M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,737
- 405
Maskini nchi yangu Tanzania tumefikia hatua ya kusifia siyo kwa kununua ndege mpya bali kwa kutua kwenye uwanja wetu!!!!!! Lini tutanunua yetu.
Hata hivyo, naomba nimfahamishe Mleta Uzi kwamba Rais Paul Kagame anazo mbili Boeing 787 Deamliner mpya na anasubiri ya tatu. Zote zinatumiwa na Rwandair. Sisi tutaendelea kununua mitumba ya Forker za piston engine na Beoing 737-200 zilizoundwa miaka ya 70 iliyoshindikana kwa wenzetu.
Si kweli mkuu,fanya reseach vizuri utang'amua hili,taarifa ya uhakika toka Boeing ni kwamba kwa sasa ni Ethiopian Airlines na shirika moja la ndege la Japan linaitwa ANA ndio wanamiliki Dreamliner, waethiopia waliweka oda ya Dreamliners kumi na hiyo ndio wamepatiwa ya kwanza imetoka mwezi March,inawezekana Rwandair wameweka oda pia (sina uhakika na hili) lkn bado hawajapata,hapa Africa ni waethiopia tu ndio wenye hiyo ndege