Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,570
Tayari huku. Sasa mimi najiandaa kulekea kumuaga comrade.Jamani Mzee Castro! Mungu aendelee kumpa uhai mrefu,sitaki kusikia habari za kifo chake kabisa.
Tayari huku. Sasa mimi najiandaa kulekea kumuaga comrade.Jamani Mzee Castro! Mungu aendelee kumpa uhai mrefu,sitaki kusikia habari za kifo chake kabisa.
Sasa huyo mwinyi wako amefanyia nini taifa,casto amefanya kazi zote ngumu dunianiDaah! Kumbe Fidel Castro ni mdogo Ki Umri kwa Mzee Mwinyi lakin sasa pamoja na u Field marshal wake hawezi kusimama bila ya Msaada wakat Mzaramo wetu wa Mkuranga anashiriki mpaka marathon fupi![]()
Ni kweli karejea kwa Mola wake japo alikuwa haamini uwepo wa Mungu!
ndio hivyo r.i.p castro
Nimeshajua wapendwa.Tayari huku. Sasa mimi najiandaa kulekea kumuaga comrade.
Faiza kwani ni mleta mada au muhusika mwenyewe ndio kasema?tusimlaumu mleta uzi plz
Sasa huyo mwinyi wako amefanyia nini taifa,casto amefanya kazi zote ngumu duniani
Sikuwezi mama upo juu sana.big upMleta uzi ndiyo kaandika. Sijaona "source" wala "citation" ya kuwa si yake hayo. Wewe umeiona?
Amefariki![]()
Rais wa zamani Cuba, Fidel Castro awaaga wajumbe wa Chama Cha Kikomunisti Cuba na kuwaambia atakufa siku si nyingi lakini mapinduzi yataishi
Mwanamapinduzi na kiongozi mzalendo wa Taifa Timamu la Cuba atamka alamsiki kama babu zetu walivyofanya.
Si kitu rahisi lakini hana budi .
Alizaliwa kijijini Biran mwaka 1926.
Mwaka 1955 alipokea tuzo ya Batista.Bwana huyo aliweka record ya kuogelea kipande kirefu baharini na kuingia nchini Cuba na kufanikisha mapinduzi.
Amina.
Sasa mwandishi ana kosa gani kwani yeye ndio amemtabitia kifo au ametoa taarifa juu ya utabiri wa kifo chake mwenyewe,amendika "... awaaga wajumbe wa Chama Cha Kikomunisti Cuba na kuwaambia atakufa siku si nyingi lakini mapinduzi yataishi....." ukizingatia kauli taarifa hapo kulikuwa hakuna haja kupinga tena.Sasa umri huo unatabiri nini tena? mleta mada poyoyo kweli kweli.
Sasa mwandishi ana kosa gani kwani yeye ndio amemtabitia kifo au ametoa taarifa juu ya utabiri wa kifo chake mwenyewe,amendika "... awaaga wajumbe wa Chama Cha Kikomunisti Cuba na kuwaambia atakufa siku si nyingi lakini mapinduzi yataishi....." ukizingatia kauli taarifa hapo kulikuwa hakuna haja kupinga tena.
kwani umeambiwa mimi nazungumzia afya ya nini?? mimi nimekujibu kauli yako unavyosema kuwa casto alikuwa na 90yrs lakini kachoko kuzidi mwinyi ambaye naye ana 90 yrs-nikakujibu kuwa majukumu aliyokuwa anafanya casto kipindi yupo kijana ni tofauti kabisa na ya Mwinyi-casto alikuwa commandor amepigana vita vya kila aina za kiakili na kimwili tofauti na huyo Mwinyi wako kwa hiyo ni lazima atachoka sana uzeeniTunazungumzia Afya ya Mwili acha mihemko Uchwara !
Wakat Mwingine ruhusu akili yako kuwaza nje ya Siasa hapa tunazungumzia Afya ya Mwili na ikiwezekana lipatikane Darsa la namna ya kutunza Mwili!
Warioba kazidiwa na Mwinyi 15 years lakin Bapa zimemchosha nae utasingizia kazi ndo zilimchosha?
ghaa ubunge nao ukakosa.Sasa umri huo unatabiri nini tena? mleta mada poyoyo kweli kweli.
Kwani yeye mwenyewe hawezi kuwa chanzo cha habari ndugu?Mleta uzi ndiyo kaandika. Sijaona "source" wala "citation" ya kuwa si yake hayo. Wewe umeiona?
pili acha kukariri kama hujui sema uambiwe dunia ni siasa na Siasa ndio dunia -politics is about power and authority! kila kitu duniani kinafanyika kutokana na siasa!.Tunazungumzia Afya ya Mwili acha mihemko Uchwara !
Wakat Mwingine ruhusu akili yako kuwaza nje ya Siasa hapa tunazungumzia Afya ya Mwili na ikiwezekana lipatikane Darsa la namna ya kutunza Mwili!
Warioba kazidiwa na Mwinyi 15 years lakin Bapa zimemchosha nae utasingizia kazi ndo zilimchosha?
Kwani yeye mwenyewe hawezi kuwa chanzo cha habari ndugu?