Mr Kaptenovela
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 621
- 618
Sio kipigo ni Kisago!!!Haha kazi wanayo tutakuwa tunawapiga hatari
Sio kipigo ni Kisago!!!Haha kazi wanayo tutakuwa tunawapiga hatari
Sijui kisa first match....ila anaanza kuonyesha mwanga
Whatever
Mkuu samahani sani nina kaswali kwako nataka nikuswalike
Ndo hivyo atakaa sawa2Sometime hadi namwonea huruma hivi dah ...baada ya mechi kadhaa atatengemaa tuu
![]()
Nshapata kajibu kumbe ni Ke
kwani leo ni April fools day????
nyie watu nyie!!!Ndiyo nashangaa
We Avatar mok ww![]()
![]()
![]()
![]()
♂️
♂️
♂️Hhhhhhhh....haya bhana...Hahaha nilihitaji clarification kidogo... maana♂️
♂️
♂️
Abaki huko huko garasa huyoTetesi
Arsenal na Liverpool wana nia ya kumsaini kiungo wa kati wa Barcelona na Croatia Ivan Rakitic, 29, ambaye anataka kuondoka kufuatia kuwasili kwa Philippe Coutinho. (Diariogol - in Spanish)
Unamjua vzr rakitic???Abaki huko huko garasa huyo
Kama unamjua si.mumbakizeUnamjua vzr rakitic???
Vip Sanchez naye garasa?Kama unamjua si.mumbakize