Fidel Castro ajitabiria kifo

Fidel Castro ajitabiria kifo

Kunatofauti kubwa sana kiafya kati ya mtu anayeshinda vibarazani kafunga msuli huku akicheza BAO au akinywa kahawa , na mtu anayekesha porini, akipambana na maharamia wanaotaka kuchukua/kuvamia mji au ardhi yake.
 
Back
Top Bottom