Hivi Kaka William,
Unajua kwamba chama chetu kimesha meguka ndani kwa ndani siku nyingi na tuna vyama zaidi ya viwili kimtazamo na kimalengo ndani ya CCM? Kinacho kosekana ni usajili wa tendwa; Isitoshe, viongozi wengi ndani ya CCM hawafanya kazi tena kwa mapenzi ya CCM, na hii ni hatari kwani wanasukumwa zaidi na UWOGA, UBINAFSI na UNAFIKI, masuala ambayo mwalimu aliyajadili sana jinsi gani ni tishio kwa uhai wa Chama;
Mimi ni Mwana CCM lakini kwa akili zangu timamu, naelewa kwamba kwa sasa CCM bado ni moja kwa sababu ya System tu, hakuna lingine; Chama kinacholindwa na system ni chama dhaifu;
Ni muhimu tukai sambaratisha CCM sasahivi kama nia yetu ni kuijenga upya, kuliko kusubiri kuja kusambaratishwa na Upinzani, kwani siku hiyo haipo mbali;
Hoja yako ya kutetea Chama chenye kansa ya kiungo ni hoja mfu kwani unachofanya ni kutetea na kuwa mtiifu kwa chama kwa mujibu wa katiba, sio kwa mujibu wa uhalisia wa soko la Siasa; Kaka, Kansa imesha sambaa, tukate tu hicho kiungo na tuanze maisha mapya;
mpira si chenga bali magoli, na uchaguzi autizami tu ongezeko la kura bali viti, kati ya 29 mnashinda 5, halafu mnajisifia?
- Ahsante sana, ila ndugu yangu dalili za mvua huwa ni mawingu, uchaguzi wa udiwani majuzi ni ujumbe tosha kuhusu what to expect 2015 the budern is on the otherside sio kwetu CCM tena!!
Le Mutuz!!
Hivi Kaka William,
Unajua kwamba chama chetu kimesha meguka ndani kwa ndani siku nyingi na tuna vyama zaidi ya viwili kimtazamo na kimalengo ndani ya CCM? Kinacho kosekana ni usajili wa tendwa; Isitoshe, viongozi wengi ndani ya CCM hawafanya kazi tena kwa mapenzi ya CCM, na hii ni hatari kwani wanasukumwa zaidi na UWOGA, UBINAFSI na UNAFIKI, masuala ambayo mwalimu aliyajadili sana jinsi gani ni tishio kwa uhai wa Chama;
Mimi ni Mwana CCM lakini kwa akili zangu timamu, naelewa kwamba kwa sasa CCM bado ni moja kwa sababu ya System tu, hakuna lingine; Chama kinacholindwa na system ni chama dhaifu;
Ni muhimu tukai sambaratisha CCM sasahivi kama nia yetu ni kuijenga upya, kuliko kusubiri kuja kusambaratishwa na Upinzani, kwani siku hiyo haipo mbali;
Hoja yako ya kutetea Chama chenye kansa ya kiungo ni hoja mfu kwani unachofanya ni kutetea na kuwa mtiifu kwa chama kwa mujibu wa katiba, sio kwa mujibu wa uhalisia wa soko la Siasa; Kaka, Kansa imesha sambaa, tukate tu hicho kiungo na tuanze maisha mapya;
- ha! ha! ha! ha! ha! ha! USA niliondoka kama nilivyokwenda, na ni majuzi tu mizigo yangu imefika hapa bongo, hayo ni maneno ya mkosaji! au mfamaji huwa haishi kutapa tapa! ha! ha! ha! au kama vipi lets say ni kweli je utalinganisha na Rais wako Slaa aliyetelekeza mke na kuiba mke wa mwananchi asiye na hatia? Tena mke mwenye umri wa miaka 30, yeye akiwa 70?
- Sasa kiongozi mwenye PhD ya kanisani anapoiba wake za wananchi anaotaka kuwaongoza, unafanyaje kulisaidia taifa? ha! ha! ha! ha! ha! ha! naomba niishie hapa maana ni nomaazzzzzz!!
Le Mutuz!!
Ubora hata heshima kubwa unayojijengea hapa JF ndugu Mchambuzini hoja zenye kujenga maudhui ya hali yalisi ya vyama vya siasa na maisha ya mtanzania kwa maendeleo ya mtanzania. Ndivyo tunavyotazamia wenye fikra pevu na great thinker wafanye.
Kukosa hoja ni pale mtu anaposhupalia kumshambulia mtu badala ya hoja. Mchambuzi ninachoshindana nawe ni hoja hapa si wewe kama Mchambuzi, wala si Katibu Mkuu Kinana kama yeye ila hoja yake. Ndio maana nimeweka uzi unaohusu Kinana kutaka CCM iondokane na kasumba ya uheshimiwa ili undugu uliozoeleka ushike nafasi kwa vile rahisi ndugu kumsahihisha kindugu, lakini mheshimiwa humwia vigumu kwa vile anatakiwa ateremke toka alipo ili amkufikie mtu wa chini.
Unachojadili na kutetea nakubaliana nacho na ndio kianchotakiwa kujenga chama kwa kuangalia misingi ya chama si kupigia debe kama mtu huna upana wa uchambuzi wa nini bora cha kujenga chama au kukiua. Hilo linahitajika kubadilika kwa wengi wetu vinginevyo ni hewalahewala, tutashabikia bila kuonyesha hoja ya kukishabikia chama, what does it mean to the CCM future?
Mkuu naomba uendelee kutunza heshima yako mijadala kama hii ni too low for u. ur a GT
- hivi hujasikia kwamba siku hizi vyama vyote vikongwe vya siasa Afrika vinakuja CCM kujifunza!
- I mean naomba ujali future ya Chadema maana upo kwenye njia panda sana!!
Le Mutuz!!
Hilo nalo neno mkuu. Nitake radhi, mimi ni CCM.....Ila unaniboa. William unammumiza mkeo na wanao. Grow up.... By the way, mkeo sasa hivi ni wifi yangu alafu wee pia ni shemeji...lol
- Mimi nilidhani kwa elimu kubwa uliyonayo ungejali the Future of Chadema, kuliko a guaranteed Future ya CCM, ni majuzi tu nchi zote za Afrika Mashariki zimekubaliana kwamba kwa vile CCCM ni imara sana basi Chuo cha Kivukoni kifufuliwe na Mukama na kiwe kwa ajili ya Africa nzima, hivi hujasikia kwamba siku hizi vyama vyote vikongwe vya siasa Afrika vinakuja CCM kujifunza!
- I mean naomba ujali future ya Chadema maana upo kwenye njia panda sana!!
Le Mutuz!!
- ha! ha! ha! ha! ha!ETi least wananchi hapa wana uhakika kwamba mimi kiongozi wao wa Taifa sio shoga, maana siku hizi Dunia imeharibika sana mnachagua kiongozi wa taifa kumbe shoga! ha! ha! ha!
- But in me what you see is what you get, kudadeki yaani Kiongozi Rijali! ha1 ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
Hilo nalo neno mkuu. Nitake radhi, mimi ni CCM.....Ila unaniboa. William unammumiza mkeo na wanao. Grow up.... By the way, mkeo sasa hivi ni wifi yangu alafu wee pia ni shemeji...lol
Da Letotoz
hahahah hahahaha !!! hahahahahahahahahahaha
Yaani unashabikia kuwa mwana CCM Fuska mwanauma kama Adama Malima....lol
ahahahahahahaha hahahahahahaha !
CCM haitaki wakina Adama Malima. Wanachafua Chama
Nimeelewa. Nikisoma post za huyu mtu ntakuwa na framework ya kumwelewa na nitashusha expectation.