ndio ukweli wenyeweMmoja hapo juwa limempiga amenyoosha mikono.
ndio ukweli wenyeweMmoja hapo juwa limempiga amenyoosha mikono.
Arudi kwa Mungu nafasi ingalipo tuSijawahi kumuelewa huyu Dada. Ni bora aimbe taarabu tu.
Mangatara una point lakini;Mariana;
Do yu realy love Jesus? Hivi kweli weye ukiangalia ile clip. Mama mwenye mtoto/watoto na heshima zake angeacha miziwa ile nje kihivyo?? Yes, am a Christian, Born Again, I mind not of what yu put on but let it be, Nguo ya heshima kama wewe ulivyo wa heshima.
Chunga maneno unayosema in public. Si hayo ati alikuwa bikra. What a bla blaa
Walitoa ushuhuda.
wakati wakitoa historia ya penzi lao 'tamu' na 'tukufu' katika gazeti kipindi walipotimiza miaka kumi ya ndoa,waliipa jina 'miaka kumi ya ndoa bila DOA'.
Mangatara una point lakini;
Nakushauri uwe unafuatilia mwendelezo wa post kabla hujajibu hiyo post, ni kweli ms lincolin alipost post tatanishi kuwa Flora alikuwa bikra, lakin katika mwendelezo akafafanua ni wapi alisikia hivyo, kwamba Mbasha alisimulia wakati wa maadhimisho ya miaka 10 ya ndoa yao...lakini kwasababu uli react mapema ndipo twaona kuwa ulikosea kwani tuliofuatilia maelezo tumepata majibu.
Siku zote usiwe mqepesi kuhukumu kabla hujafanya utafiti wa jambo lolote lenye utata.
Nimejaribu kueleza haya baada ya kujitambulisha KUWA NI BORN AGAIN....ungekuwa mla mirungi ningepuuzia...chukua tahadhari na usiwe na hisia kali jf utakosea
Acha uchocheziKwa kweli Mbasha ameniangusha.
Nadiriki kusema ni boya.
Acha uchochezi
Duh afadhali umeliona na kulikiri kosa lako, utaiona Mbingu usijali.Mkuu;
Nashukuru kwa kuniweka sawa na ni kweli nili react mno baada tu ya kumsoma mchangiaji kuwa ati Flora alikuwa bikra. Hiyo tu iliniumiza sana kwani hatuna haja ya kuwasemea watu mavitu hayo. Aksante
Duh afadhali umeliona na kulikiri kosa lako, utaiona Mbingu usijali.
Uwe na amani. Mchana mwema.Mariana;
Aksante kwa kunisamehe
Lakini ndoa dio jela jamani, mbona mnalichukulia swala la ndoa kimazoeya Sana, Ni bora nikosee kwenye ndoa kuliko kukosea kujenga nyumbaa, ndoa sio jela walimwengu.
Kipenda roho jamanii
Mbasha hana pa kula tuu.
Hajitambui ya dunia yamemnogeaArudi kwa Mungu nafasi ingalipo tu
Sio kwa kupoteana huko MarianaUwe na amani. Mchana mwema.
HahahaKipenda roho jamanii