For the sake of National Unity, Je tumshauri Dkt. Magufuli aahidi kumteua Tundu Lissu kuwa Mbunge?

Unamaanisha amteue ili kuionesha dunia kwamba alishinda kwa haki na kwamba the election was free and fair? else more do you want to tell us kwamba national unity itajengwa kwa kumteua kuwa mbunge au kwa kuheshimu peoples wishes?
 
Achaguliwe ili alete ushoga? You must be out of your mind, the guy is bogus. Mwacheni akale alichopanda matusi yake atakula sasa wakati wa kuwahurumia wasaliti umepita yeye aende kwa mabasha wake. Never JPM hapo hapo hakuna huruma. Hatujasahau ujinga wake aliambiwa kuna maisha baada ya uchaguzi akapuuza haiwezekani. TL ahame nchi as soon as possible.
 
๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ๐Ÿ™Œ๐Ÿฝ
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kazi yako ya kusafisha vikongwe bado inakufaa khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
'' Mimi huwa sishauriwi na ni namchukia mtu anaenisjauri 'JPM
It's not true, mimi nilimsikia mwenyewe, alisema hapendi kushinikizwa!, sio
kushauriwa, Magufuli ni mtumishi wetu sisi "we the people ", ndiyo tuliomwajiri kwa kura zetu na kumlipa mshahara wa tax free na kumlisha, kumvisha na kumhudumia mahitaji yake yote bure kwa kodi zetu, hivyo tuko free kumshauri lolote, ila pia kupitia katiba yetu, tumempa uhuru wa kupokea ushauri wowote na kuuzingatia au kuupuuzia, lakini katika kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye mwenyewe as yeye, hana mamlaka ya kumchukia yoyote anayemshauri chochote, huo ni udhaifu wake wa kibinaadamu kwa vile yeye sio malaika ni binaadamu tuu kama sisi.
P
 
Magufuli ni mtumishi wetu sisi "we the people ", ndiyo tuliomwajiri kwa kura zetu na kumlipa mshahara wa tax free na kumlisha, kumvisha na kumhudumia mahitaji yake yote bure kwa kodi zetu, hivyo tuko free kumshauri lolote, ila pia kupitia katiba yetu, tumempa uhuru wa kupokea ushauri wowote na kuuzingatia au kuupuuzia, lakini katika kufikia maamuzi, anafikia maamuzi yeye mwenyewe as yeye, hana mamlaka ya kumchukia yoyote anayemshauri chochote, huo ni udhaifu wake wa kibinaadamu kwa vile yeye sio malaika ni binaadamu tuu kama sisi.
P
Viongozi wakubwa kiumri na kisiasa kuliko yeye ambao ni wastaafu walijaribu kumshauri jambo kuhusu wahanga wa tetemeko kule bukoba kwa kumwambia hata kama hautawalipa si vyema kuwaaibisha wema ilikua kuwapa pole kuliko kusema 'mwaaafwa'
Akasema kawajibu wastaafu kwamba wanawashwa washwa
Kama ukishindwa kuwastiri wazee Nana utamstahi
 
Hapana Asiteuliwe!

Na kwa kuongeza.. watanzania ni watu wa kutangatanga... Wamesafiri all their lives. Hakuna mwenye asili ya hapa (Tanzania). Kilichofanya tukimbie huko tulikokuwa awali... Hatukijui ..ila tulikimbia na tukaweza.

Sasa Wahenga walikwisha kusema Kimfaacho mtu Chake, Na Mafahali wawili hawawezi kudumu Zizi moja...na riziki ya mtu mimi ninaamini iko mguuni mwake maana atafutaye hachoki..

Tanzania ikiwa chungu, mbaya, na chama hiki cha hovyooo.. basi Ikawe heri kwako unayetafuta namna ya kufika nchi ya amani, chaguzi huru, na maziwa na asali. Ya nini utaabike ilhali mipaka hii akiweka beberu tu!?

Ingekuwa mie siridhiki na Yaniuma sana ningeshakuwa njia kueleka Ugagagigikoko nikapumzike. Shida za nini.. nguvu ulinishinda zangu mbio.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Viongozi wakubwa kiumri na kisiasa kuliko yeye ambao ni wastaafu walijaribu kumshauri jambo kuhusu wahanga wa tetemeko kule bukoba kwa kumwambia hata kama hautawalipa si vyema kuwaaibisha wema ilikua kuwapa pole kuliko kusema 'mwaaafwa'
Akasema kawajibu wastaafu kwamba wanawashwa washwa
Kama ukishindwa kuwastiri wazee Nana utamstahi
Yes that is how he was alipoingia, uchaguzi ule aliomba kura kwa kupiga pushups, baadaye alikuja kubadilika,

This time ameomba kura kwa kupiga magoti!.
P
 
Yes that is how he was alipoingia, uchaguzi ule aliomba kura kwa kupiga pushups, baadaye alikuja kubadilika,

This time ameomba kura kwa kupiga magoti!.
P
Ameomba kwa kupiga magoti lakini Watanzania walowengi hawakumpigia na wewe unajua Sasa ataenda kuangalia actual votes halafu nisikilizie kisasa chake
MITANO hii ni forever!!!!
Did you recognize this time Vote was not your secret?
Wale wote big boys ambao hawaja mpigia Kazi wanayo ikiwemo Mr. Mayalla
 
Wala haina haja, ibaki ccm pekee yake kuanzia rais, wabunge na madiwani. Maana mh. Rais alisema wapinzani wabamchelewesha kuleta maendeleo. Hopefully hata bunge live litarudi
 
Mwacheni JPM aijenge nchi yetu sio makuwadi wa wazungu waje kutuhadaa na kuchukua rasilimali zetu na kuwaacha Watanzania kuwa watumwa kwenye nchi yao.

Happy Birthday Mr. President.


1603989057667.png


Hapa kazi tu!
 
Wanabodi,

Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania interns of political awakening, there is no way, mpinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.

Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipacy Lissu wa Chadema.

Mimi Paskal Mayalla najisikia very proud kwasababu ni mmoja wa watu wa mwanzo, kumshauri Lissu agombee na rais Magufuli, na kuna sifa fulani ya Lissu anayo ambayo anamzidi Magufuli, Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.

Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM, vyama vya upinzani ni maarufu mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.

Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja hapa ni kweli.

Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri


Mkuu Kishimbe wa Kishimbe , kwanza asante kwa objectivity
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.

Mimi kwenye bandiko langu hili,
nimemshauri Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, then awateue, Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa!.

Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua reality ya ushindi wa uchaguzi sio tuu ni the votes casted, but the votes counted, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count. Ili Watanzania wenzetu watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, kwasababu they knew before, waliambiwa.

Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini intems of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza kura yako.

Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuchaguliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, mpigie Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako.

Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.

Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.

Paskali
Absolutely not, kwanza sidhani kama atakuwepo, ila hapana hapana hapana...
 
Wanabodi,

Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania interns of political awakening, there is no way, mpinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.

Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipacy Lissu wa Chadema.

Mimi Paskal Mayalla najisikia very proud kwasababu ni mmoja wa watu wa mwanzo, kumshauri Lissu agombee na rais Magufuli, na kuna sifa fulani ya Lissu anayo ambayo anamzidi Magufuli, Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.

Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM, vyama vya upinzani ni maarufu mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.

Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja hapa ni kweli.

Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri


Mkuu Kishimbe wa Kishimbe , kwanza asante kwa objectivity
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.

Mimi kwenye bandiko langu hili,
nimemshauri Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, then awateue, Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa!.

Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua reality ya ushindi wa uchaguzi sio tuu ni the votes casted, but the votes counted, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count. Ili Watanzania wenzetu watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, kwasababu they knew before, waliambiwa.

Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini intems of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza kura yako.

Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuchaguliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, mpigie Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako.

Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.

Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.

Paskali
Wewe mtu njaa zako zinakupeleka pabaya.
 
Back
Top Bottom