FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
ghaa ubunge nao ukakosa.
swissme
Kazi za kitumwa hizo. Kwetu nilifundishwa kutuma.
ghaa ubunge nao ukakosa.
swissme
pili acha kukariri kama hujui sema uambiwe dunia ni siasa na Siasa ndio dunia -politics is about power and authority! kila kitu duniani kinafanyika kutokana na siasa!.



Siasa ni Taaluma!hahahaha mpiga debe wa ccm hewa.Kazi za kitumwa hizo. Kwetu nilifundishwa kutuma.
Hahahaaa kweli nyie magamba akili zenu za kushikiwaKauli nzuri ni ipi? Hivi wewe unaishi bila kutegemea kufa?
Amma kwa hakika hiyo nayo ni tofauti kubwa sana ya kuwa umejaa ujinga. Sisi tunaamini kifo ni haki.
Hahahaaa kweli nyie magamba akili zenu za kushikiwa
jamani Faiza mbona kuna wazee wana umri zaidi ya huo wa Castrol. Hakuna umri ambao mtu anastahili au lazima afeNa hawa walioweka hizi data, ni wachawi wakubwa zaidi yangu, maana wana "life expectancy" ya nchi zote duniani.
Nnajuwa ni ufinyu wa muono na elimu ya kujifundisha ujinga ndiyo inakufanya upayuke hovyo
Jisomee: Geoba.se: Gazetteer - The World - Life Expectancy - Top 100+ By Country (2016)
Haya kachukue buku saba Lumumba naona ushatimiza majukumu yakoKama alivyotushika Lowassa, au siyo?
HahahahahahHahahahahahahahahahahahahha
Eti wakina Lowassa na Kingunge![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Haya kachukue buku saba Lumumba naona ushatimiza majukumu yako
jamani Faiza mbona kuna wazee wana umri zaidi ya huo wa Castrol. Hakuna umri ambao mtu anastahili au lazima afe
Hivi kwanini Faiza una matusi sana kwa wakubwa wenzio?Sasa umri huo unatabiri nini tena? mleta mada poyoyo kweli kweli.