Finally: Hongereni Wana-CCM Online!!

Status
Not open for further replies.
Kuna tabia ambayo mara nyingi wagonjwa wanoumwa sana, wakiona hawana matumaini ya kupona - wanakuwa na matusi mengi! sijui kwa nini??
 
hahaha...kama kawaida ya ccm ni kucopy na kupaste
eti "hongera makamanda ritz,chama......"

nanyie pia makamanda???...can't you be just alittle bit creative and find your own ways??
 
Hivi Kaka William,

Unajua kwamba chama chetu kimesha meguka ndani kwa ndani siku nyingi na tuna vyama zaidi ya viwili kimtazamo na kimalengo ndani ya CCM? Kinacho kosekana ni usajili wa tendwa; Isitoshe, viongozi wengi ndani ya CCM hawafanya kazi tena kwa mapenzi ya CCM, na hii ni hatari kwani wanasukumwa zaidi na UWOGA, UBINAFSI na UNAFIKI, masuala ambayo mwalimu aliyajadili sana jinsi gani ni tishio kwa uhai wa Chama;

Mimi ni Mwana CCM lakini kwa akili zangu timamu, naelewa kwamba kwa sasa CCM bado ni moja kwa sababu ya System tu, hakuna lingine; Chama kinacholindwa na system ni chama dhaifu;

Ni muhimu tukai sambaratisha CCM sasahivi kama nia yetu ni kuijenga upya, kuliko kusubiri kuja kusambaratishwa na Upinzani, kwani siku hiyo haipo mbali;

Hoja yako ya kutetea Chama chenye kansa ya kiungo ni hoja mfu kwani unachofanya ni kutetea na kuwa mtiifu kwa chama kwa mujibu wa katiba, sio kwa mujibu wa uhalisia wa soko la Siasa; Kaka, Kansa imesha sambaa, tukate tu hicho kiungo na tuanze maisha mapya;

- Well, Brother nimekuwa ninakusoma kwa muda kidogo sasa, sina uhakika of what is your mission hapa JF maana wengine wote unaowaona humu wana mission, wengi wao ni wapambe wa Chadema wanaotaka kutuvuruga CCM at any cost. For you to say kwamba CCM imemeguka ni absolutely over reaching! mimi nilikuwepo Dodoma majuzi kwenye Mkutano wetu mkuu nimegombea NEC viti 10 na kupata kura 800 na kushika nafasi ya 12, kama kweli CCM ingekuwa imemeguka no way ningeweza kupata kura zote hizo!! kati ya kura 2,000!

- Sijui ni System gani unayoisema ambayo sio ya CCM, kwamba CCM tunaweza kusambaratishwa na Upinzani sijui ni Upinzani upi huo, maana nonaujua majuzi tu wamepigwa chini kwenye Udiwani na CCM, makundi ndani ya chama cha siasa ni kawaida sana, Tanzania tulichelewa sana kuwa nayo kwa sababu ya kutawaliwa na chama kimoja kwa muda mrefu sana, brother kumbuka maneno ya Mwenyekiti Mao, aliposema "Ukiona watu wawili wanakubaliana kwa kila kitu na kila wakati ujue kwamba mmoja wao ni mgonjwa au wote wawili ni wagonjwa" so it is ok kwa CCM kuwa na makundi kwa sababu hata Democrats kule US wanayo makundi so are Republicans!!

- Sina uhakika na maelezo yako umefanyia wapi huo utafiiti, lakini binasfi ninaamini sana CCM, infact kama itaweza ku-maintain hii hype ya sasa, Wapinzani watakuwa na wakati mgumu sana 2015, infact ninasema hivi Wapinzani hawatashinda 2015, matokeo ni kwamba Chama cha wasi wasi kama Chadema kwa kukosa Urais, kitakufa kifo cha panzi!! Kwamba CCM ina kansa? hapana kumbe hujajua kwamba kansa ipo Chadema, kati ya Mbowe, Slaa na Zitto!

- Halafu unapaswa kujua kwamba Chadema hawana mgomea imara wa Urais 2015, sasa watashindaje CCM iko vizuri sana wakorofi kina Mgeja umeona walivyoshugulikiwa na CC sasa hivi adabu mbele, waliotaka kupiga kura za maruhani ndio kabisaa yaani huzuni hata kusema, please brother naona na wewe unajaribu kuwa na mkono kwenye nyama na kwenye kunde CCM hatuhitaji wanachama kama wasio na msimamo kama wewe, kama umeona maji yamekushinda CCM nenda kwa usalama tu lakini wewe mtu mmoja huwaongelei wana CCM wote Millioni Tano!!

- KIDUMU CCM!!

Le Mutuz!!
 
mpira si chenga bali magoli, na uchaguzi autizami tu ongezeko la kura bali viti, kati ya 29 mnashinda 5, halafu mnajisifia?

Utafiti umefanywa na watu wenye akili timamu zaidi yako,kama mnaweza mtuambie ni kwa nini matokeo ya urais 2010 hayakutangazwa majimboni.siyo kuropoka tu.
 
- Ahsante sana, ila ndugu yangu dalili za mvua huwa ni mawingu, uchaguzi wa udiwani majuzi ni ujumbe tosha kuhusu what to expect 2015 the budern is on the otherside sio kwetu CCM tena!!

Le Mutuz!!


Mh: Nimegundua leo kuwa akili yako,umbo lako pamoja na umri ni tofauti sana, rudi nyumbani kavae
 
Hivi Kaka William,

Unajua kwamba chama chetu kimesha meguka ndani kwa ndani siku nyingi na tuna vyama zaidi ya viwili kimtazamo na kimalengo ndani ya CCM? Kinacho kosekana ni usajili wa tendwa; Isitoshe, viongozi wengi ndani ya CCM hawafanya kazi tena kwa mapenzi ya CCM, na hii ni hatari kwani wanasukumwa zaidi na UWOGA, UBINAFSI na UNAFIKI, masuala ambayo mwalimu aliyajadili sana jinsi gani ni tishio kwa uhai wa Chama;

Mimi ni Mwana CCM lakini kwa akili zangu timamu, naelewa kwamba kwa sasa CCM bado ni moja kwa sababu ya System tu, hakuna lingine; Chama kinacholindwa na system ni chama dhaifu;

Ni muhimu tukai sambaratisha CCM sasahivi kama nia yetu ni kuijenga upya, kuliko kusubiri kuja kusambaratishwa na Upinzani, kwani siku hiyo haipo mbali;

Hoja yako ya kutetea Chama chenye kansa ya kiungo ni hoja mfu kwani unachofanya ni kutetea na kuwa mtiifu kwa chama kwa mujibu wa katiba, sio kwa mujibu wa uhalisia wa soko la Siasa; Kaka, Kansa imesha sambaa, tukate tu hicho kiungo na tuanze maisha mapya;

Ubora hata heshima kubwa unayojijengea hapa JF ndugu Mchambuzi ni hoja zenye kujenga maudhui ya hali yalisi ya vyama vya siasa na maisha ya mtanzania kwa maendeleo ya mtanzania. Ndivyo tunavyotazamia wenye fikra pevu na great thinker wafanye.

Kukosa hoja ni pale mtu anaposhupalia kumshambulia mtu badala ya hoja. Mchambuzi ninachoshindana nawe ni hoja hapa si wewe kama Mchambuzi, wala si Katibu Mkuu Kinana kama yeye ila hoja yake. Ndio maana nimeweka uzi unaohusu Kinana kutaka CCM iondokane na kasumba ya uheshimiwa ili undugu uliozoeleka ushike nafasi kwa vile rahisi ndugu kumsahihisha kindugu, lakini mheshimiwa humwia vigumu kwa vile anatakiwa ateremke toka alipo ili amkufikie mtu wa chini.

Unachojadili na kutetea nakubaliana nacho na ndio kianchotakiwa kujenga chama kwa kuangalia misingi ya chama si kupigia debe kama mtu huna upana wa uchambuzi wa nini bora cha kujenga chama au kukiua. Hilo linahitajika kubadilika kwa wengi wetu vinginevyo ni hewalahewala, tutashabikia bila kuonyesha hoja ya kukishabikia chama, what does it mean to the CCM future?
 
- ha! ha! ha! ha! ha! ha! USA niliondoka kama nilivyokwenda, na ni majuzi tu mizigo yangu imefika hapa bongo, hayo ni maneno ya mkosaji! au mfamaji huwa haishi kutapa tapa! ha! ha! ha! au kama vipi lets say ni kweli je utalinganisha na Rais wako Slaa aliyetelekeza mke na kuiba mke wa mwananchi asiye na hatia? Tena mke mwenye umri wa miaka 30, yeye akiwa 70?

- Sasa kiongozi mwenye PhD ya kanisani anapoiba wake za wananchi anaotaka kuwaongoza, unafanyaje kulisaidia taifa? ha! ha! ha! ha! ha! ha! naomba niishie hapa maana ni nomaazzzzzz!!

Le Mutuz!!

Hilo nalo neno mkuu. Nitake radhi, mimi ni CCM.....Ila unaniboa. William unammumiza mkeo na wanao. Grow up.... By the way, mkeo sasa hivi ni wifi yangu alafu wee pia ni shemeji...lol
MTOTO.jpg
 
Wapinzani wa CCM sio CUF, au CHADEMA, au NCCR-Mageuzi au chama chochote kile cha siasa!

Upinzani wa CCM ni umaskini uliokithiri wa watanzania, ni wizi wa mali za umma, ni ukiukwaji/uvunjaji wa haki za binadamu, ni elimu mbovu, huduma mbaya za afya, ni barabara mbaya, ni hali mbaya ya usalama wa raia na mali zao, ni mfumo omba-omba endelevu huku hela zikiwa Swiss na makontena ya nyara za taifa kutua Hongkong huku waliopewa dhamana ya kuongoza wakiwa kimya! Upinzani ni uongozi mbovu usiofuata sheria.

Kuibuka na kupongeza mashambulizi dhidi ya upinzani katika context ya kulenga kikundi cha watu au chama cha siasa ni dhahiri kuna watu hawaelewi ni kitu gani hasa watanzania wanapinga! Na watu hao ajabu bado wanataka kuongoza!

Na ni mashambulizi gani hayo wakati hospitali nyingi nchini hazina hata x-ray machine? Ni mashambulizi gani wakati inflation bado ni double digits? Ni mashambulizi gani wakati zaidi ya theluthi moja wa Watanzania hawana uhakika wa hata mlo mmoja kwa siku? Ni mashambulizi gani wakati wananchi (kwa mamilioni) wanalala kwenye mbavu za mbwa?

Watanzania wanajua 'mpinzani' ni nani na wanajua fika huyo 'mpinzani' anafugwa na nani. Na anayetaka kuongoza (sio kutawala) basi sharti ajue nini watanzania wanapinga na aelekeze 'mashambulizi' kwa yale yanayopingwa. Mashambulizi yapelekwe Hongokong kwenye yake mankontena yenye nyara za taifa, mashambulizi yaelekezwe Uswiss kwenye vile vijicent ili walau x-machines zinunuliwe.

Ma-consultants wa CCM wanaelewa hayo? wanajuwa wapinzani ni nani?
 
Ubora hata heshima kubwa unayojijengea hapa JF ndugu Mchambuzini hoja zenye kujenga maudhui ya hali yalisi ya vyama vya siasa na maisha ya mtanzania kwa maendeleo ya mtanzania. Ndivyo tunavyotazamia wenye fikra pevu na great thinker wafanye.

Kukosa hoja ni pale mtu anaposhupalia kumshambulia mtu badala ya hoja. Mchambuzi ninachoshindana nawe ni hoja hapa si wewe kama Mchambuzi, wala si Katibu Mkuu Kinana kama yeye ila hoja yake. Ndio maana nimeweka uzi unaohusu Kinana kutaka CCM iondokane na kasumba ya uheshimiwa ili undugu uliozoeleka ushike nafasi kwa vile rahisi ndugu kumsahihisha kindugu, lakini mheshimiwa humwia vigumu kwa vile anatakiwa ateremke toka alipo ili amkufikie mtu wa chini.

Unachojadili na kutetea nakubaliana nacho na ndio kianchotakiwa kujenga chama kwa kuangalia misingi ya chama si kupigia debe kama mtu huna upana wa uchambuzi wa nini bora cha kujenga chama au kukiua. Hilo linahitajika kubadilika kwa wengi wetu vinginevyo ni hewalahewala, tutashabikia bila kuonyesha hoja ya kukishabikia chama, what does it mean to the CCM future?

- Mimi nilidhani kwa elimu kubwa uliyonayo ungejali the Future of Chadema, kuliko a guaranteed Future ya CCM, ni majuzi tu nchi zote za Afrika Mashariki zimekubaliana kwamba kwa vile CCCM ni imara sana basi Chuo cha Kivukoni kifufuliwe na Mukama na kiwe kwa ajili ya Africa nzima, hivi hujasikia kwamba siku hizi vyama vyote vikongwe vya siasa Afrika vinakuja CCM kujifunza!

- I mean naomba ujali future ya Chadema maana upo kwenye njia panda sana!!

Le Mutuz!!
 
Yaani nikipata posts zako namkumbuka sana comrade TAMBWE HIZA, sijui yuko wapi? yaan wakubwa wa umbo na umri wepesi wa mawazo na hoja, halafu natamani mdahalo na wewe basi tu................
 
Mijadala migumu eeh? Mnataka.msifiwe. Kwani hamkupoteza viti kwenye huo.uchaguzi? Kama una maembe kumi, ukapokonywa na aliekuwa na mawili moja, huwezi kujisifia kuwa i still have 8! Mibhange tu hii.
Mkuu naomba uendelee kutunza heshima yako mijadala kama hii ni too low for u. ur a GT
 
Vinakuja kujifunza nini, wizi wa kura. Ahadi za uongo ama siasa za kuchafuana? Hicho chuo fungueni tu, kitafanikiwa manake wataalamu mnao. Na kwa sababu already wapo kwenye payrol basi ni kuongezea tu job descriptio. Badala ya mipasho ya majukwaani mnahamishia bedroom za shule.
- hivi hujasikia kwamba siku hizi vyama vyote vikongwe vya siasa Afrika vinakuja CCM kujifunza!

- I mean naomba ujali future ya Chadema maana upo kwenye njia panda sana!!

Le Mutuz!!
 
Hilo nalo neno mkuu. Nitake radhi, mimi ni CCM.....Ila unaniboa. William unammumiza mkeo na wanao. Grow up.... By the way, mkeo sasa hivi ni wifi yangu alafu wee pia ni shemeji...lol
MTOTO.jpg

- ha! ha! ha! ha! ha!ETi least wananchi hapa wana uhakika kwamba mimi kiongozi wao wa Taifa sio shoga, maana siku hizi Dunia imeharibika sana mnachagua kiongozi wa taifa kumbe shoga! ha! ha! ha!

- But in me what you see is what you get, kudadeki yaani Kiongozi Rijali! ha1 ha! ha! ha!

Le Mutuz!!
 
- Mimi nilidhani kwa elimu kubwa uliyonayo ungejali the Future of Chadema, kuliko a guaranteed Future ya CCM, ni majuzi tu nchi zote za Afrika Mashariki zimekubaliana kwamba kwa vile CCCM ni imara sana basi Chuo cha Kivukoni kifufuliwe na Mukama na kiwe kwa ajili ya Africa nzima, hivi hujasikia kwamba siku hizi vyama vyote vikongwe vya siasa Afrika vinakuja CCM kujifunza!

- I mean naomba ujali future ya Chadema maana upo kwenye njia panda sana!!

Le Mutuz!!

Nyie kiboko yenu ktk ukoo wenu ni kuladadeki.
 
- ha! ha! ha! ha! ha!ETi least wananchi hapa wana uhakika kwamba mimi kiongozi wao wa Taifa sio shoga, maana siku hizi Dunia imeharibika sana mnachagua kiongozi wa taifa kumbe shoga! ha! ha! ha!

- But in me what you see is what you get, kudadeki yaani Kiongozi Rijali! ha1 ha! ha! ha!

Le Mutuz!!

Da Letotoz
hahahah hahahaha !!! hahahahahahahahahahaha
Yaani unashabikia kuwa mwana CCM Fuska mwanauma kama Adama Malima....lol
ahahahahahahaha hahahahahahaha !
CCM haitaki wakina Adama Malima. Wanachafua Chama
 
Hilo nalo neno mkuu. Nitake radhi, mimi ni CCM.....Ila unaniboa. William unammumiza mkeo na wanao. Grow up.... By the way, mkeo sasa hivi ni wifi yangu alafu wee pia ni shemeji...lol
MTOTO.jpg

Nimeelewa. Nikisoma post za huyu mtu ntakuwa na framework ya kumwelewa na nitashusha expectation.
 
Da Letotoz
hahahah hahahaha !!! hahahahahahahahahahaha
Yaani unashabikia kuwa mwana CCM Fuska mwanauma kama Adama Malima....lol
ahahahahahahaha hahahahahahaha !
CCM haitaki wakina Adama Malima. Wanachafua Chama

- Wewe wacha kuweweseka mimi ni bachelor sina mke so it is a fair game, so hata nikimuoa dada yako unakuwa rest assured kuwa ameolewa na Rijali! ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom