kipara feki
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 232
- 211
Hii itakuwa pomerini secondary schoolSeptember 25 every year tulikuwa "tunawakata mkia" form one. Kipondo kilichokuwa kinatembea siku hiyo...
Hii itakuwa pomerini secondary schoolSeptember 25 every year tulikuwa "tunawakata mkia" form one. Kipondo kilichokuwa kinatembea siku hiyo...
Tumebambia kinyama hakukuwa na geti ipax ndio ilikuwa home manurse wamebambiwa acha tu ugwadu noma sana uboyznKwa hiyo ulibambia sana au tayari walikuwa wameshaweka Ulinzi na Gate kali,Sisi hadi Uefa tunaingia Ipax night kali kuona mechi back in day
aiseeehh!hadi niejiskia vbaya!Nilisoma shule moja hivi O Level yangu..
Form four ndo walikuwa vinara wa kuwaburuza Na kuwatesa form one.
Hii siku sitakuja kuhisahau kamwe, majamaa yakaingia bwenini kwetu, hapo niko form one.... Mmoja akakaa mlangono, yaani hakuna hata form one mmoja alitakiwa atoroke.
Wengine wakaanza kupita kila kitanda kutuvutisha bangi, basi kila mtu alikuwa anapiga pafu mbili au tatu.
Form four mmoja akamkata mmoja wa form one, akamuuliza kichwa cha ub.oo wako na wangi kipi kikubwa.... Form one akijibu cha kwangu...
Daah, lile jamaa likamchukua yule form one akaenda naye chamba, akatoa mashine yake akaipaka mafuta, kisha akamwambia yule form one aanze kuisugua, yaani kumpigisha puny.eto..
Jamaa alisugua hadi yule form four kapiga bao...
Aisee....naomba niishie hapa, maana yako manyanyaso mengi sana, na nikikumbuka machozi yananitoka...
Mjasiriamalhehe.. nlikua natoroka usiku kwenda mjini kununua chips mayai sh1500 na kuja kuuza hostel kwa wanafunzi wenzangu kwa sh 2000
Daah maisha ya boarding raha sana kundi letu tulikuwa wahudhuriaji wazuri sana wa Matanga,harusi,na misiba na kufanya kazi zote ila target yetu ikiwa ubwabwa.
Disko vumbi na zile za usiku tulikuwa hatukosi.
Kila Ijumaa chumbani kwetu kulikuwa na mashindano ya Mieleka yanatandikwa magodoro chini zinapigwa hapo na mtu akitandikwa pakauma sana jua mchezo unageuka kuwa kweli wa kuja kuamua kaka mkuu au patron.
Ukiwa mwizi ukikamatwa kuna mawili uchoropoke utokomee usirudi au wazazi wako wapelekewe ripoti kuwa mwanenu yupo ICU
Kuna Mbabe huyo ye alikuwa anawatoza hela wadogo kwa kuwakusanya chumba kimoja kisha anaweka kapu katikati anawambia waimbe ule wimbo unaotumika makanisani kipindi cha kutoa sadaka unaimbwa hivi"toa ndugu toa ulichonacho...." ukiweka hela kubwa hakupi chenji hata ukiomba anakwambia kwani kanisani huwa unadai chenji.
Siku ya kula wali ndo watu tulikuwa tunaoga na mtu akiwa msafi ujue ana demu.
Bila kumsahau jamaa yangu mmoja ye alikuwa addicted na punyeto mpaka alipinda mgongo mana alikuwa mrefu akitaka kupiga lazima ainame kidogo.
Nina mengi ila kwa leo inatosha....boarding raha asee tena za mixer mana hata mwanao hawezi kuwa mzembemzembe wala punga..
Yani uonevu wa hali ya juuaiseeehh!hadi niejiskia vbaya!
Kama umejua vile, kule kakunyu ilikuwa mahali sahihi sana kwangu. Umenikumbusha na KIMUKI. Hahahahaaa mwana kiunga na tanga ya teti.Ilikua inaitwa KAKUNYU(Kampuni ya Kusomea Nyumbani), utakua mwana kiunga wewe
Haha, Kwanjeka tulikuwa tunaenda usiku siku ya JumapiliAh,ah pande za kwanjeka, makorora ,nn yajulisha umekula sana ubwsbwa wa harus, na mauld ya tanga ,
Acha tu yani alitufaidi ila ndo tulikua hatuna namna mana fimbo zake akikutandika wiki nzima unakaa upande upande kwa maumivu, tukaona bora tumzawadie picha ya makalio tuHahahaha kama namuona ticha alivyokuwa kaganda akitizama wowowo
Mkuuu nahisi Mwakasege itakuwa unamuelwa sana.. hahaha loleza wadda watamu sanaaaa waleAisee hamkufaidi kabisa,mbona sisi wale wa LOLEZA tulikuwa tunawakamatia vizuri tu!
Mkuu Mwakasege yupi? maana niliyekuwa namfahamu wa Iyunga 90s nimeambiwa he is no more.Mkuuu nahisi Mwakasege itakuwa unamuelwa sana.. hahaha loleza wadda watamu sanaaaa wale
nilikaa uhuru form v na nikakaa nyerere muhula wa kwanza 4m6 muhula wa pil sikuwa na kitanda wala so nlikuwa mtu wa kolaboWewe unasema mara sec mlikuwa na uhuru.?
Kitu milambo sec, likizo unaamua wewe, siku ya kurudi shule unaamua wewe. Kuingia darasani uamue wewe, kuzurura street uamue wewe. Toka nimefika pale form 5 shule muhula mzima ulikatika bila waalimu. Form five yote ilikatika bila kufanya annual wala terminal wala test.
Pepa ya kwanza kufanya pale shule ilikuwa ni Mock ya form six, pepa ya pili ilikuwa Necta itself. Practical tulianza kufanya miezi mitatu kabla ya necta. Still tulipenya. Ila yale maisha yametufunza mengi. Shule eneo dogoooo, hata heka 10 hazifiki ila shughuli yake ilikuwa pevu. Tabora boys na Girls wanaelewa Milambo ni watu wa aina gani. Kuna matukio hawatokuja kuyasahau. Kumwagiwa kinyesi kwa Tabora girls na kupigwa mara kwa mara kwa Tabora boys kila tulipokutana nao uwanja wa mwinyi ni stori zitakazoishi milele katika shule hizo.
Daa sitosahau maisha yale chini ya Mr Majubwa himself. Miss sana mitaa ya chemchem na mabanzi.
alipona mkuu na vp alihama kw fedheha au ndio hardcoreSisi kuna dem alipigwa mtungo na dom zima la form six mpaka leo nawaheshimu wanawake.
Hilo godoro lilikua kama lililowekwa kwenye maji hapo kati.
Kipindi hicho ndio ilikua tunafunga shule kesho yake na hakua na tatizo lolote ni hardcore aliyekubuhu.alipona mkuu na vp alihama kw fedheha au ndio hardcore
Daah huyu Lukas ana akili sana, kwa hili daah nampa heko!!Mwaka 2000 (mara sec) kuna dogo alikuwa anaitwa Lukas kwenye pepa za annual kuna madam alikuwa anapenda kupekuwa wavulana kwa kuingiza mkono wake mfukon kucheki kama tumeficha nondo kabla ya kuingia kwenye chumba cha pepa, tabia ya madam ikawa inamkera sana dogo Lukas usiku bwenn akasema" kesho ndo mwisho madam kutukagua" hakuna aliye jali kauli hii tukajua ana zingua
Kesho yake kumbe dogo alichana mfuko wa suruali yake then hakuvaa chupi kwa hiyo kwenye ukaguzi madam alipoingiza mkono wake kwenye mfuko wa suruali ya dogo mkono ukapitiliza hadi kwenye centre of gravity madam alishtuka km kakanyaga snake zoez la ukaguzi liliishia hapo madam kasepa ofisini, aibu kibao
Nini kilifuata baada ya hapo? hahahahahaHahaaaaa huu uzi umenikumbusha mbali sana nakumbuka kulikua na ticha mmoja alikua bingwa wa kukariri yani hata akiona kisogo tu anajua we ni nani sa siku moja tulikua tunajipikilisha wali kwenye mashimo yaliyotokana na adhabu tulizokua tunapewa za kufyatua matofali, sasa tukasikia sauti ya viatu inakuja upande wetu kucheck hv ni huyo ticha tulichokifanya ni kukimbia huku sketi tumezinyanyua juu kuficha kisogo mwalimu asitujue huku tukiacha sehemu za makalio wazi afu ticha mwenyewe ni wakiume daaah