- HA! HA! HA! HA! kukujua sikujui ila najua baba yako alifukuzwa kazi kwa wizi na Serikali ya Mwinyi, kama ni ndoa iliisha miaka mitatu iliyopita I have moved on nilikuwa nimeoa mke sio kama uliyeolewa bro1 ha! ha! ha! mke akiruka kidogo wewe huko unakufa1 halafu mimi levi levi kama wewe unalew mpaka unajisahau unakumbuka New York mara ngapi watu wamekubeba hujielewi nini kama sio frustrations za maisha, kutegemea baba ni mimi au wewe bro! ha! ha! kwani sasa hivi unafanya kazi wapi kama sio kufanya kazi za baba, mwanaume mzima umetoka majuu kuja kufanya za baba kuishi kwa baba wacha bro huu muzikii huuwezi! ha! ha! Mambo ya meli nimesoma Antwerpen, Belgium pole sana!!
- Nimegombea nimsehindwa na nimeshinda, Chadema mnagombea na kupigwa za uso kila wakati so huwezi jilinganisha na mimi majuzi tu mmepewa za uso kwenye udiwani, unajifanya unanijua hapana hunijui! ha! ha! maana ungekuwa unanijua basi usingeuliza nilisoma wapi Meli maana wanaonijua wote wanajua nilisoma DMTU bongo, nikasoma kwenye meli za Liemba na Mwongozo, Sinotaship na Belgium Antwerpen na pia nilifanya kazi kwenye meli za CMB-Belgium,
- Tuliza boli wewe endelea kuishi klwa kuamuliwa na mke, mimi hapana siko kihivyo wewe mshukuru Mungu baba yako ameiba na kuanzisha hiyo biashara ya mbao aliyokupa, mimi baba yangu hakuiba so maihsa ni yangu mwenyewe ulipokuja new york ulinikuta, sikuwa ninaishi na baba kama wewe, wacha kijana mdogo huku bongo be carefl ukileta za kulewa lewa kama new york utaishia pabaya sana! ha1 ha! ha! mtoto wa baba na mama huwezi jilinganisha na mimi, mimi ninaishi kwa jasho langu tena for the last many years1 ha! ha! na sasa nimefungua kampuni yangu sio kutegemea kampuni za hela za wizi wa wananchi kama baba yako!
- so tuliza boli mwendo ni mdundo CCM mbele sana, na kidumu!!
Le Mutuz!