Finally: Hongereni Wana-CCM Online!!

Status
Not open for further replies.
- Nimeshindwa kusoma yote maana it is toolong daamn!
Tatizo letu hatupendi kusoma, na hii inaonyesha jinsi gani hoja zako hazitokani na utafiti wa kusoma bali mazungumzo; Vinginevyo ungekuwa unasoma (sio humu tu), nina amini kabisa kwamba mtazamo wako kuhusu changamoto za CCM ndani na nje ya chama ungebadilika; Vinginevyo nimekusoma mstari kwa mstari hata kwenye majibu ambayo umeelekeza kwa wengine lakini bado sijaona jipya, hivyo hoja zangu ambazo hauna muda wa kuzisoma, zitabakia kusimamia pale pale;
 
- Mchambuzi ana nia moja tu nayo ni kujaribu kuuvuruga huu mjadala, maana mada inaongelea ishu tofauti na anazozisema, mimi nimewapongeza watetezi wa CCM online, yeye anasema nini sielewi kabisa, CCM ipo sawa sana mabishano ya makundi ndio Demokrasia yenyewe, tumekutana Dodoma na mambo yamekwenda powa sana!!

- Sasa tunajikosoa wapi? majuzi tu CCM tumeshinda Udiwani, tumewashinda Chadema mpaka Mwanza wameanza kurushiana viti, sasa hapa nani wanatakiwa kujikosoa walioshinda au walioshindwa udiwani?

I mean Kidumu CCM!!

Le Mutuz!!
Kwa nini issue ya kujikosoa imo kwenye mwongozo wa CCM?

Kwa mtu anayetafuta excellence, there is always room for improvement. That improvement comes through self evaluation and recognition of weak points to work upon.

Kumbuka kwamba compalecency is the beginning of failure!
 
- Powa now look, Slaaa amegombea Urais ameshindwa akaishia kupata kura yake mwenyewe, Mbowe pia akaishia kupata kura yake mwenyewe, Mtei aligombea na yeye akaishia kuapta kura yake mwenyewe tu, meaning kwamba wananchi hawawataki, Mama Kilango ni Mbunge wa Same East, Malecela ni Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, sasa utawalinganisha vipi na Viongozi losers?

- I mean sometimes sitaki kusema mnanilazimisha tu, huna hoja wala idea ya kinachosemwa hapa sasa wewe tulia pembeni, sasa unataka nisome mahojiano na Zitto ambaye wenyewe huko Chadema mmsema mko tayari kufa lakini hawezi kuwa mgombea wenu, wewe na wenzako Chadema hamtaki kumsikiliza lakini unataka mimi ndio nimsikilize? REally?

Le Mutuz!!

Le Mutuz
dooh! hii ni piga ua jamaa wao hawataki kumsikiliza Zitto halafu wanataka wewe umsikilize, sasa kama Zitto angekuwa anasema maneno ya maana si wao ndio wangekuwa wa kwanza kumsikiliza? Zitto aliwapa ushauri mzuri wa kugomea posho hakuna hata mmoja wa wabunge wao aliyemuunga mkono hii ni mpaka mwenyekiti wao; jamaa watu wa ajabu sana wanalazimisha tusikilize mziki wa kijapani.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
- ha! ha! ha! ha! ha!ETi least wananchi hapa wana uhakika kwamba mimi kiongozi wao wa Taifa sio shoga, maana siku hizi Dunia imeharibika sana mnachagua kiongozi wa taifa kumbe shoga! ha! ha! ha!

- But in me what you see is what you get, kudadeki yaani Kiongozi Rijali! ha1 ha! ha! ha!

Le Mutuz!!
Haya maneno yamenifanya niamini kumbe kweli kaka ni umbo la mwili tu, ubongo haupo, nadhani ulichelewa kulia ulipozaliwa, no wonder kila unapogombea unapigwa chini.
 
- Powa now look, Slaaa amegombea Urais ameshindwa akaishia kupata kura yake mwenyewe, Mbowe pia akaishia kupata kura yake mwenyewe, Mtei aligombea na yeye akaishia kuapta kura yake mwenyewe tu, meaning kwamba wananchi hawawataki, Mama Kilango ni Mbunge wa Same East, Malecela ni Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, sasa utawalinganisha vipi na Viongozi losers?

- I mean sometimes sitaki kusema mnanilazimisha tu, huna hoja wala idea ya kinachosemwa hapa sasa wewe tulia pembeni, sasa unataka nisome mahojiano na Zitto ambaye wenyewe huko Chadema mmsema mko tayari kufa lakini hawezi kuwa mgombea wenu, wewe na wenzako Chadema hamtaki kumsikiliza lakini unataka mimi ndio nimsikilize? REally?

Le Mutuz!!

Duh Mtei aligombea Urais? Hii Nimeipata kwa Le Mutuz Leo.
 
Du!! how many times your thoughts count on Dr. Slaa per minute?? Maana sijui hii ni mara ya ngapi unamuwaza Dr., amekuaribu sana kisaikolojia masikini.....!!

- Powa now look, Slaaa amegombea Urais ameshindwa akaishia kupata kura yake mwenyewe, Mbowe pia akaishia kupata kura yake mwenyewe, Mtei aligombea na yeye akaishia kuapta kura yake mwenyewe tu, meaning kwamba wananchi hawawataki, Mama Kilango ni Mbunge wa Same East, Malecela ni Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, sasa utawalinganisha vipi na Viongozi losers?

- I mean sometimes sitaki kusema mnanilazimisha tu, huna hoja wala idea ya kinachosemwa hapa sasa wewe tulia pembeni, sasa unataka nisome mahojiano na Zitto ambaye wenyewe huko Chadema mmsema mko tayari kufa lakini hawezi kuwa mgombea wenu, wewe na wenzako Chadema hamtaki kumsikiliza lakini unataka mimi ndio nimsikilize? REally?

Le Mutuz!!
 
Tatizo letu hatupendi kusoma, na hii inaonyesha jinsi gani hoja zako hazitokani na utafiti wa kusoma bali mazungumzo; Vinginevyo ungekuwa unasoma (sio humu tu), nina amini kabisa kwamba mtazamo wako kuhusu changamoto za CCM ndani na nje ya chama ungebadilika; Vinginevyo nimekusoma mstari kwa mstari hata kwenye majibu ambayo umeelekeza kwa wengine lakini bado sijaona jipya, hivyo hoja zangu ambazo hauna muda wa kuzisoma, zitabakia kusimamia pale pale;

- Kusimama kwa hoja zako hakubadili ukweli kwamba CCM majuzi imeshinda Udiwani, viti 22 kwa 5 tu vya Chadema, sihitaji kukusoma sana maana nia na madhumuni yako ni kunitoa kwenye mada ya kuwapa pongezi makamanda wa CCM online, unataka nijadili unachokiita mpasuko ndani ya CCM, mimi ni mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM majuzi nilikuwa Dodoma kwenye Mkutano wetu mkuu, sikuona dalili ya iana yoyote ya kupasuka!

- Sasa siwezi kupoteza muda wangu kusoma imaginations na mtu ambaye sio Kiongozi wa Taifa kama mimi, ila kwa vile yetu ni Demokrasia una haki ya kuamini kwamba CCM itameguka na kwamba imeshameguka, mimi nasema CCM itashinda uchaguzi 2015 na ndio utakuwa mwisho wa Chadema, kwa sababu wao ni chama cha kutafuta urais tu!!

Le Mutuz!!
 
Mchambuzi
Nondo safi ila jaribu kutuwekea kwa ufupi naamini unaweza kulifanya hilo; hawa makamanda wengi hawapo kujifunza ila ni ushabiki wa kisiasa na hasira ya maisha.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
- Mchambuzi ana nia moja tu nayo ni kujaribu kuuvuruga huu mjadala!

Samahani kwa hilo Kaka,

Kwanza sikujua kwamba nina uwezo huo; Pili sikujua kumbe mbali ya kutoa hoja, pia wewe ni moderator na unaona mjadala naupeleka kusipo takiwa; Basi nimekuelewa naacha kuchangia kwenye uzi huu, na naomba wale wote ambao nimewaudhi kwa njia moja ya nyingine mnisamehe; Niwie radhi kaka, ila kumbuka - huu ni mgongano tu wa mawazo, na msukumo wangu sio kitu kingine zaidi ya uchungu juu ya jinsi gani chama chetu kinazidi kupotea, huku sisi vijana tukipigia debe malengo ya wazee ambayo ni ya muda mfupi sana, kwani in 10-15 yrs watakuwa hawapo tena katika siasa za nchi hii na watatuachia chama mfu au chenye migogoro mikubwa zaidi ya hii;

Hoja zangu humu hata kama zitakuwa zimekuudhi, naomba uelewe tu kwamba zililenga kujadili jinsi gani tunaweza kukirudishia chama chetu cha CCM hadhi yake ya zamani kwa kuangalia uhalisia wa mambo (sio ignorance and arrogance just because tumekamata dola), and in the process, mgongano wa mawazo ni jambo la kawaida; Nakuachia mjadala wako kwa moyo safi kabisa;

Na kuhusu wewe kuwa kiongozi wa taifa, mimi sijashindwa bali nimekataa kuwa mtumwa; kaulize;

Kila la Kheri;

Alamsiki;
 
Eti hili nalo ni Jembe la CCM Online ha ha haa

1. Mama Kilango amegombea Mara Mbili UWT na ameshindwa

2. Mzee Malecela ameshwahi kushindwa na akagombea tena

3. Mkuu Umesoma Mahojiano ya Zitto jana hapa JF au unaleta Hoja Peremende hapa

hata mbowe aliwahi kugombea akashindwa.
Slaa aligombea akashindwa.
SIONI LOGIC YA HOJA YAKO.
 
LoL!!!! Hahaha akili ni nywele hata Le Mutuz ana zake!!! Oooops!!! Nilisahau kama una upara kwa hisani ya watu wa America
:):) chezea njaa weye!!!! Mapovu yanakutoka kusifia uozo ndani ya magamba.

- ha! ha! ha! ha! I know ila baba yangu sio mwizi na hajawahi kufukuzwa kazi na Serikali ya Tanzania tena kwa aibu!! so wewe furahia ufisadi wa baba na kuwaona wabongo wajinga huku unakula hela zao alizofisadi baba yako! ha! ha! ha!

- Njaa haikunikuta majuu kama wewe na bado haijanikuta bongo kama wewe! ha! ha! ha! baba yangu hana viwanda vya hela za ufisadi bro! ha! ha! ha!

Le Mutuz!!
 
Samahani kwa hilo Kaka,

Kwanza sikujua kwamba nina uwezo huo; Pili sikujua kumbe mbali ya kutoa hoja, pia wewe ni moderator na unaona mjadala naupeleka kusipo takiwa; Basi nimekuelewa naacha kuchangia kwenye uzi huu, na naomba wale wote ambao nimewaudhi kwa njia moja ya nyingine mnisamehe; Niwie radhi kaka, ila kumbuka - huu ni mgongano tu wa mawazo, na msukumo wangu sio kitu kingine zaidi ya uchungu juu ya jinsi gani chama chetu kinazidi kupotea, huku sisi vijana tukipigia debe malengo ya wazee ambayo ni ya muda mfupi sana, kwani in 10-15 yrs watakuwa hawapo tena katika siasa za nchi hii na watatuachia chama mfu au chenye migogoro mikubwa zaidi ya hii;

Hoja zangu humu hata kama zitakuwa zimekuudhi, naomba uelewe tu kwamba zililenga kujadili jinsi gani tunaweza kukirudishia chama chetu cha CCM hadhi yake ya zamani, and in the process, mgongano wa mawazo ni jambo la kawaida; Nakuachia mjadala wako kwa moyo safi kabisa;

Alamsiki;

- ha! ha! ha! ha! ha! ha! chama chetu hakipotei labda unapotea wewe tu ndugu yangu, sasa ninaanza hata kuelewa unatokea wapi kumbe ni wewe duh!! unajua sana kujificha ficha, ha! ha1 ha!

Le Mutuz!!
 
Mkuu Le Mutuz amekutaja kama Jembe la CCM online tena unasema hajaleta Mjadala wa Maana?

Watu wengi wananitaja hata wewe mbona kila siku unanitaja hakuna ubaya Le Mutuz Big Show kunitaja...au anataka unitaje peke yako, ha ha haa...kuna Pro-Chadema mwingine jana kanifungulia thread.. Ritz, ni nouma.
 
Last edited by a moderator:
Watu wengi wananitaja hata wewe mbona kila siku unanitaja hakuna ubaya Le Mutuz Big Show kunitaja...au anataka unitaje peke yako, ha ha haa...kuna Pro-Chadema mwingine jana kanifungulia thread.. Ritz, ni nouma.

- Ritz for President!!

L Mutuz
 
Haya maneno yamenifanya niamini kumbe kweli kaka ni umbo la mwili tu, ubongo haupo, nadhani ulichelewa kulia ulipozaliwa, no wonder kila unapogombea unapigwa chini.

- Yaani una maana kama Chadema wanavyopigwa chini toka waanzishwe, kila mwaka ni kupigwa chini so una maana hawan ubongo safi? ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz!!
 
Watu wengi wananitaja hata wewe mbona kila siku unanitaja hakuna ubaya Le Mutuz Big Show kunitaja...au anataka unitaje peke yako, ha ha haa...kuna Pro-Chadema mwingine jana kanifungulia thread.. Ritz, ni nouma.

Mkuu Ritz
Makamanda wanaomba uchukue likizo angalau wiki moja jukwa wanaliona gumu wanashindwa kumeza nondo zako kila siku wanabadili ID zao! Yaani wewe ni nouma tupu

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom