Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
Tatizo letu hatupendi kusoma, na hii inaonyesha jinsi gani hoja zako hazitokani na utafiti wa kusoma bali mazungumzo; Vinginevyo ungekuwa unasoma (sio humu tu), nina amini kabisa kwamba mtazamo wako kuhusu changamoto za CCM ndani na nje ya chama ungebadilika; Vinginevyo nimekusoma mstari kwa mstari hata kwenye majibu ambayo umeelekeza kwa wengine lakini bado sijaona jipya, hivyo hoja zangu ambazo hauna muda wa kuzisoma, zitabakia kusimamia pale pale;- Nimeshindwa kusoma yote maana it is toolong daamn!