FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

IMG_20170822_221940.jpeg


04ef64ca1f920dea6b102c855a2f7d93.jpg

Neymar and Dani Alves visit their former teammates in Barcelona today
 
wachezaji wanatakiwa wasiongeze mikataba kama timu haieleweki coutinho hasingeongeza mkataba sasa hivi liverfool wangekuwa wanaangaika wao kama wanavyoangaika kwa emre can ambae amegoma kuongeza na kabakiza miezi 12.......coutinho alijipiga pini mwenyewe kwa mshahara mbuzi wa 150K.......kama liverfool wakikataa fourth bid ya 138 tuachane nae tu watajuta kukataa hiyo hela ...maana msengerema klopp anamng'ang'ania kama kazaliwa nae tupo moja
 
wachezaji wanatakiwa wasiongeze mikataba kama timu haieleweki coutinho hasingeongeza mkataba sasa hivi liverfool wangekuwa wanaangaika wao kama wanavyoangaika kwa emre can ambae amegoma kuongeza na kabakiza miezi 12.......coutinho alijipiga pini mwenyewe kwa mshahara mbuzi wa 150K.......kama liverfool wakikataa fourth bid ya 138 tuachane nae tu watajuta kukataa hiyo hela ...maana msengerema klopp anamng'ang'ania kama kazaliwa nae tupo moja
bora dirisha lifungwe. Nimechoka kishenzi na rumours.
 
wachezaji wanatakiwa wasiongeze mikataba kama timu haieleweki coutinho hasingeongeza mkataba sasa hivi liverfool wangekuwa wanaangaika wao kama wanavyoangaika kwa emre can ambae amegoma kuongeza na kabakiza miezi 12.......coutinho alijipiga pini mwenyewe kwa mshahara mbuzi wa 150K.......kama liverfool wakikataa fourth bid ya 138 tuachane nae tu watajuta kukataa hiyo hela ...maana msengerema klopp anamng'ang'ania kama kazaliwa nae tupo moja
Nyie wakunduchi mnamng'ang'ania Coutinho kwani hamna maboya huko china ya kibrazili !? Mnunueni Oscar naye pia Mbrazili aliyeko China.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom