FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

hakuna mtu ambae anaumia kama neymar maana barca tumeshusha mnyama aiseee itakuwa messi anawaita wadogo zake countinho na dembele karibu wampe pasi
Finally Messi atapumzika kazi za kati mwenyewe ameshakuja
Sasa angalia anavyotaka kutupia magoli
Formation ya sasa hivi sitashangaa tukianza mvua zaid ya za Man city
 
Tuko na world class striker Benzema, japo sasa ni majeruhi lakini atarudi in 3 weeks.
Ha ha umenichekesha friend nilikua sijaiona quote yako anyways you did mistake to sell Morata ,a huge mistake
 
Madridiots are currently shivering right now.Last time,they couldnt handle only Messi and Suarez,now barcelona has added to their misery by signing Coutinho and Dembele is back. Imagine Messi,Coutinho,Suarez and Dembele against real madrid in the el classico,Madrid will be teared to pieces
Plus Maestro Busquets,Iniesta ,S Roberto ha a ha ha
Nasikia melody ya nje ndani nje nje ndani...
Away na home wanakaa
 
Plus Maestro Busquets,Iniesta ,S Roberto ha a ha ha
Nasikia melody ya nje ndani nje nje ndani...
Away na home wanakaa
He brings something Barcelona hasn’t had since el maestro Xavi left....precision shooting outside the box!!!!The last key ingredient to this Barcelona. We are more balanced, our defense is solid and now our midfield is complete!!!!
 
Toka nikufahamu Leo umeongea point
Sure sergio usajili wa coutinho na barca walivyo ni hatar sana sijaona had muda huu mchezaj mdebwedo barca toka bench had first 11 timu inaunganishwa vizur mno hawana papara hata usajili ea paulinho ulikuwa unaonekana kama wa hovyo wa kukurupuka lakin kwa jins alivyofit kwenye timu ni hatar sana ni mjinga tu mchezaj mwenye kipaji anaeza kukataa kwenda barca.
 
Ila fanyeni usajiri muongeze nguvu lukaku anawaibia hana lolote
Hahaha naona wanahangaika na dybala sijui kama watamuweza ushambuliaji bado tatizo kweli kabisa hilo eneo yafaa kuliboresha linasumbua sana
 
Red Giant where are you au ulienda kumfuata Cot?
Am speechless mkuu. Nipo hapa napanga kikosi kikiwa na coutinho ndani. Najaribu kupanga kikosi hapa. Majembe yamejaa hadi nachanganyikiwa. Hapa nimepata 4213 kule mbele coutinho, Dembele na suarez. Messi anakaa kama playmaker pale nakuwa na double pivot ya Busi na Iniesta. Sema iniesta kuwa kwenye double pivot ni kumunderutilize. Ukisikia watu wanasema kikosi kipana basi ndiyo sisi. Nipangie kikosi mkuu🙂🙂
 
Wakuu baada ya Ujio wa coutinho halafu akacheza winga kisha flanks zetu ziwe hivi. Kulia. Semedo-sergio Roberto -Dembele. Kushoto Alba-iniesta-coutinho. Sioni timu ya kutuzuia. Barca ya magoli 8-0 ileeeeeeeee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom