DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 805
unaota?
tuwasiliane saa1.30 baada ya pambano kumalizika mkuu.
Huyo mjinga mjinga huwa anapigana na wazembewazembe
unaota?
Kitu kinagonga ka nasubiri matokeo ya Dr.Slaa akiongoza,mana CCM wanaweza piga mabom mda wote wakimbie na masanduku
We ndio mpuuzi maana unaeleza mambo yako ya chumbani pasipohusika... Huyo mke ulioa au uliokota? Hukuambiwa mambo ya chumbani ni ya wawili na yanaishia chumbani? Na yeye umemtaarifu kuwa umepost kuwa anakusumbua? Wapo watu wamekaa wametulia unadhan ujumbe wako unawafanya wajisikieje? Majibu uliyopewa yanakustahili
Mghosi
Hawa jamaa wanaotwangana sahivi Santa Cruz vs Gayetano wako tight sana
we rudi kulala tu naona unadandia gari kwa mbele au unataka kununua kesi,kwanza aliyeleta mambo ya chumbani sio mimi ni Eddy Love,jamaa mwingine akatukana.sasa kosa langu kukerwa na matusi??mkuu acha tusibiri pambano tu,kwenye ligi za matusi we ni dogo sanaWe ndio mpuuzi maana unaeleza mambo yako ya chumbani pasipohusika... Huyo mke ulioa au uliokota? Hukuambiwa mambo ya chumbani ni ya wawili na yanaishia chumbani? Na yeye umemtaarifu kuwa umepost kuwa anakusumbua? Wapo watu wamekaa wametulia unadhan ujumbe wako unawafanya wajisikieje? Majibu uliyopewa yanakustahili
Mghosi
We ndio mpuuzi maana unaeleza mambo yako ya chumbani pasipohusika... Huyo mke ulioa au uliokota? Hukuambiwa mambo ya chumbani ni ya wawili na yanaishia chumbani? Na yeye umemtaarifu kuwa umepost kuwa anakusumbua? Wapo watu wamekaa wametulia unadhan ujumbe wako unawafanya wajisikieje? Majibu uliyopewa yanakustahili
Mghosi
Nenda kalale wewe,mda wote unawaza ccm tu
huu ni usingizi ama ni hangover?
yani ndondi ni maigizo,yale manundu kumbe yanatokana na uigizaji?
Hii game nawezaje kuipata online!?
isingekuwa CCM kupoteza dira pengine Matumla angekuwa anapambana na MaywezaVijana wa CDM wanazani kila kitu cha kuleta JF,angepeleka MMU huko,huyo kijana aliwai let's ugomvi wa mapenzi Halimashauri Igunga jukwaa LA Siasa
Hamna legelege kila mtu yuko vizuri hamna mteremko.