njang'et
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 758
- 227
bila shaka ulisoma songeaTulikuwa tunatoroka kwenda vijiji vya jirani kwenda kunywa pombe za kienyeji, tukikutana na mwalimu tunamnunulia pombe mpaka atosheke
bila shaka ulisoma songeaTulikuwa tunatoroka kwenda vijiji vya jirani kwenda kunywa pombe za kienyeji, tukikutana na mwalimu tunamnunulia pombe mpaka atosheke
Ufundi tu nilikuwa staa wa shuleUlikuwa kibaka mzoefu
Ha ha ha ha
Kwenda kuiba mafenesi ya watu
1. Kugongea dawa ya meno
2. Kujisaidia porini
3. Kusomea porini
4. Kwenda kucheza ngoma vijijini
5. Kuoga nje.
6. Siku ya usafi wote ni lazima kutandika mashuka ya rangi moja
Hahahhaha umefanya nimepaliwa na maji ya dhahabuPale Mara secondary jamaa aliingia jikon ilikuwa siku ya wali mpishi hakumwona Basi mpishi kafunga jiko baada ya masaa mawili mpishi karudi ili kugeuza wali kufungua mlango jamaa kachomoka spidi Na beseni limejaa wali Na binzi mpishi nae nduki akidhan n msukule
Ilichukua siku tatu kumuaminisha mpishi kuwa haukuwa msukule ndo akarudi kazini.
Hahahaha...Pale Mara secondary jamaa aliingia jikon ilikuwa siku ya wali mpishi hakumwona Basi mpishi kafunga jiko baada ya masaa mawili mpishi karudi ili kugeuza wali kufungua mlango jamaa kachomoka spidi Na beseni limejaa wali Na binzi mpishi nae nduki akidhan n msukule
Ilichukua siku tatu kumuaminisha mpishi kuwa haukuwa msukule ndo akarudi kazini.
duuh..hiyo noma sana.. ikawaje sasa? alirudia?
hahahaa mkuu haitakaa itokee kama mara sec simu tunachaj na extentn tunanunuliwa.....watu wanavaa watakavyo hakuka shamba dres.....shule haina uzio wala rokoo so ukilala nje hakuna ajuaye....sheria mkononi mwa wanafunZ ushikwe mwiZ utaisoma no...HKL ndio wabishi hawana mfano ila EGM wao no msul yan kutoboa ozon.....kichelewa kuripot baada ya likizo.....hakuna vikao na walim hata kufunga shule ni wewe ukimaliza pepa la mwisho ndio mwanzo wa likizo yako,yan hapa mtu anaganya pepa la mwisho tiket iko mfukon beg liko nje ya mlango wa darasa......kinguni usiseme......hakuna mtu anayekunywa kwenye kikombe ni mwendo wa majag,vikarai,visado vya tos.....msuli chaka kama kawa,....mara sec na musoma tec madem zao ni songe na chif...weekend ni kuzurara utakavyo na unatupia utakavyo......uji huwa ni saa nne saa tano na nisu klas so watu huwa wanadoj ama ukienda bas utawakuta wanasinzia kibao.....walim wa kike wanapendwa zaid.....kitu kidogo mgomo na wanafunz wanazo hoja za mgomo chezea hgk....kuna watu mgano wa mimi hatujulikan sababu naingia class siku za pepa ni mwendo wa msul chaka
Daah nawe kumbe n Ngoma Mara sec hongera mkuuhii pia mara sec mkuu ila nilipokuwa njuka nilikuwa nawashangaa hawa jamaa vp mbona wanavua mashat wakienda toi na wakitoka wanapunga upepo hahahaa ilikuwa n day za mwanzo
Ilikua inaitwa KAKUNYU(Kampuni ya Kusomea Nyumbani), utakua mwana kiunga weweHii pale tanga tech ilikuwa common sana
Huku sio mitaa ya itaka na mloo kweli?, maana nilikua jkt mitaa hiyokula vibama na lazima uombwe na watu wote daaah hiii ni zaid na xul yeyote
kwa anayelijua kibama udogo wake
.
..ila maisha ya shule za boyz daaaaaa
.
its like utamalizia mwenyewe
Hahaha watoto wengine jamaniMwaka 2000 (mara sec) kuna dogo alikuwa anaitwa Lukas kwenye pepa za annual kuna madam alikuwa anapenda kupekuwa wavulana kwa kuingiza mkono wake mfukon kucheki kama tumeficha nondo kabla ya kuingia kwenye chumba cha pepa, tabia ya madam ikawa inamkera sana dogo Lukas usiku bwenn akasema" kesho ndo mwisho madam kutukagua" hakuna aliye jali kauli hii tukajua ana zingua
Kesho yake kumbe dogo alichana mfuko wa suruali yake then hakuvaa chupi kwa hiyo kwenye ukaguzi madam alipoingiza mkono wake kwenye mfuko wa suruali ya dogo mkono ukapitiliza hadi kwenye centre of gravity madam alishtuka km kakanyaga snake zoez la ukaguzi liliishia hapo madam kasepa ofisini, aibu kibao
Mwaka gani lyamungo anapigwa hebu kumbusha maaana sijawahi kusikia zaidi ya lyamungo kushusha kipigo kwa shule nyingine1.Nakumbuka tulivyogoma kula tukapigwa SP form six wote mwezi mmoja ukirudi unarudi na mzazi na barua ya serikali ya mtaa.
2.Vijana wa shule za Boyz kuwa na nguo za matukio kama kuna debate weruweru au machame utawaelewa.
3.Tulivyowapiga shule fulani inaitwa Lyamungo
Kutongoza mademu muda wa michezo na hata Kula mzigo.
Kuomba get pass za uongo ili tu ukwepe ukaguzi wa bweni kwan ilikua shule ya Jeshi.
Kukwepa parade za asubuhi kwa kuofia fimbo
Kuimba nyimbo za Matusi wakati wajogging xa asubuhi.
Siku ya wali nyama usimamizi ulikuwa wa hali ya juu, staff yote:- walimu hadi wake na waume zao hadi walinzi walifika kusimamia zoezi la kugawa chakula, ingekuwa siku hizi FFU wangeletwa kusaidia, maana ilikuwa shida.Siku ya wali na nyama kila MTU kwenye group alkua anataka agawe ila watemi wagroup tulkua tunagawa siku hzo nyeti nakupiga mchinjo wanguvu wale wanyonge nyonge
Hio itakuwa shule ya Kanda ya Ziwa.Bora nyie mlikuwa hata na mikate, sisi tulikuwa tunakunywa uji usio na sukari tunauita Sifongo