Fuatilia mkuuTango pori kubwa sana hili
G.O.M.D
me ndo nakuambia halafu iyo a.c ni ya shabiki wa barca na sio ya barca wenywe, a c ya barca twitter ipo verfied ina kitick cha blueFuatilia mkuu
Account ya barca ya twitter imekuwa hacked.Tango pori kubwa sana hili
G.O.M.D
bora dirisha lifungwe. Nimechoka kishenzi na rumours.wachezaji wanatakiwa wasiongeze mikataba kama timu haieleweki coutinho hasingeongeza mkataba sasa hivi liverfool wangekuwa wanaangaika wao kama wanavyoangaika kwa emre can ambae amegoma kuongeza na kabakiza miezi 12.......coutinho alijipiga pini mwenyewe kwa mshahara mbuzi wa 150K.......kama liverfool wakikataa fourth bid ya 138 tuachane nae tu watajuta kukataa hiyo hela ...maana msengerema klopp anamng'ang'ania kama kazaliwa nae tupo moja
Nyie wakunduchi mnamng'ang'ania Coutinho kwani hamna maboya huko china ya kibrazili !? Mnunueni Oscar naye pia Mbrazili aliyeko China.wachezaji wanatakiwa wasiongeze mikataba kama timu haieleweki coutinho hasingeongeza mkataba sasa hivi liverfool wangekuwa wanaangaika wao kama wanavyoangaika kwa emre can ambae amegoma kuongeza na kabakiza miezi 12.......coutinho alijipiga pini mwenyewe kwa mshahara mbuzi wa 150K.......kama liverfool wakikataa fourth bid ya 138 tuachane nae tu watajuta kukataa hiyo hela ...maana msengerema klopp anamng'ang'ania kama kazaliwa nae tupo moja
Wewe mkuda tuNyie wakunduchi mnamng'ang'ania Coutinho kwani hamna maboya huko china ya kibrazili !? Mnunueni Oscar naye pia Mbrazili aliyeko China.
Mwekundu anafanya kazi yakebora dirisha lifungwe. Nimechoka kishenzi na rumours.
Boya anae muweka benchi casemiro national team?Nyie wakunduchi mnamng'ang'ania Coutinho kwani hamna maboya huko china ya kibrazili !? Mnunueni Oscar naye pia Mbrazili aliyeko China.
Zimebaki siku 5 usajiri kufungwaBarca wameandaa 138m£ kwa Coutinho. Liver wanasema wasijisumbue. Hata kwa £150m hawauzi.
Boya anae muweka benchi casemiro national team?
Tayar yupo si paulinho au unafikiri ni kaka yako.?Sasa si mumsaini mnasubiri nini?
Tayar yupo si paulinho au unafikiri ni kaka yako.?