Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Kumbe wewe ni team Mayweather....

Tayari lakini ushanunua hiyo PPV?

Maana jamaa wa HBO wanashauri watu wanunue mapema kuepuka msongamano.

Mi hapa tayari nshanunua. Siamini nimetoa $99.99.

But oh well....

Hahahahaha nilijua utanunua tu ingawa ulilalamika sana. Jamaa wanatengeneza hela sana safari hii
 
Mayweather doesnt need any encouragement from the media. The one good reason people not supporting him as Nyani Ngabu put it, everyone wishes he could he could be served 'the humble pie'. Mwisho wa siku he is over confident and flaunty, ndo maana hapendwi. All this media frenzy against him is just pushing him higher. Hebu tuweke bet bossman (ya pesa, sio in kind lol)
The media has everything to do with it...
boosting one confidence or undermine it
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mayweather doesnt need any encouragement from the media. The one good reason people not supporting him as Nyani Ngabu put it, everyone wishes he could he could be served 'the humble pie'. Mwisho wa siku he is over confident and flaunty, ndo maana hapendwi. All this media frenzy against him is just pushing him higher. Hebu tuweke bet bossman (ya pesa, sio in kind lol)


Simuamini PACMAN kama ataweza kushinda
otherwise ningeweka bet.....
 
Mayweather doesnt need any encouragement from the media. The one good reason people not supporting him as Nyani Ngabu put it, everyone wishes he could he could be served 'the humble pie'. Mwisho wa siku he is over confident and flaunty, ndo maana hapendwi. All this media frenzy against him is just pushing him higher. Hebu tuweke bet bossman (ya pesa, sio in kind lol)


I didn't know you are in love with Mayweather ..
I didn't know you even know a thing about boxing ....
 
Ukiangalia vzr mapambano mawili ya mwisho ya mayweather utaona jinsi gani hii game atapoteza coz raundi za mwanzo anapigwa sana sasa kwa kasi ya Pac man lazima akae.
 
You dont know so much about me The Boss. Hahaha, at least you know that i can shoot you.
(kuna binti ofisini kaniambia i am weird. Nilicheka sana)

The people we think we know them always surprises us...always..
if you are different ,you are weird ...
 
The Boss, i am so in lov with mayweather. With the same passion i had for king alli and tyson. Im just worried kuwa he will end up in the same ditch and be a broke arse nigga like mike. Ila nilishatolewa wasiwasi kuwa his very expensive house and cars are also good investments. I also wish he didnt flaunt that much
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
The Boss, i am so in lov with mayweather. With the same passion i had for king alli and tyson. Im just worried kuwa he will end up in the same ditch and be a broke arse nigga like mike. Ila nilishatolewa wasiwasi kuwa his very expensive house and cars is also a good investment. I also wish he didnt flaunt that much

that's weird..but a weird woman is so sexy too....
 
I enjoy my life and i never categorize as it being anything. I also watch top gear and follow up car racings and football. I dont blame the poor gal kwa kunishangaa hahaha.

Cc Kongosho (usiseme naangalia cartoon pia)
The people we think we know them always surprises us...always..
if you are different ,you are weird ...
 
Last edited by a moderator:
I will take that as a compliment, sir. Im honoured
And nasty too...:banghead:

Dont even go there. kui is on the que. Mnaharibu uzi wa mayweather bwana. Hivi yule bondia wetu mwenye kesi ya unga kesi yake ilimalizika?
that's weird..but a weird woman is so sexy too....
 
Last edited by a moderator:
Tusubiri hiyo siku, tuombe uzima

Naona dunia imeishiwa wanamasumbwi wa ukweli wazee wa "heavy weight" mpaka watu wanasubiri kwa hamu kutazama hawa wavulana! Enzi za kina Tyson wala dunia isingetaharuki kwa pambano la uzito wa saizi ya kina Matumla! Nimeangalia kwenye you tube mapambano kadhaa ya wote wawili halafu nikaangalia na mapambano ya mnyama Tyson mpaka nikacheka! Kweli ni mabondia wazuri kwa kiwango chao lakini wajanja wamewa-overpromote kwa malengo ya kibiashara na dunia imeingia mkenge! Ndiyo maana kuna wasi wasi kuwa mchezo utakaochezwa utakuwa wa kisanii ili matokeo yawe sare ili warudiane na wajanja wapige tena pesa! Wajanja wamefanikiwa kuliko muda wowote mwingine kuufanya mpambano huu kuvunja rekodi ya matukio ya kibiashara duniani! Wameuita ni mpambano wa karne na mtu asipokuwa makini anaweza kufikiri kuwa ni pambano kali kuweza kutokea katika historia ya masumbwi duniani, kumbe wanamaanisha ni mpambano ambao umepigiwa chapuo kuliko mapambano yote yaliyowahi kutokea na ni tukio la aina yake kibiashara maana limeingiza pesa nyingi mno kupitia udhamini na haki za matangazo, kiingilio japo ni kikubwa ni kama nyongeza tu!
 
Pambano litakuwa kali na gumu sana, ila nahisi Pacquiao ataingia kichwa kichwa ili amalize haraka kwa KO. Si ajabu kambi yake watamwambia kwenda 12 rounds na Money Mayweather ni kujitafutia mkasa kwa hiyo biashara asubuhi jioni kuhesabu faida. Hakikisha unammaliza kabla ya round ya 5 kwa KO. Haya yanaweza kuwa makosa makubwa sana kwani defence ya Manny iko weak sana hapo ndipo Money Mayweather atafanya karamu na kumpeleka kwenye sakafu Pacquiao chaliiii. Mphilipino atajitahidi kuinuka lakini inuka inuka na wewe, mchezo umekwisha. Mbona itakuwa raha lol!

Mayweather ni mjanja Sana kuna namna yale ya kukinga na shoulder ya kushoto utadhani mkono wa kushoto haufanyi kazi,ingawa Tyson alisema mayweather hakumpata mtu wa kumsumbia mashindano yaliyopita ila hii atapigwa.
But huyu mfilipino atapigwa watu hawataamini
 
Naona dunia imeishiwa wanamasumbwi wa ukweli wazee wa "heavy weight" mpaka watu wanasubiri kwa hamu kutazama hawa wavulana! Enzi za kina Tyson wala dunia isingetaharuki kwa pambano la uzito wa saizi ya kina Matumla! Nimeangalia kwenye you tube mapambano kadhaa ya wote wawili halafu nikaangalia na mapambano ya mnyama Tyson mpaka nikacheka! Kweli ni mabondia wazuri kwa kiwango chao lakini wajanja wamewa-overpromote kwa malengo ya kibiashara na dunia imeingia mkenge! Ndiyo maana kuna wasi wasi kuwa mchezo utakaochezwa utakuwa wa kisanii ili matokeo yawe sare ili warudiane na wajanja wapige tena pesa! Wajanja wamefanikiwa kuliko muda wowote mwingine kuufanya mpambano huu kuvunja rekodi ya matukio ya kibiashara duniani! Wameuita ni mpambano wa karne na mtu asipokuwa makini anaweza kufikiri kuwa ni pambano kali kuweza kutokea katika historia ya masumbwi duniani, kumbe wanamaanisha ni mpambano ambao umepigiwa chapuo kuliko mapambano yote yaliyowahi kutokea na ni tukio la aina yake kibiashara maana limeingiza pesa nyingi mno kupitia udhamini na haki za matangazo, kiingilio japo ni kikubwa ni kama nyongeza tu!

Mimi ni mshabiki wa ngumi na racing cars sana, hili pambano la Floyd na Paqc ni kwamba huyu mayweather ni chicken amemkwepa sana pacman kupambana nae kwa muda sasa ndio maana tuna shauku ya kudundwa kwake. Na boxing ni boxing tu wawe under 50kg au over 90kg+ bado inaleta hamasa ya kuangalia. Kina Ruslan na Tyson Furry na ma heavyweight wengine hiyo ni habari nyingine maana ngumi ni uzito wa lumbesa kkkk
 
Sidhani kama alikuwa anamkwepa kwa sababu alikuwa anamuogopa. This is the most expensive boxing match ever. He was just building up his bargaining power by playing hard to get.

Kama ulishaangalia ngumi za mohammad alli his biggest trick was to upset the opponent and frustrate him. Alikuwa anamtukana mshindani mwanzo mwisho. Just so in this one i wish moneyweather can use that card hehehe.
Mimi ni mshabiki wa ngumi na racing cars sana, hili pambano la Floyd na Paqc ni kwamba huyu mayweather ni chicken amemkwepa sana pacman kupambana nae kwa muda sasa ndio maana tuna shauku ya kudundwa kwake. Na boxing ni boxing tu wawe under 50kg au over 90kg+ bado inaleta hamasa ya kuangalia. Kina Ruslan na Tyson Furry na ma heavyweight wengine hiyo ni habari nyingine maana ngumi ni uzito wa lumbesa kkkk
 
Back
Top Bottom