Fidel Castro ajitabiria kifo

Fidel Castro ajitabiria kifo

Tunazungumzia Afya ya Mwili acha mihemko Uchwara !

Wakat Mwingine ruhusu akili yako kuwaza nje ya Siasa hapa tunazungumzia Afya ya Mwili na ikiwezekana lipatikane Darsa la namna ya kutunza Mwili!

Warioba kazidiwa na Mwinyi 15 years lakin Bapa zimemchosha nae utasingizia kazi ndo zilimchosha?
Wakati mwingine tuanzie kwenye familia zetu je baba yako yupo au babu yako ana umri gani? Kuishi na kufa ni mipango ya mungu
 
Hivi unapomuita mwenzio poyoyo una maana gani? Je neno hilo poyoyo unaweza kulutumia kwa mama yako mzazi?

Poyoyo siwezi kulitumia kwa mama yangu mzazi kwa sababu yeye si poyoyo.

Hilo siyo tusi.

Hivi wewe hujawahi kufanya mchezo wa matusi?

Kichwa chako!
 
Wakati mwingine tuanzie kwenye familia zetu je baba yako yupo au babu yako ana umri gani? Kuishi na kufa ni mipango ya mungu

Pia tupunguze Kukonyagika Leo Amani Abeid Amani Karume anaonekana Mzee kuliko Mama yake Mzazi Fatma
 
Poyoyo siwezi kulitumia kwa mama yangu mzazi kwa sababu yeye si poyoyo.

Hilo siyo tusi.

Hivi wewe hujawahi kufanya mchezo wa matusi?

Kichwa chako!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Faiza mama haya Tufanye umeshinda, ila uwe unapima uzito wa maneno maana mengine yana viashiria vya udharirishaji
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Faiza mama haya Tufanye umeshinda, ila uwe unapima uzito wa maneno maana mengine yana viashiria vya udharirishaji

= udhalilishaji

Hizo ni hisia zako, au wewe ulivyouliza kuhusu maman'gu ulifikiri ni udhalilishaji? Mbona kawaida tu.

Ukiyavulia nguo uyaoge.
 
= udhalilishaji

Hizo ni hisia zako, au wewe ulivyouliza kuhusu maman'gu ulifikiri ni udhalilishaji? Mbona kawaida tu.

Ukiyavulia nguo uyaoge.
Sikukuuliza mama' ko ili nikudhalilishe Hapana, ila ukweli ndio huo huwezi muita mtu mzima mwenzio Poyoyo, jiheshimu we Dada kubali ukatae muda mwingine ni vyema ukapima maneno yako
 
Hivi kwanini Faiza una matusi sana kwa wakubwa wenzio?
Hicho kiajuza Faizafoxy kwa umri hakina mpinzani humu ndio maana kinatukana kila mtu,kina umri karibu na castro
 
Sikukuuliza mama' ko ili nikudhalilishe Hapana, ila ukweli ndio huo huwezi muita mtu mzima mwenzio Poyoyo, jiheshimu we Dada kubali ukatae muda mwingine ni vyema ukapima maneno yako

We poyoyo kweli kweli, ni nani alikwambia umenidhalilisha? Amma unachokisoma hukielewi au unakipa maana zako za kiajabu-ajabu kutokea kichwani mwako.

Hujawahi kucheza mchezo wa matusi?

Mbona hilo lako binafsi unapiga chenga kulijibu? Ilhali umeniuliza la maman'gu nimekujibu.
 
We poyoyo kweli kweli, ni nani alikwambia umenidhalilisha? Amma unachokisoma hukielewi au unakipa maana zako za kiajabu-ajabu kutokea kichwani mwako.

Hujawahi kucheza mchezo wa matusi?

Mbona hilo lako binafsi unapiga chenga kulijibu? Ilhali umeniuliza la maman'gu nimekujibu.
Poyoyo mama yako mzazi, mpuuzi nn hivi unadhani nani hajui kutukana? Mchezo wa matusi ukiujua wewe na mama yako inatosha sio lazima wengine tuucheze!
 
Hicho kiajuza Faizafoxy kwa umri hakina mpinzani humu ndio maana kinatukana kila mtu,kina umri karibu na castro
Yaani Mkuu hiki kizee kimekosa busara kabisa! Kila kitu kinajifanya mjuaji kumbe hana lolote zaidi ya kushambulia watu
 
Back
Top Bottom