Kazwala mkuu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,034
- 2,247
Yote kayataka Ngwaji.m haya!
Ha ha haMimi mwenyewe nilikosea kuoa sasa ivi naishi na adui chumba kimoko ni fulu matatizo na huyu adui anazidi kutanaua eneo lake la ulowezi.
Hakuna kusurender bora kufa kiume kuliko kuishi na mtwasiMmoja hapo juwa limempiga amenyoosha mikono.
Gwajima kamuharibu huyu mtoto wallahi.Kama sio mjukuu wa Askofu Kulola vile. Ni aibu sana kwa kweli.Anataka sasa kuishi kama atakavyo,sio kama Mungu atakavyo.Ndio,amefika mbali.She wants to be a "free builder,yes,a Freemason ."
Msg of the day
Ndo kajanjaruka sasaIla walikutana Flora akiwa Bikra kabisa....
Pole kaka, hawa viumbe ni sawa na kuishi na joka ndani!Yaani ukikosea hapo utapata kovu la milele, yamenikuta Mimi...
NASHANGAA WANAOTAFUTAGA KUOA BIKRA BADALA YA KUTAFUTA MWENZA MNAYEENDANA MKAVUMILIANA NA MKADUMUWalitoa ushuhuda.
wakati wakitoa historia ya penzi lao 'tamu' na 'tukufu' katika gazeti kipindi walipotimiza miaka kumi ya ndoa,waliipa jina 'miaka kumi ya ndoa bila DOA'.
TEHETEHE uliwachunguliaEbu ntolee stress zako....!Ndio niliwachungulia
hahahah du hadi wadada mshamuona huyu kawa boya sasa..hii kaliKweli huyu zumbukuku mzungu wa reli
haha bora mseme nyie wanawakeUkisikia mwanamme zoba ndio huyo.
Popote kambiTabia nzuri ndiyo silaha utapendwa popote
Ila walikutana Flora akiwa Bikra kabisa....