Coutinho ilikuwa asajiliwe Barca last summer ,ukiangalia tangazo la usajili wake kwenye facebook account ya Barca linaonyesha tarehe ya mwaka janaYote tisa ina maana NIKE,waliijua hii transfer before,au wameshiriki kumleta Courtinho Barcelona-kweli we live in a world of murky shady deals.Nakumbuka Nike wamewahi ilazimisha Brazil imchezeshe mchezaji mgonjwa katika final ya kombe la dunia
Mkuu naona listi ishakamilika......si alikuwa kabaki wa NNE tu ama?????Ili timu yetu iwe haishikiki bado mambo manne.
1.Dembele
2.Umtiti
3.Madrid
4.Coutinho.
Nilisema!!!!!![]()
Huyu jamaa mapema January
Ndiyo nshakuja hivyo nipe ubuyu ndugu....naona mambo yalishaiva...Mr Kaptenovela ,kuja huku swahiba Leo vepee cjauona ubora wako
Nimecheka sanaTuko na world class striker Benzema, japo sasa ni majeruhi lakini atarudi in 3 weeks.
makodinda upo..... nataka nimlete Dyabala na Griezman summer am not satisafied bado kabisa then namaliza kazi tuna hela hadi sisi ndio team tajiri dunianihakuna mtu ambae anaumia kama neymar maana barca tumeshusha mnyama aiseee itakuwa messi anawaita wadogo zake countinho na dembele karibu wampe pasi
hakuna mtu ambae anaumia kama neymar maana barca tumeshusha mnyama aiseee itakuwa messi anawaita wadogo zake countinho na dembele karibu wampe pasi
Atakuwa anajilaum sanaAlifanya uamuz wa kijinga sana kutoka barcelona kwenda psg? From hero to zero nahis ataumia sana.