First in Africa Boeing 787 Dreamliner ET Unajua trip yake ya kwanza? Kilimanjaro! Ya kwetu?

Mbona hii habari hutatanisha sana. Wengine wanadai ni asilimia 100 ipo chini ya USA na wengine wanasema ni Serikali?

Kuna mwenye DATA zinazoweza kuonyesha kuwa ni SERIKALI ukiacha WIKIPEDIA?
Kichuguu na Jasusi hebu nisaidieni kwa hili.
Ethopia Airline inamilikiwa na serikali kwa asilimia mia moja
 
Last edited by a moderator:
Mbona hii habari hutatanisha sana. Wengine wanadai ni asilimia 100 ipo chini ya USA na wengine wanasema ni Serikali?

Kuna mwenye DATA zinazoweza kuonyesha kuwa ni SERIKALI ukiacha WIKIPEDIA?
Kichuguu na Jasusi hebu nisaidieni kwa hili.

Sikonge,
Nijuavyo Ethiopia Airlines inamilikiwa na serikali. Lakini imekuwa inajiendesha kibiashara tangu enzi za Mfalme Selassie.
Mapinduzi ya 1973, utawala wa Mengistu, na kupinduliwa kwa Mengistu havikuvuruga hata kuingilia structure na uendeshaji wa shirika hilo. Hilo ndilo sisi Watanzania tunalopaswa kujifunza. Ingekuwa inamilikiwa na Marekani ungeona kwenye management Wamarekani kibao, lakini hakuna hata mmoja, kuanzia CEO, engineers, marubani, makarani wa tiketi hadi wafagiaji wote ni Ethiopian.
 
Mbona hii habari hutatanisha sana. Wengine wanadai ni asilimia 100 ipo chini ya USA na wengine wanasema ni Serikali?

Kuna mwenye DATA zinazoweza kuonyesha kuwa ni SERIKALI ukiacha WIKIPEDIA?
Kichuguu na Jasusi hebu nisaidieni kwa hili.

Kama alivyosema Jasusi, hakuna mkono wa nje kwenye Ethiopian Airlines; ndiyo maana haikuwa listed kwenye stock markets za nchi yoyote ya nje. Ukipitia NYSE, CNSX, FTSE, au stock market yoyote dunian huwezi kukuta stocks za Ethiopiana Airlines zikuzwa kwa vile kampuni yote inamilikiwa na entity moja tu: Ethiopian Government.

Hata hivyo, haifanyi shughuli zake kisiasa, bali inafanya kibishara bila kuingiliwa na wanasiasa a u viongozi wowote wa serikali.
 
Maskini nchi yangu Tanzania tumefikia hatua ya kusifia siyo kwa kununua ndege mpya bali kwa kutua kwenye uwanja wetu!!!!!! Lini tutanunua yetu.

Hata hivyo, naomba nimfahamishe Mleta Uzi kwamba Rais Paul Kagame anazo mbili Boeing 787 Deamliner mpya na anasubiri ya tatu. Zote zinatumiwa na Rwandair. Sisi tutaendelea kununua mitumba ya Forker za piston engine na Beoing 737-200 zilizoundwa miaka ya 70 iliyoshindikana kwa wenzetu.

There is only one Dreamliner in Africa, the ET one that was delivered last week. Rwanda does not own any. Confirm the aircraft type.
 
Maskini nchi yangu Tanzania tumefikia hatua ya kusifia siyo kwa kununua ndege mpya bali kwa kutua kwenye uwanja wetu!!!!!! Lini tutanunua yetu.

Hata hivyo, naomba nimfahamishe Mleta Uzi kwamba Rais Paul Kagame anazo mbili Boeing 787 Deamliner mpya na anasubiri ya tatu. Zote zinatumiwa na Rwandair. Sisi tutaendelea kununua mitumba ya Forker za piston engine na Beoing 737-200 zilizoundwa miaka ya 70 iliyoshindikana kwa wenzetu.

Hapana, Dreamliner ya kwanza Africa ni hiyo ya Ethiopian Airlines.
 
Jaman tusifie wanajitahid lakin ukweli lazima tuongee, precision haina youngest fleet kuliko wote in africa, ndege zake zina kelele hata kama upo ndani huna amani, unajua youngest fleet wewe..m we unaona ethiopia wananunua dream liner ya 2012 halafu unasema precision ndo wana youngest fleet, what about kenya airways, zambezi, egypt air na wengineo, kusema kweli precision napanda basi tu as no more options in countryside trips but ukweli nakosaga amani napokuwa angani.. Hata 540 yaani ndege zetu zote wasiwasi....

Ukitaka kujua youngest fleet inakuaje panda qatar ya saa 7 mchana from dar to doha daily ndo utajua huwa inakuaje, precisions ni used zile
Naona neno youngest fleet linakuchanganya sana we jamaa. The age of the airline fleet is the average age of all the planes in the fleet. Sasa wewe unapanda ndege moja unasema the youngest fleet, sema the youngest plane. Precision air imeanza miaka ya hivi karibuni while Ethiopian airline wako miaka karibu 40 sasa. Ethiopian wanazo hadi DC 10 kwenye fleet yao. Precision wana ATR kibao mpya kabisa wamenunua toka France ndio zinashusha age of their fleets. Kupanda ndege sio kujua airline industry broda, go deeper. Mimi binafsi hata nikienda nje ya nchi najivunia Precision kwa kuwa shirika la binamu yake Mwakyembe la ATCL liko ICU na hakuna juhudi za kuliponya zaidi ya porojo. How will you compete with EA when you have JUST a pilot CEO??
 
Hili ni vema likajadiliwa kisiasa, WaEthiopia wamenunua ndege ya kisasa kabisa nje ya Japan na ya kwanza ya aina yake Africa, unaajua trip yake ya kwanza? Kilimanjaro, huwezi kuamini dlegetion ya viongozi na media from all over the world: Angalia hapa:
BBC News - Ethiopia gets first Boeing 787 Dreamliner in Africa

Air Tanzania itanunua lini ndege zake used maana TZ tunaongoza kwa Mitumba! I am not proud of this, but it worth saying.

Profesa first read the history of the airline and then i will share my view as to why we have failed to soar in african skies

History.jpg

8th April 1946:
The first scheduled flight took place to Cairo via Asmara in Douglas C-47 Skytrain. The national airline had been set up a few months earlier as Ethiopian Air Lines Inc., a joint venture with American airline, TWA (Trans World Airlines). Five US Government surplus C-47 aircraft were purchased for venture. Following the successful inaugural flight to Cairo, a regular weekly service was established. Weekly services to Djibouti and Aden followed, as well as a domestic service to Jimma. Demands for additional services were so great that towards the end of 1946, four more C-47 Skytrains were purchased. Since these aircraft were ex-US military, they had few comforts; all had folding bench-type canvas seats along the sides, with the central aisle kept clear so that cargo could be lashed to the floor.
1947:
Three more Skytrains were purchased for the international routes. These were fitted out in a ‘luxury’ layout with 21 forward facing seats and were the first to wear the colorful Ethiopian Airlines livery.
During the late 1940s the route network was extended to Nairobi, Port Sudan and Bombay. Charter flights were also flown to Jeddah during the Hajj season, carrying pilgrims to Makkah.
1950:
Two Convair 240 aircraft were purchased, followed later by a third, for use on foreign routes. These higher-performance aircraft had fully furnished interiors and seats for 36 passengers. Their pressurized cabins allowed the aircraft to fly higher, in smoother air.
By the end of 1952 the faithful Skytrains were still the mainstay for the domestic routes, linking 21 towns and cities to the capital and carrying both passengers and cargo.
1953:
Three quarters of the airline’s staff were now Ethiopian but expatriates still held most key posts. The Ethiopian government negotiated and new agreement with TWA with ultimate aim of operating entirely with Ethiopian personnel.
1957:
The fist Ethiopian commercial aircraft commander, Alemayehu Abebe, made his solo flight as captain on DC-3/C-47 aircraft.
The National Airline Training Project was set up with US Government help in Addis Ababa to train local pilots, technicians and supervisory personnel.
The airline established its own maintenance facility at Addis Ababa, reducing the need for maintenance overseas. In subsequent years the facilities expanded into a well-equipped center for maintenance, overhaul and modification work on aircraft, engines and avionic systems, not only for its own aircraft, but also for other airlines in the region.
The route network expanded with flights to Frankfurt.
1958:
The DC-6B Cloudmasters were purchased. These four-engined, 71-seat aircraft were used on the long-haul routes.
1960:
The airlines prepared to enter the jet age and decide that the Boeing 720B best met its requirements. However, the existing airfield serving Addis Ababa – Lidetta, which had been built in 1936 - was not suitable for jet operation, which required a long runway, and a decision was made to construct an entirely new airport and headquarters at Bole.
1961:
A new east-west service was inaugurated, linking Addis Ababa with Monrovia in Liberia, via Khartoum and Accra. This was the first direct air link between east and west Africa operated by any airline.
1962:
By December the new runway and control tower at bole international Airport were operational and two Boeing 720Bs arrived on their delivery flights. Ethiopian was the first airline in Africa to order Boeing 720B.
1963:
On 15th January the airline inaugurated its first jet service, from Bole to Nairobi. The following day the second Boeing inaugurated a new route to Madrid, via Asmara and Athens. Meanwhile the elderly Skytrains and their related civilian DC-3s continued to fly the domestic and cargo services and six further DC-3s were bought during the next decade. Despite their age, these aircraft were ideally suited to Ethiopia’s rugged terrain and high altitude.
1965:
The company changed its legal status from a corporation to share company. At the same time the name was changed from Ethiopian Air Lines to Ethiopian Airlines.
1971:
Colonel Semret Medhane was appointed general manager, the first Ethiopian to hold the position.
1977:
A Boeing 720B flight simulator was acquired, making the airline independent of foreign airlines for its pilot training.
1979:
Two Boeing 727s were purchased for medium-range routes, to replace the oldest Boeing 720s.
1982:
The airline bought a third Boeing 727 and two de Havilland Canada DHC-5 Buffalo short-field transports for use on domestic services.
1984:
Ethiopian Airlines attracted worldwide attention on 1st June when its first Boeing 767 landed at Bole after a thirteen-and-a-half hour delivery flight from New York - setting a new world distance record for a commercial twin-engine jet. The airline, which was a launch customer for the new aircraft, brought two of the advanced wide bodied B-767 aircraft to replace the ageing Boeing 720s. In addition to their 190-seat passenger capacity the aircraft could carry 12 tones of cargo in the hold.
At the end of 1985, when the DC-3/Skytrains started to be withdrawn, the airline still had nine of these in service, all of them at least 40 years old. The last of these aircraft remained in service until October, 1991. The main replacements were six 18-seater DHC-6 Twin Otters, and - for the busier domestic routes - two ATR-42 fast and modern 46-seater aircraft.
1989:
The Cargo Management Department was established to afford special attention to the development of the airline’s cargo services. Hitherto the airline had regarded its cargo operations more as a public service commitment that as a secondary source of income.
1995:
The airline’s Engineering Division opened a new purpose-built jet engine test facility, allowing engines of up to 45,000 kg (100,000lbs) thrust to be ground tested.
April 1996:
As the airlines celebrated its 50th anniversary the route network stretched from Europe (London, Frankfurt, and Rome) to China (Beijing) and Thailand (Bangkok). The Middle East and Indian sub-continent were well represented, and the airline’s African routes reached Senegal and Ivory Coast in the west, Cairo in the north, and Johannesburg and Durban in the south. The fleet consisted of two ATR-42 and four DHC-6 Twin Otters for the domestic passenger services, one Boeing 737 and four Boeing 757 aircraft for the medium range passenger services and three Boeing 767s for long-range services. For its cargo and non-scheduled services the airline had one Boeing 707 freighter, one Boeing 757 Freighter, two Lockheed L-100 commercial Hercules and one DHC-5 Buffalo.
The pilot training school was equipped with a state-of-the-art flight simulator, replicating the flight deck of the Boeing 767. The simulator was also used to train crews on the Boeing 757, whose flight deck is similar.
In October, 1996 the first of five Fokker 50s was acquired to enhance the domestic services.
1998:
Another giant leap was made with the launch of a twice-weekly service to Washington – the Airline’s first destination in the Americas – and New York followed shortly after.
1999:
In February, the ShebaMiles frequent flyer program was launched.
Construction started on a new, ultra-modern terminal building at Bole International Airport to upgrade passenger services and cater for an anticipated increase in traffic. In November, Scandinavia was brought into the route network for the first time with a new service to Copenhagen, Denmark, along with a new route to Maputo, Mozambique.
2002:
The airline embarked on a period of sustained growth and fleet modernization with plans to purchase, over the next four years, 12 new aircraft. Six Next-Generation B737-700s and six 767-300ERs were scheduled to replace the existing two B737-200s and two B767-200. In October, night operations out of Addis Ababa were introduced to complement the daytime flights.
2003:
The new, 3,800 meter runway and control tower at Bole International Airport became operational, along with the spacious new airport terminal with its 21[SUP]st[/SUP]- century facilities. Renovation of the older terminal began to serve mainly the domestic flights.
2005:
Ethiopian Airlines announced that it would be Africa’s launch carrier for the new Boeing 787 Dreamliner, with a firm order for ten of these ultra-modern jets, and an option for five more. The order for the new fuel-efficient, long-range, passenger-friendly aircraft was valued at USD 1.3 billion. Boeing begun production of the revolutionary new aircraft in 2006 and Ethiopian expects to take delivery beginning from 2011.
2006:
Ethiopian Airlines proudly celebrated its 60 years of dependable and safe air transport services on May 05, 2006 where the Airline’s CEO had an opportunity to say a big "thank you" to all that supported the airline along the way. The same year marked Ethiopian Airlines’ modernization and capacity building programme through the construction of a new maintenance hangar and cargo terminal complexes which were officially inaugurated and commissioned.
2007:
Ethiopian was proud to have achieved two awards by African Aviation Journal and the African/Times USA. The prestigious award by the African Aviation Journal is in recognition of its excellent financial performance, passenger growth, route network expansion, fleet modernization, in-flight service and overall customer care. The 2007 Africa Business of the Year Award, presented to Ethiopian by the US African Times was for its "achievement and continuing contribution to the uplift of Africa’s profile and the quality of life for Africans everywhere".
Ethiopian also secured the IATA-IOSA registration certificate as a result of "the Airline’s fundamental commitment to provide safe and reliable air transport services for passengers and cargo".
2008:
Ethiopian entered into a code share agreement with Lufthansa which has put Ethiopian in a position to offer daily flights to its customers from its hub Addis Ababa to Lufthansa’s hub in Frankfurt with convenient onward flight connections to many other destinations around the world. During this period Ethiopian also entered into code-sharing agreements with other airlines including Brussels Airlines.
2009:
Ethiopian ordered 35 new airplanes direct from the manufacturers. Including the orders of five B777-200LR and twelve A350-900, Ethiopian has also on order ten Boeing B787 and eight Bombardier aircrafts. These investments l enables Ethiopian to operate one of the youngest fleet in Africa with better comfort and efficiency. Ethiopian Airlines and ASKY signed a management contract which enables Ethiopian Airlines to manage ASKY for a period of five years. The management contract is an important move marking an historic intra-African co-operation in the airline business. The agreement helps the two carriers to develop a West African hub in Lome, Togo for the regional and inter-continental routes.
2010:
Ethiopian Airlines has entered into a code share agreement with Scandinavian Airlines, one of the founding members of Star Alliance, providing travelers with better connectivity and a broad range of services between Europe and Africa.
Ethiopian opened new services to Pointe Noire, the second largest city in the Republic of Congo, effective June 16, 2010.
2011:
Ethiopian received three Boeing 777-200LLRs in 2011 increasing the total number of 777-200LRs to five.
Ethiopian started new services to Hangzhou-China, to Malakal-Southern Sudan, Milan-Italy, Muscat-Oman. Ethiopian also launched daily nonstop flights to Beijing with its long range 777-200.
Ethiopian received four different awards during in 2011. Ethiopian received "AFRICAN CARGO AIRLINE OF THE YEAR" Award on 24 February 2011. Ethiopian won “Deal of the Year 2010” Award on 20 April, 2011. Ethiopian Airlines also named "Africa’s Most Profitable Airlines" for the third time in a row in July 2011. Ethiopian Airlines also received the AFRAA Award for being consistently profitable over the years at the 43rd AFRAA Annual General Assembly held in Marrakesh, Morocco on November 21, 2011.
Ethiopian signed code share with Singapore airlines and Asiana Airlines,
Ethiopian Airlines ordered Four 777 Freighters from the Boeing Company.
Ethiopian Aviation Academy and Ethiopian MRO secured European Aviation Safety Agency Approval. Ethiopian Airlines Aviation Academy received the European Aviation Safety Agency (EASA) approved part-147 type maintenance training organization certification while Ethiopian MRO Unit received EASA Part 145 approval.
On December 11, 2011, Ethiopian Airlines Captain flew the first 787 to the African soil with debut landing at Addis Ababa’s Bole International Airport.
Ethiopian Airlines joined Star Alliance on December 13, 2011. At a ceremony held at Addis Ababa’s Bole International Airport the Star Alliance Chief Executive Board (CEB) welcomed Ethiopian Airlines as the Alliance’s third carrier based on the African continent.
 
Maskini nchi yangu Tanzania tumefikia hatua ya kusifia siyo kwa kununua ndege mpya bali kwa kutua kwenye uwanja wetu!!!!!! Lini tutanunua yetu.

Hata hivyo, naomba nimfahamishe Mleta Uzi kwamba Rais Paul Kagame anazo mbili Boeing 787 Deamliner mpya na anasubiri ya tatu. Zote zinatumiwa na Rwandair. Sisi tutaendelea kununua mitumba ya Forker za piston engine na Beoing 737-200 zilizoundwa miaka ya 70 iliyoshindikana kwa wenzetu.
...Mkuu ukiwa na nahodha dhaifu ni wazi hakuna hata mmoja katika hiyo timu atakayejituma kufanya kazi. Mtajikuta wote akili zenu ni maziwa lala hakuna kilanja wala waongozwaji. Wanayofanya Ethiopia Airline sio miujiza ni kuwa watu wako serious wanajua wanachotaka. Hiyo gharama ya Dreamliner hata sisi tungemudu mbona? hata kununua 1 kila baada ya 3 years inawezekana lakini tumepulizwa Chloroform kwa hiyo ulevi si ulevi, usingizi si ucngizi, wehu c wehu ili mradi kero tu. Lakini kwa kushabikia vya wengine tuko mstari wa mbele....It's shame....:rant::rant:
 
Sasa watu wake wampelekee taarifa ya uzi huu, apitie aone vijinchi vidogo vinaishinda Tz yenye kila utajiri.

Achukue posho yake aende Sychelles, Mauritius, Rwanda akajifunze kufanya maamuzi magumu kwa mustakbala wa nchi. Au hata apitie hizi link zilizobandikwa hapa, kama ni binadamu apate aibu kidogo na ajifunze kitu.

Air Mauritius

Air Mauritius | Corporate information

Angalia hii Air Mauritius - Wikipedia, the free encyclopedia

Halafu angalia hii Air Tanzania - Wikipedia, the free encyclopedia

Hata web page ya AirTanzania ni kimeo Air Tanzania Company Limited. Air Tanzania flights. Air Tanzania, from Dar Es Salaam to Tabora, Kigoma, Bukoba, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro and Zanzibar.
Kuna vitu ukivisoma mpaka unapata hasira kabisa.
Na bado hapa tutakuta kuna watu wanasimama kifua mbele kuitetea serikali ya CCM kuwa inaiongoza serikali kutuletea maendeleo na kusimamia rasilimali zetu vizuri ili kupata maendeleo. Aibu tupu.
 
pia ethiopia maisha magumu watu wanakula mlommoja tiba ni ghali rate ya ukimwi kubwa .wengi wanakimbia nchi ile
 
pia ethiopia maisha magumu watu wanakula mlommoja tiba ni ghali rate ya ukimwi kubwa .wengi wanakimbia nchi ile
Soma kichwa cha habari tafakuri na uchangie. mada iliyopo mezani inasema nini hizi diversion zenu na kutrivialize vitu ndiyo tatizo kubwa. Hivi unahabari kuwa shirika hili la ndege linachangia kiwango kikubwa cha mapato ????? Jee unafahamu kuwa addis ni moja kati ya hub kubwa afrika???????? let us have hard talk on this jamani
 
Mmemuweka mpuuzi Mwakyembe kuwa waziri wa uchukuzi naye kamuweka binamu yake shirika limeisharudi ICU. ATCL ilikuwa na kandege kamoja ka kukodi wakati Mwakyembe anaingia lakini tunavyoongea sasa kameisharudishwa kwa wenyewe na shirika halina ndege na bei za usafiri wa ndege wa ndani zimerudi juu. Usaliti huu wa Mwakyembe haukubaliki kabisa, sasa binamu yake anaongoza shirika lina wafanyakazi zaidi ya 200 lakini halina hata ndege ya kukodi

Kama hii taarifa uliyo-comment ni kweli hiki ni kituko kingine ndani ya hii serikali. Kuwa na kitengo kisichokuwa na tija ili nini? Kwanini wote wasisimamishwe mpaka watakaponunua ndege? Sasa wanalipwa na nini? Maskini nchi yangu TANZANIA. Nakupenda sana, eeh, Mola naomba utunusuru na uwape viongozi wanaopewa mamlaka hekima ya kuongoza.
 
FOR EASIER COMPARATIVE ANALYSIS SOMA HII IN RELATION TO OUR NATIONAL AIRLINE
Air Tanzania Corporation was established on 10 March 1977 after the breakup of East African Airways, which had previously served the region. Flights were started from Dar-es-Salaam using Boeing 737-200s and Fokker F27s. A Twin Otter was used for regional services.

In 1980/81 the airline operated flights from Dar es Salaam to Athens, Antananarivo, Bujumbura, Cairo, Frankfurt, Kigali, London (Gatwick), Mahé, Maputo, Mauritius, Moroni, Mumbai, Muscat and Rome. Domestic destinations served were Bukoba, Dodoma, Iringa, Kigoma, Kilimanjaro, Kilwa, Lindi, Mafia, Masasi, Mbeya, Mtwara, Musoma, Mwanza, Nachingwea, Njombe, Pemba, Songea, Tabora and Zanzibar[SUP][2][/SUP] In the mid-1990s, the airline leased an Ethiopian Airlines Boeing 767 but this aircraft was too large and the airline disposed of it. Regional services were reduced in this period and the Twin Otter was also disposed of. In 1995, Air Tanzania joined forces with Uganda Airlines and South African Airways to form Alliance Air and had a 10% stake in this new venture. Flights operated from Dar es Salaam to London Heathrow Airport via Entebbe International Airport on a Boeing 747SP. This joint venture ceased operations in 1999 after accumulating losses of about $50 million. The airline was originally wholly owned by the Government of Tanzania via the Air Tanzania Corporation (ATC). In February 2002, the government began the process of privatizing ATC through the Presidential Parastatal Sector Reform Commission (PSRC). Advertisements were placed in the local, regional and international media inviting potential bidders. The International Finance Corporation (IFC) acted as the Lead Advisor to the Government in this transaction. In December 2002, SAA signed an agreement with the government purchased a 49% stake in ATC for USD 20 million; USD 10 million as the value of the shares and the remaining USD 10 million for the Capital and Training Account for financing its proposed business plan. As the strategic partner, SAA planned to create its East African hub in Dar es Salaam to form a “Golden Triangle” between Southern, Eastern and Western Africa. It also intended to replace ATC's fleet with Boeing 737-800s, 737-200s and 767-300s. It also planned to introduce regional routes, routes to the Middle East and West Africa. The government was expected to sell 10% of its current 51% stake to a private Tanzanian investor, thereby reducing the government's ownership to a non-controlling interest in ATCL.
The new airline Air Tanzania Company Limited (ATCL) was launched on 31 March 2003, offering direct flights from 1 April between Johannesburg and Dar Es Salaam, but also to Zanzibar and Kilimanjaro. Air Tanzania recorded a pre-tax loss of almost USD 7.3 million in its first year following privatisation and part ownership by South African Airways. The loss was mainly attributed to the inability to expand the network as quickly and extensively as originally planned. It had been hoped to launch services to Dubai, India and Europe, but these have been delayed as there are only Boeing 737-200s in the fleet. The development of Dar Es Salaam as an East African hub for the South African Airways alliance had also not proceeded as quickly as planned. On 31 January 2005, Air Tanzania suspended one of its few regional services: Dar es Salaam to Nairobi, following intense competition from Kenya Airways on the route. The airline did however reaffirm intentions to launch long-haul services within a year from Dar es Salaam to Dubai, London, Mumbai and Muscat. On 31 March 2006, the Government of Tanzania announced that it would dispose of Air Tanzania Company Limited (ATCL) following the four years of loss-making which amounted to TZS 24.7 billion. The Tanzania Civil Aviation Authority Director General said "Air Tanzania was in a worse state than before it was taken over by SAA". South African Airways blamed Tanzania's government for failing to release about USD 30 m needed to implement Air Tanzania's business strategy to reverse continued losses. On 7 September 2006, the Tanzanian government bought back the 49% stake in ATCL for USD 1 million, hence officially terminating its partnership with South African Airways. The venture collapsed due to the partners' different interests in the business. After the partnership between Air Tanzania and South African Airways was officially terminated, the government took the initiative of setting aside TZS 13 billion for: completing operation code ATCL 197 instead of 083, changing revenue systems and fuel services, preparing e-ticketing and accounts systems, using a new trademark, and clearing outstanding debts. From 1 July 2007, ATCL started using its own tickets, Number 197, recognized by the International Air Transport Association (IATA). The airline had been using a South African ticket stock, Number 083, during the partnership with South African Airways. The airline also started using electronic ticketing in compliance with the IATA resolution from mid July. Air Tanzania was relaunched in September 2007 after the dissolution of the partnership with South African Airways. The new brand represents the company's name, Mount Kilimanjaro and the airline's international destinations. The introduction of the airline's new logo bears the image of the imposing giraffe – Tanzania's national icon, to replace the South African Airways flag symbol. On 1 October 2007, the revamped Air Tanzania made its inaugural flight on the Dar es Salaam to Mwanza via Kilimanjaro route. Temporary suspension of service In December 2008, the Tanzania Civil Aviation Authority, (TCAA) withdrew the Air Operator Certificate for Air Tanzania for reasons accruing to mainly unsatisfactory safety and operational manuals.[SUP][18][/SUP] In the same month, Air Tanzania decided to voluntarily resign from IATA membership in order to preserve its status while preparing for the IOSA audit which is a prerequisite for all member airlines. The company was granted the Air Operator Certificate by TCAA two weeks later and is now in an a process to return to IATA membership which has taken long because of preparations for the audit As of 18 March 2011, Air Tanzania Corporation Limited has effectively been grounded after its sole remaining operational aircraft, a was sent for extensive maintenance to South Africa. Destinations previously served by Air Tanzania are expected to be taken over by Precision Air and Fly 540. Resumption of service In November 2011, East African media reported the resumption of service by ACTL, following the return of one Bombardier Q300 from extensive service in South Africa. The servicing cost was US$1 million, but other accumulated expenses brought the total bill to US$3 million, which the Government of Tanzania paid in September 2011. ACTL wanted in the meantime lease a Fokker 28 aircraft from JetLink Express on a standby basis, in case their only operational airplane is incapacitated. More aircraft will be procured over the next several months and years, according to the airline's business plan, shared with the media.[SUP][23][/SUP] Air Tanzania codeshares with Air Uganda and Air Zimbabwe. On 21 November 2011, Air Tanzania began negotiations with Export Development Canada (EDC), to explore ways in which EDC can assist ACTL to acquire more aircrraft from Bombardier, a Canadian airplane manufacturer. ACTL has plans of increasing its fleet size to 11 aircraft within the next five years.. On 29 March 2012 Aerovista leased its B737-500 to Air Tanzania and will be sourcing more aircrafts depending upon the requirements in future. The acquisition of the plane was a short-term plan to enhance the firm’s service delivery, adding that the airline has a long-term plan that will be implemented accordingly. In early August 2012, Air Tanzania has cancelled the contract with Aerovista and returned the only Boeing 737-500 to the company. The other aircraft in the fleet, one Q300 is currently stored. The airline suspended all flights and reeboked passengers to other carriers. There are plans to return to operations with the single Q300.
 
Tatizo letu sisi tunakuwa wazuri sana katika siasa na kuandika vizuri ila tunaongoza kwa ubovu katika utendaji. Katika biashara, hakuna ulazima wa serikali kumiliki 100% ya hisa katika kampuni inayohitaji mtaji mwingi kama ya ndege. Kampuni kama Kenya Airways imeleta sifa nyingi sana kwa Serikali ya Kenya ingawa ukweli ni kwamba Serikali hiyo inamiliki 30% tu za hisa za kampuni hiyo. Ujanja wa ndugu zetu wakenya ni kuwa walikuwa makini katika kutafuta partners wakuiendesha kampuni ile. Mwisho wa yote, sifa zinakwenda kwa serikali kwani jina limebaki Kenya Airways. Sisi tumeaminishwa kuwa ni lazima serikali iendelee na kumiliki 100% za ATC ili ionekane kuwa ni kampuni ya serikali hata kama serikali yenyewe inamahitaji mengi kiasi kwamba haina pesa zakuwekeza katika kununua ndege. Ndugu zangu kununua ndege kwa bei ya $200mn si kazi ndogo. Pesa hii ni sawa na TSh320billion. Hii ni zaidi ya mara 10 ya bajeti ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa mwaka. Sijafanya tathmini ila ninauhakika itakuwa zaidi ya bajeti ya uchukuzi kwa mwaka mzima. Binasfi sioni shida na kuruhusu ATC ikafa au itaungana na PW ili kuleta mawazo yakibiashara kwa watendaji wake kwani kinachomilikiwa na serikali humilikiwa na kila mtu na hivyo ni sawa na kuwa hakina mwenyewe au mtu mmoja mwenye uchungu nacho zaidi ya wengine wote. Chamsingi hapa ni kuhakikisha hata hiyo PW basi ibebe bendera ya nchi na ikibidi jina libadirishe. Siasa zinatuponza. Ethiopia wanaweza kutokana na ukubwa wa uchumi wa nchi yenyewe. Ikumbukwe kuwa pato la taifa la Ethiopia na kama mara tatu ya lile la Tanzania na kama mara mbili ya mahasimu wetu wakenya. isitoshe, nyanja nyingi za uchumi za Ethipia bado uko mikononi mwa serikali hivyo ni rahisi kwa serikali kujiamulia kipi kinunulie na lini na hii ndio maana hata katika jeshi, Ethiopia inatumumia zaidi ya USD4billion kwa shughuli zakisjeshi kwa mwaka. Pesa hizi ni karibu nusu ya budget zima ya Tanzania kwa mwaka. Tulaumu siasa zetu katika kila sekta. Mungu Ibariki Afrika! Mungu ibariki Tanzania!
 
Ndio sababu wanasema,"waachiwe wapumue" ili wapate kununua hiyo mitumbwi.

Tumeshindwa kula na kipofu.

Dr. Shein tayari ameagiza Titanic no. 2.

Nonda,

..wamekopa.

..halafu mkopo wenyewe wamedhaminiwa na upande wa pili.

..nakuhakikishia hawaondoki hawa. ndiyo maana wanang'ang'ania mkataba, mara serikali 3, na hata muungano wa uswisi.
 
aisee, bwana Abunwasi, umenifanya nikumbuke yale ma jedwali ya "diffencences and similarities"
naimani ikiwekwa "column" ya air tanzania, Kenya airways na Ethiopian airways, mimi nikiwa kama mwananchi wa tanzania ntajiskia aibu sana!
 
Mmemuweka mpuuzi Mwakyembe kuwa waziri wa uchukuzi naye kamuweka binamu yake shirika limeisharudi ICU. ATCL ilikuwa na kandege kamoja ka kukodi wakati Mwakyembe anaingia lakini tunavyoongea sasa kameisharudishwa kwa wenyewe na shirika halina ndege na bei za usafiri wa ndege wa ndani zimerudi juu. Usaliti huu wa Mwakyembe haukubaliki kabisa, sasa binamu yake anaongoza shirika lina wafanyakazi zaidi ya 200 lakini halina hata ndege ya kukodi

Sijui mwakyembe nae ni sawa na yule jamaa mfupi?
 
Tatizo letu sisi tunakuwa wazuri sana katika siasa na kuandika vizuri ila tunaongoza kwa ubovu katika utendaji. Katika biashara, hakuna ulazima wa serikali kumiliki 100% ya hisa katika kampuni inayohitaji mtaji mwingi kama ya ndege. Kampuni kama Kenya Airways imeleta sifa nyingi sana kwa Serikali ya Kenya ingawa ukweli ni kwamba Serikali hiyo inamiliki 30% tu za hisa za kampuni hiyo. Ujanja wa ndugu zetu wakenya ni kuwa walikuwa makini katika kutafuta partners wakuiendesha kampuni ile. Mwisho wa yote, sifa zinakwenda kwa serikali kwani jina limebaki Kenya Airways. Sisi tumeaminishwa kuwa ni lazima serikali iendelee na kumiliki 100% za ATC ili ionekane kuwa ni kampuni ya serikali hata kama serikali yenyewe inamahitaji mengi kiasi kwamba haina pesa zakuwekeza katika kununua ndege. Ndugu zangu kununua ndege kwa bei ya $200mn si kazi ndogo. Pesa hii ni sawa na TSh320billion. Hii ni zaidi ya mara 10 ya bajeti ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa mwaka. Sijafanya tathmini ila ninauhakika itakuwa zaidi ya bajeti ya uchukuzi kwa mwaka mzima. Binasfi sioni shida na kuruhusu ATC ikafa au itaungana na PW ili kuleta mawazo yakibiashara kwa watendaji wake kwani kinachomilikiwa na serikali humilikiwa na kila mtu na hivyo ni sawa na kuwa hakina mwenyewe au mtu mmoja mwenye uchungu nacho zaidi ya wengine wote. Chamsingi hapa ni kuhakikisha hata hiyo PW basi ibebe bendera ya nchi na ikibidi jina libadirishe. Siasa zinatuponza. Ethiopia wanaweza kutokana na ukubwa wa uchumi wa nchi yenyewe. Ikumbukwe kuwa pato la taifa la Ethiopia na kama mara tatu ya lile la Tanzania na kama mara mbili ya mahasimu wetu wakenya. isitoshe, nyanja nyingi za uchumi za Ethipia bado uko mikononi mwa serikali hivyo ni rahisi kwa serikali kujiamulia kipi kinunulie na lini na hii ndio maana hata katika jeshi, Ethiopia inatumumia zaidi ya USD4billion kwa shughuli zakisjeshi kwa mwaka. Pesa hizi ni karibu nusu ya budget zima ya Tanzania kwa mwaka. Tulaumu siasa zetu katika kila sekta. Mungu Ibariki Afrika! Mungu ibariki Tanzania!
katika RED, kwanini TANZANIA tushindwe?
 
Back
Top Bottom