Flash Back Memories: Matukio ya Boarding School

Flash Back Memories: Matukio ya Boarding School

I see!!!Class of 2008??!!Kumbe humu tupo na watoto wetu bila kujijua.
Kibosho Girls 2008....A school of my "Step-girl"....Humu tunajadiliana na watoto zetu kabisaaaa...
Hujambo mwanangu lakini?
Aise
 
Lyamacha...lyamungo boys machame girls Umbwe wakata wakata kuvunja huo umoja ila walishindwa

Siku za Gradu anza za kidini mpaka za shule mkipata mwaliko toka girls hata kama unaumwa siku iyo utapona tuu

Kwenda debate shule za girls utavua nguo utapasi na kuomba shati linalongaa vizuri
 
Nilisingizia naumwa sipaswi kula maharage nikawa napewa chakula maalum. Hakuna habari za kuosha madishi wala kula kwenye magroup.
 
Kuchemsha kwa siri maji ya kuoga kwa heater
 
Nilisoma shule moja hivi O Level yangu..

Form four ndo walikuwa vinara wa kuwaburuza Na kuwatesa form one.

Hii siku sitakuja kuhisahau kamwe, majamaa yakaingia bwenini kwetu, hapo niko form one.... Mmoja akakaa mlangono, yaani hakuna hata form one mmoja alitakiwa atoroke.

Wengine wakaanza kupita kila kitanda kutuvutisha bangi, basi kila mtu alikuwa anapiga pafu mbili au tatu.

Form four mmoja akamkata mmoja wa form one, akamuuliza kichwa cha ub.oo wako na wangi kipi kikubwa.... Form one akijibu cha kwangu...

Daah, lile jamaa likamchukua yule form one akaenda naye chamba, akatoa mashine yake akaipaka mafuta, kisha akamwambia yule form one aanze kuisugua, yaani kumpigisha puny.eto..

Jamaa alisugua hadi yule form four kapiga bao...

Aisee....naomba niishie hapa, maana yako manyanyaso mengi sana, na nikikumbuka machozi yananitoka...
Mmhh hiyo yenu haikuwa shule lilikuwa gereza..!!
 
Back
Top Bottom