makundi4619
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 486
- 141
Kama precision air ya watu binafsi inajipeleka serikali itashindwaje? NIWAKUMBUSHE KUWA shirika la ndege ni alama ya taifa..watalii wanajaa ethiopia na kenya kutokana na maajabu ya mashirika hayo..mwakyembe umeshindwa?
Jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mwakyembe kachukua lini wizara ya uchukuzi? Air Tanzania ni ushahidi tosha ya kushindwa kwa utawala wa CCM. Shirika kili lilikufa siku nyingi tangu enzi zile za miaka ya 1980's lakini serikali ikawa inajitutumua kuliendesha juu ya migongo ya wananchi. Wananchi wa Tanzania ni wavumilivu sana tunabebeshwa mizigo mizito mno na CCM jamani mwisho ufike karibuni tumechoka sana.