Finally: Hongereni Wana-CCM Online!!

Finally: Hongereni Wana-CCM Online!!

Status
Not open for further replies.
wewe kwa sababu unapata za LUMUMBA? Nnauye Jr naona anawapa mshiko mrefu

Vipi umesitishiwa payroll? ni kwa nini wewe ni mnafki kiasi hiki?



  • user-offline.png
    Jeykey

    4th September 2012 20:59
    #1
    JF Senior Expert Member Array


    Join Date : 17th August 2010
    Posts : 1,295
    Rep Power : 670
    Likes Received145
    Likes Given178



    [h=2]
    icon1.png
    (Picha) CDM ilitumia malori kusomba watu Iringa[/h]
    katika hali ambayo siku zote ilikuwa mbinu ya kujificha kukusanya watu
    atimaye mbinu ya chadema imebainika baadaya kukutwa inapakia watu
    kweye lori (katika picha)

    Kutokana na mtu aliyenidodosa ni kuwa Daudi mwandosi alikuwa anachukua
    picha kwenye gari la chadema ambalo linapakiza watu kuwaleta kwenye sehmu
    ya kufungua tawi, hiki kitendo kiliwakasilisha chadema

    Sasa hapo guess nini kilifuata

    Tazama hii picha kwa umakini kwanini Daudi alikuwa anapiga picha Lori lililobeba watu?

    Inakuwa Chadema wanasomba watu kuja kwenye mikutano yao?



    Reply Reply With Quote





 
wewe kwa sababu unapata za LUMUMBA? Nnauye Jr naona anawapa mshiko mrefu


  • user-offline.png
    Jeykey

    8th June 2012 23:23
    #1
    JF Senior Expert Member Array


    Join Date : 17th August 2010
    Posts : 1,295
    Rep Power : 670
    Likes Received145
    Likes Given178



    [h=2]
    icon1.png
    LOWASSA kukosa mkutano wa kesho Jagwani 8.06.2012[/h]
    lowassa-important.JPG




    Habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa Jemedali kaptani The great LOWASSA
    amesusia mkutano wa ccm utakaofanyika kesho jagwani

    Je hii inaashilia nini kwa wana ccm wenzangu?

    Kwanini mzee huyu amekaa katika malengo ya kukizoofisha chama?

    Kwanini Mikutano mingi inayoandaliwa na Nape mzee huyu huwa anaisusia?​

    Saint Ivuga and Daudi Mchambuzi like this.



    Reply Reply With Quote


 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom