FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hivi bodi ya barca nahis inaendeshwa na waafrika waliojichubua kwani haiwezekani mda wote wa usajili kupoteza mda kwa coutinho na Dembele.Hv wakina hazard william, Underherela hawapo hv hawa jamaaa wanaakili? sasa kila siku mchezaji mmoja tuuu.
 
Hivi bodi ya barca nahis inaendeshwa na waafrika waliojichubua kwani haiwezekani mda wote wa usajili kupoteza mda kwa coutinho na Dembele.Hv wakina hazard william, Underherela hawapo hv hawa jamaaa wanaakili? sasa kila siku mchezaji mmoja tuuu.
Kifupi ni wapuuzi kupita hawa jamaa, Mimi nimeamua hadi kuifuta App yao ya "Barcelona Live". Kila siku tetesi, nafikiri wana mpango wa kuiua na kuiteketeza timu pamoja na Academy ya Lamasia.

Haingii akilini, Dembele, Jean Michael Seri na timu zao zimeshakubali kuwaachia, lakini uongozi wa Barca kutwa nzima wanajizungusha tu yaani hawataki kutoa pesa ili kukamilisha usajili huo.

Hapo hapo unakuta wana ng'ang'ana Mara cjui Coutihno Mara Angle Dimaria wakati timu zao zimeshasema hawaondoki hawa, mfano kama Coutihno ni wazi kuwa hawezi ondoka kwa 7bu ktk mkataba wake kuna kipengele hakimruhusu kwenda popote msimu huu.

Yaani hapa, Messi akisepa kwenda Man City ntafurahi sana kwani itakuwa fundisho kwa uongozi. Uongozi gani huo hauna future na team na maendeleo endelevu ya sasa?

Kuna wachezaji wazuri sana vilabu vyao vilikuwa vimeshakubali wajiunge na Barca, mfano ni Jean Michael Seri na Martinez lakini cha kushangaza wameachwa na badala yake eti wakamsajili mzee, Paulihno miaka 29 wakazi gani huyo ameshazeeka tayari.

Nasikitika sana kwanini timu inakufa hivi hivi tena kwa klabu kubwa na tajiri kama Barcelona wakati wachezaji wazuri wamejaa kote duniani.

Aibu ya mwaka hii....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifupi ni wapuuzi kupita hawa jamaa, Mimi nimeamua hadi kuifuta App yao ya "Barcelona Live". Kila siku tetesi, nafikiri wana mpango wa kuiua na kuiteketeza timu pamoja na Academy ya Lamasia.

Haingii akilini, Dembele, Jean Michael Seri na timu zao zimeshakubali kuwaachia, lakini uongozi wa Barca kutwa nzima wanajizungusha tu yaani hawataki kutoa pesa ili kukamilisha usajili huo.

Hapo hapo unakuta wana ng'ang'ana Mara cjui Coutihno Mara Angle Dimaria wakati timu zao zimeshasema hawaondoki hawa, mfano kama Coutihno ni wazi kuwa hawezi ondoka kwa 7bu ktk mkataba wake kuna kipengele hakimruhusu kwenda popote msimu huu.

Yaani hapa, Messi akisepa kwenda Man City ntafurahi sana kwani itakuwa fundisho kwa uongozi. Uongozi gani huo hauna future na team na maendeleo endelevu ya sasa?

Kuna wachezaji wazuri sana vilabu vyao vilikuwa vimeshakubali wajiunge na Barca, mfano ni Jean Michael Seri na Martinez lakini cha kushangaza wameachwa na badala yake eti wakamsajili mzee, Paulihno miaka 29 wakazi gani huyo ameshazeeka tayari.

Nasikitika sana kwanini timu inakufa hivi hivi tena kwa klabu kubwa na tajiri kama Barcelona wakati wachezaji wazuri wamejaa kote duniani.

Aibu ya mwaka hii....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata "Papy Kabamba Tshishimbi" hawajamuona????! (Joke kidogo)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
a201b690d88aa1a89b371335812c3cc1.jpg
 
Four miracles sequence:
1) Getting Dembele/Coutinho so the team is checked
2) Vote of no confidence works
3) Board change
4) Messi extension
 
More updates
Iniesta amepata medical green light tayari (amepona)
Suarez we are expecting speed recovery

Rafinha anaweza akaondoka Barca anytime (sad news)

Sergio Samper ameenda on loan Las Palmas (the boy despite what we did to him is still very loyal to Barca FC-our future )

Nitarudi jumamos siku ya match au kama Coutinho akisajiliwa mapema wanna come back ,kikosi kitahitaji not less than a month ili kuwe na bondage nzuri -hapa managememt imechemka 1 month is too long especially league na UEFA around the corner
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom