Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,174
- 5,059
....TOMBAAAA WEYEEEEEEEEE EBOOOOOOOO.... Kweli kabisa au ni porojo tyuuiIla walikutana Flora akiwa Bikra kabisa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....TOMBAAAA WEYEEEEEEEEE EBOOOOOOOO.... Kweli kabisa au ni porojo tyuuiIla walikutana Flora akiwa Bikra kabisa....
Sasa sijaelewa,kwani Mbasha ni kweli anamng'ang'ania Florah?Na je Florah kazaa na nani?Mbasha anadai frola anamtoto nje ya ndoa kitu ambacho sio kizuri hata kwa jamii yetu
Hivi huyu mtoto sio wa Mbasha kweli? Duh.Ameen! Ahsante kwa wish
Ila huyu mbasha alifanyiwa tukio pekee linalo ruhsu talaka kwa mkristo, mke wake alizaa nje ya ndoa.
Sasa kinacho msibu either ni njaa, au ubwege ule wa kupenda hadi kupitiliza ndio maana anajifanya ana ng'ang'ania
Ila walikutana Flora akiwa Bikra kabisa....
If you cant prove it, leave not your commentsIla walikutana Flora akiwa Bikra kabisa....
Mwanamuziki wa Injili nchini, Flora Mbasha amesema kuwa watu wamuache na maisha yao kati yake na Mbasha kwani mapenzi ni kitu binafsi kati ya watu wawili na anaishi kama anavyotaka na sio kama watu wanavyotaka aishi
Amedai kuna watu wanajifanya wanamjua maisha yake kuliko yeye na kumbe sivyo, pia kwa sasa anataka afahamike kama Madam Flora na sio Flora Mbasha kwa kuwa kuna talaka ipo kwenye process
na hiyo avatar yako!na jina lako kamili dah!Mimi mwenyewe nilikosea kuoa sasa ivi naishi na adui chumba kimoko ni fulu matatizo na huyu adui anazidi kutanaua eneo lake la ulowezi.
..Hivi Thamani ya Bikra kwa Dunia tuliyopo sasa imekaaje?....nahisi bado siyo kipimo Sahihi cha Wema na Tabia nzuri ya Mwanamke...Bikra ni bikra na Tabia chafu ni chafu tu..wengi hutunza bikra kwa sababu ya uoga wa kuanza huo mchezo...na wachache sana hutunza kwa ajili ya maadili na heshima..lkn bikra nyingi ni za mabinti waoga.ts strange bt trueIla walikutana Flora akiwa Bikra kabisa....
Kwanza mkuu siyo sahihi kuoa kwa kigezo cha bikra..bikra ni nini?kiuhalisia haina maana ni upuuzi tu....maana kimaumbile na kihisia msichana akitolewa bikra hamu/hamasa ya kuanza kutaka kujua radha tofauti hupanda na huwa katika kiwango kikubwa sana...kusalitiwa baada ya kuitoa hiyo bikra huwa kupo tu labda achelewe tu, lakini kwa upande wangu mimi binti bikra siyo mtu sahihi wa kujenga ndoa yake...ni mawazo yangu huru kabisaHapo ndio naamini ndoa ni zaidi ya Bikra