GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,362
- 5,606
Hakuna mdau wa hizo mambo hapa, kama yupo mtaje tumtafte asibitishe. Hapa yanaongelewa mambo ya Barca tuHakuna vurugu hapo natoa info kwa wadau wetu walipo kwenye uzi wenu
Hakuna mdau wa hizo mambo hapa, kama yupo mtaje tumtafte asibitishe. Hapa yanaongelewa mambo ya Barca tuHakuna vurugu hapo natoa info kwa wadau wetu walipo kwenye uzi wenu
Mi mwenyewe nashangaa badalA amuweke Little Suarez yy anaweka lifuga ndevu tu.....,cjui lilimpa nn..Andrea gomes wa nini?
Valved anamwamini sana sijui kwa nini yaaniAndrea gomes wa nini?
Ngoja tuone, nafikiri badae Dembele ataingiasijui hawa makocha huyu gomes wanampendea nn ni bora nafasi ya gomes angekaa sergi roberto kuliko huo mzigo usio na faida kwa timu
Au ana picha fulani za faragha za ValverdeIngekuwa Africa huku tungesema jamaa anatumia ndumbaaa hahaaaaa
kuna muda makocha wanapanga mchezaji kwa mapenzi kiukweli gomes hajafikia hata robo ya kiwango alichokua nacho tiago alcantara kipindi tunamuuza ila tumekuja kutupa hela ya bure kwa hili garasa la kireno ambalo halina madharaNgoja tuone, nafikiri badae Dembele ataingia
19 mkuu. Tupo na 442. Bila shaka Dembele na Semedo wataingia. Tupo na Gomes, Paulinho, iniesta na Busket, nyuma tuna Alba, Pique, Roberto na Vermalean. Juu ni Messi na Suares.Oyoooo tawile....tunatengeneza gap la point 20 leo
Hatari sana mkuu, hata Enlique alikuwa anampenda balaakuna muda makocha wanapanga mchezaji kwa mapenzi kiukweli gomes hajafikia hata robo ya kiwango alichokua nacho tiago alcantara kipindi tunamuuza ila tumekuja kutupa hela ya bure kwa hili garasa la kireno ambalo halina madhara
Semedo mgonjwa anaumwa tonsils19 mkuu. Tupo na 442. Bila shaka Dembele na Semedo wataingia. Tupo na Gomes, Paulinho, iniesta na Busket, nyuma tuna Alba, Pique, Roberto na Vermalean. Juu ni Messi na Suares.



Iniesta yupo bench tupo na rakitc mkuu19 mkuu. Tupo na 442. Bila shaka Dembele na Semedo wataingia. Tupo na Gomes, Paulinho, iniesta na Busket, nyuma tuna Alba, Pique, Roberto na Vermalean. Juu ni Messi na Suares.
Me nilijua ninaloliona hilo ni alonekuna muda makocha wanapanga mchezaji kwa mapenzi kiukweli gomes hajafikia hata robo ya kiwango alichokua nacho tiago alcantara kipindi tunamuuza ila tumekuja kutupa hela ya bure kwa hili garasa la kireno ambalo halina madhara


