Usiseme ni ubaguzi moja kwa moja huenda kuna technical reasons kocha aliziona kama ni ubaguzi iweje alimnunua Seydou Keita? Wakati naye ni mweusi?Angekuwa yule mbaguzi pep huenda angemuuza, pep anapenda sana wakatalunya. Sitamsahau kwa kumuondoa eto'o na kutuletea Ibrahimovic.
Mkuu umenikumbusha kitu, kipindi Toure anaondoka Sergio Busquet ndio alikuwa anakuja kwa kasi sana. Nadhani kocha aliona umri wa Busquet ni mdogo ukilinganisha na Toure kwa hiyo aka opt kumuuza mkubwaUsiseme ni ubaguzi moja kwa moja huenda kuna technical reasons kocha aliziona kama ni ubaguzi iweje alimnunua Seydou Keita? Wakati naye ni mweusi?
Mbona hausemi kuhusu toure kwa busquets?
Napo pia alifanya ubaguzi? au huoni shughuli ya sergio
Yaya toure anaingia Mara 80 kwa busquetsUsiseme ni ubaguzi moja kwa moja huenda kuna technical reasons kocha aliziona kama ni ubaguzi iweje alimnunua Seydou Keita? Wakati naye ni mweusi?
Mbona hausemi kuhusu toure kwa busquets?
Napo pia alifanya ubaguzi? au huoni shughuli ya sergio
Safi sana, uko vzr kwa rekodiLionel Messi ameifikia rekodi ya Gerd Muller iliyodumu kwa muda mrefu kwa kuweka kimiani magoli 365 ya La Liga kwa Barcelona.
Mkali huyo wa Kiargentina alifungua ukurasa wa magoli kwa miamba wa Catalan Jumapili kwa goli la kiufundi dhidi ya Levante.
Messi aligongeana na mchezaji mwenzake mkongwe Jordi Alba na kumalizia kwa kuukwamisha wavuni mpira kuipa goli la kuongoza 1-0 timu yake ugenini katika ushindi wa 3-0 ugenini.
Na, kwa kufanya hivyo, La Pulga alilingana magoli na supastaa wa zamani wa Bayern na Ujerumani akiifikia rekodi ambayo imedumu kwa muda wa miaka 39.
Sasa amefunga magoli 365 akiwa Blaugrana katika mechi 400 za La iga, akiifikia rekodi hiyo ya kihistoria ya Muller aliyofanikiwa kuiweka Muller kwenye klabu moja miongoni mwa Ligi Kuu tano za Ulaya.
Rekodi inaweza kuvunjika Jumapili ijayo Barca watakapoitembelea Real Sociedad.
Cha zaidi, Messi aiifikia rekodi kwa mechi 27 pungufu za gwiji huyo wa Bayern Muller, ambaye alihitaji mechi 427 kufikia idadi hiyo ya magoli.
Messi tayari ameshavunja rekodi moja ya Muller mwezi Desemba, akifunga goli lake la 526 kwa Barcelona kwenye michuano yote dhidi ya Real Madrid na kuipiku idadi ya Mjerumani huyo akiwa kwenye kabu moja.
Na baada ya kiwango safi dhidi ya Levante ambacho pia kilihusishwa pasi ya goli, hakuna atakayebisha kuwa nambari 10 huyo ataendelea kuingia kwenye vitabu vya rekodi misimu ijayo.
Unajua kuchezea Barca,Quality na Vision pekee havitoshi-Positional acumen ya mchezaji with or without the the ball ni very important ndio maana Neymar mwaka wa kwanza Barca alikuwa wa kawaida sana.Semedo mbali na quality yake bado aafundishwa kuji position.Dembele na ustar wake bado aja master mpangilio wa Barca-over time wata master the Barca way na wata flourish.Usishangae Turan akaenda elsewhere na akacheza good soccer hata kama the Barca way imemshindaNdo manake.....pique anastaafia barca
Atapatiwa2....Coutinho training with barca kids!!!!View attachment 671017View attachment 671018View attachment 671019View attachment 671020View attachment 671021
Jezi yake haina namba bado......inashangaza kdg....
Imeenda powa tu, kuanzia Leo ni mchezaji harari wa Fcb. Ingawa ni majeruhi, tunategemea atakuwa powa kuanzia trh 28 mwezi huu.Wadau vp presentation ya Coutinho camp nou
Anasubiri ya Masherano (14) au Arda Turan (7) ambao watasepa hivi Karibuni Mkuu.Coutinho training with barca kids!!!!View attachment 671017View attachment 671018View attachment 671019View attachment 671020View attachment 671021
Jezi yake haina namba bado......inashangaza kdg....
Kundi si ndiyo hili hapa. Tulia hapa utapata habari zote huko kwenye makundi kuna matapeli.Wadau kama kuna mtu yupo kundi la barca active aniadf