Siyo msukule mkuu, huyu Ima ni bwege Nazi, au kimjini mjini tunawaita marioo. Hawez Fanya maisha bila mgongo wa flora. Poor himWatu wengine sijui wanalishwaga nini ? Ni hii hii papuchi ? Jamaa kama msukule
Mkuu umenikosha sana,Ufahamu ndio unaomtofautisha mwanadamu na wanyama wa mwituni.....
Mwanadamu anapoacha kutumia ufahamu wake vyema......na kuamua kuwa mtumwa wa matamanio yake.....hakika mtu huyo amepotea.....
Tunapotumia fahamu zetu vyema....ndio tunaweza kupambana na changamoto za maisha yetu.....
Mwanadamu hawezi kubaki salama kwa kuishi kwa kuendekeza matamanio yake.......bali kwa kutumia vyema fahamu zako ambazo ni kama zawadi kutoka kwa Mungu.....
Kwa kutumia vyema ufahamu mwanadamu anaweza akacheza na nyoka mwenye sumu kali....au hata kumfuga mnyama hatari nyumbani kwake.....
THINK BIG.....TAKE CONTROL OF YOUR DESTINY....
Km mwenzake hataki hauoni kuna kuuana mbele hukoMbasha anaijua heshima ya ndoa, Mungu amsaidie arudiane na mkewe, they are making a wonderful couple, I love seeing their couple!
Mmmmh BAFA, amsalimie Dr Tulia, kivipi?Mbasha ni mjanja mjanja na ni mtoto wa mjini anataka kick za media wala hana shida na flora by the way ampe salaam naibu spika dr tulia...
Dahh mkuu busara yako ipo juu sana maneno adhwim sana hayoUfahamu ndio unaomtofautisha mwanadamu na wanyama wa mwituni.....
Mwanadamu anapoacha kutumia ufahamu wake vyema......na kuamua kuwa mtumwa wa matamanio yake.....hakika mtu huyo amepotea.....
Tunapotumia fahamu zetu vyema....ndio tunaweza kupambana na changamoto za maisha yetu.....
Mwanadamu hawezi kubaki salama kwa kuishi kwa kuendekeza matamanio yake.......bali kwa kutumia vyema fahamu zako ambazo ni kama zawadi kutoka kwa Mungu.....
Kwa kutumia vyema ufahamu mwanadamu anaweza akacheza na nyoka mwenye sumu kali....au hata kumfuga mnyama hatari nyumbani kwake.....
THINK BIG.....TAKE CONTROL OF YOUR DESTINY....
that's what i think"Begging" pushes a woman away. It makes you look weak and unattractive.
na mwingine anabebwa............Mmoja hapo juwa limempiga amenyoosha mikono.