Flash Back Memories: Matukio ya Boarding School

Flash Back Memories: Matukio ya Boarding School

Hii nakumbuka sana,nilivyofika form one, siku nimeenda prepo washkaji wa form three wakaja bwenini kwetu wakapiga tranka langu kipepeo wakaiba vijisenti kidogo.

Nilivyorudi nikakasirika sana, nikafanYa uchunguzi nikawagundua. Nikavizia siku form three wameenda shambani nikaingia bwenini kwao nami nikafungua matranka yao hao washkaji wawili.

Nikakuta hamna cha kuiba, hivyo nikaamua tu Kunya na kukojoa humo then nikasepa...
Hahahahaha. Sipati picha endapo walikugundua
 
Ihungo Ukimmiss demu wa Rugambwa uliyecheza naye disco unasimama kwenye vyoo vya shule unatazama madarasa yao roho inatulia.
 
hahahaa mkuu haitakaa itokee kama mara sec simu tunachaj na extentn tunanunuliwa.....watu wanavaa watakavyo hakuka shamba dres.....shule haina uzio wala rokoo so ukilala nje hakuna ajuaye....sheria mkononi mwa wanafunZ ushikwe mwiZ utaisoma no...HKL ndio wabishi hawana mfano ila EGM wao no msul yan kutoboa ozon.....kichelewa kuripot baada ya likizo.....hakuna vikao na walim hata kufunga shule ni wewe ukimaliza pepa la mwisho ndio mwanzo wa likizo yako,yan hapa mtu anaganya pepa la mwisho tiket iko mfukon beg liko nje ya mlango wa darasa......kinguni usiseme......hakuna mtu anayekunywa kwenye kikombe ni mwendo wa majag,vikarai,visado vya tos.....msuli chaka kama kawa,....mara sec na musoma tec madem zao ni songe na chif...weekend ni kuzurara utakavyo na unatupia utakavyo......uji huwa ni saa nne saa tano na nisu klas so watu huwa wanadoj ama ukienda bas utawakuta wanasinzia kibao.....walim wa kike wanapendwa zaid.....kitu kidogo mgomo na wanafunz wanazo hoja za mgomo chezea hgk....kuna watu mgano wa mimi hatujulikan sababu naingia class siku za pepa ni mwendo wa msul chaka

ile shule uhuru wa manyani mpaka raha, wakijaga watoto wa kilimanjaro wanakimbiaga fasta, nakumbuka siku moja mwanafunzi alipigwa beto uwanjani baada ya kumaliza kiwanja cha mpira unapanda sasa kuingia shuleni, akakimbia huku anapiga kelele, dah kesho yake walifunga mabegi watoto wa kichaga ka 10 hivi. Sema mkuu wa shule alikua peace sana na wanafunzi, ila second nyodo nyodo nyingi sana
 
hahahaa mkuu haitakaa itokee kama mara sec simu tunachaj na extentn tunanunuliwa.....watu wanavaa watakavyo hakuka shamba dres.....shule haina uzio wala rokoo so ukilala nje hakuna ajuaye....sheria mkononi mwa wanafunZ ushikwe mwiZ utaisoma no...HKL ndio wabishi hawana mfano ila EGM wao no msul yan kutoboa ozon.....kichelewa kuripot baada ya likizo.....hakuna vikao na walim hata kufunga shule ni wewe ukimaliza pepa la mwisho ndio mwanzo wa likizo yako,yan hapa mtu anaganya pepa la mwisho tiket iko mfukon beg liko nje ya mlango wa darasa......kinguni usiseme......hakuna mtu anayekunywa kwenye kikombe ni mwendo wa majag,vikarai,visado vya tos.....msuli chaka kama kawa,....mara sec na musoma tec madem zao ni songe na chif...weekend ni kuzurara utakavyo na unatupia utakavyo......uji huwa ni saa nne saa tano na nisu klas so watu huwa wanadoj ama ukienda bas utawakuta wanasinzia kibao.....walim wa kike wanapendwa zaid.....kitu kidogo mgomo na wanafunz wanazo hoja za mgomo chezea hgk....kuna watu mgano wa mimi hatujulikan sababu naingia class siku za pepa ni mwendo wa msul chaka

shule mnapewa na mikate kila jmosi na j2, nyama mara 3 kwa wiki, wali na ndizi, aahhh utake nini sasa.
 
1.Nakumbuka tulivyogoma kula tukapigwa SP form six wote mwezi mmoja ukirudi unarudi na mzazi na barua ya serikali ya mtaa.
2.Vijana wa shule za Boyz kuwa na nguo za matukio kama kuna debate weruweru au machame utawaelewa.
3.Tulivyowapiga shule fulani inaitwa Lyamungo
We umbwe hawajawai kua na historia ya kupiga shule yoyote achilia mbali lyamungo
 
Nakumbuka nilichukua hela ya ada nikaenda kununua power no 1 ili niuze shule nipate cha juu loh sitaki kukumbuka

Unamuandikia boyfriend barua bila kuwa na kalamu nyekundu ya kuchorea kopa lenye mkuki katikati bado haijakamilika hahaha
 
Kwenda kuiba ndizi na maparachichi after classes.. Haha...boarding kila Saa unaskia njaa..duka linafunguliwa jmosi tuu..
2.Kuruka dirishani na kuingia lab usiku ili tu kutumia internet...computer yenyewe moja na tulikua watu wanne.

3.Kuagiza chips nje ya shule kwenye matobo ya ukuta...(watu wa vijijini waaminifu unakaa kwenye tobo unaita tu na chips unaletewa.)
Kibosho girls class of 2008[/
Duuh
 
Tabora Boys hiyooo.....Tuliita Berlin na mademu zetu wa Tabora Girls maarufu kama Warsaw
Enzi hizo za "Special Schools"...Vipaji maalumu!Shule ya jeshi,unapokelewa na afande Chacha kwenye geti la kwenda Ng'ambo.

Unaruka kichurachura getini mpaka Sina House,huku afande Chacha akiwa mgongoni.Master parade ni full gwaride,uwanja wa kati mnapiga kwata pamoja na Tabora Boys na Girls.Kutoroka kwenda Tukutuku kuonana na mademu wa Girls,mnapasua mabomba makusudi ili maji yakatike mpate nafasi ya kwenda kucheza na kuchota maji visima vya tukutuku na T/Girls.

Usiku kutoroka kwenda Ng'ambo kuangalia "pilau" kwa wananchi,mchakamchaka mpaka Kipalapala seminari kuu huku mnaimba nyimbo!!Nyangara,Unyuka,redo,mbarara na koi ndio misamiati ya Tabora School.Kila jumamosi mazoezi ya kwaya na Girls,mnaishia kutongozana tu na kubambiana siku ya disko.Wapi Mgulunde Cup?Student Centre na Milambo Boys
 
KUNUNUA KITUNGUU CHA KUCHANGANYA KWENYE MAHARAGE ILI YAWE NA RADHA NA INGINE KUPANDA DIRISHANI KUCHUNGULIA MSICHANA AKIPITA BARABARANI NA INGINE KUJIFANYA MGONJWA ILI ULE SOFT DIET YA WAGONJWA
 
Kwenda kuiba ndizi na maparachichi after classes.. Haha...boarding kila Saa unaskia njaa..duka linafunguliwa jmosi tuu..
2.Kuruka dirishani na kuingia lab usiku ili tu kutumia internet...computer yenyewe moja na tulikua watu wanne.

3.Kuagiza chips nje ya shule kwenye matobo ya ukuta...(watu wa vijijini waaminifu unakaa kwenye tobo unaita tu na chips unaletewa.)
Kibosho girls class of 2008
I see!!!Class of 2008??!!Kumbe humu tupo na watoto wetu bila kujijua.
Kibosho Girls 2008....A school of my "Step-girl"....Humu tunajadiliana na watoto zetu kabisaaaa...
Hujambo mwanangu lakini?
 
1. kucheza chandimu kwa wale tunaokosa namba timu ya shule
2. kumwagiwa maji uende bundi
 
Daaa nakumbk ciku za wali nyama nilikuwa naingia na viatu kweny sefuria la wali ili nichukue wote alon.
 
Daaa nakumbk ciku za wali nyama nilikuwa naingia na viatu kweny sefuria la wali ili nichukue wote alon.
Haha we jamaa muongo asiee, yaani nao wanabaki wanakuangalia hivyo hivyo tu.
 
Back
Top Bottom