo nyingi Hawa wanauza stocks,

Mzee ili kuielewa inabidi u parsue iwe carrier Yako hata kwa miaka mitano iviii sio jambo la kukurupuka utakula za usoo kama member mtoa madaa
 
Huo ndio ukubwa na ndio kujifundisha maisha,

Hata hawa matajiri unao waona walipitia mitihani mingi mpaka kufika hapo walipo,

Maisha yanahitaji ubishi na roho ngumu bila kukata tamaa,

Keep going na usirudi nyuma.
"Ubishi na roho nguvu" hii ifanyiwe lamination kabisa
 
Back
Top Bottom