MNYAMAKAZI
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,118
- 2,193
Mwanamuziki wa Injili nchini, Flora Mbasha amesema kuwa watu wamuache na maisha yao kati yake na Mbasha kwani mapenzi ni kitu binafsi kati ya watu wawili na anaishi kama anavyotaka na sio kama watu wanavyotaka aishi
Amedai kuna watu wanajifanya wanamjua maisha yake kuliko yeye na kumbe sivyo, pia kwa sasa anataka afahamike kama Madam Flora na sio Flora Mbasha kwa kuwa kuna talaka ipo kwenye process
Madam Flora wapi aseme tu tumuite Flora Gwajima. Siku hizi kwa Yesu talaka zipo.