Hansss
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 2,370
- 2,726
Bibi mtake radhi mleta mada kwa hiyo ukiwa na umri kama wa F Castro unapaswa kujitabiria kifo??? Basi aanze Mzee mwinyi wa 1925 kujitabiria kifo ambae kwa sasa ana miaka 91 hiyo aliyofanya Castro ni akili yake binafs hata wa miaka 50 anaweza fanya hivyo haihusian na umri bibi yangu afu kwan na wewe faiza hujajitabiria tu hadi leo????
