FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

My wetu madrid hawezi kabisa kutukazia tukimuhitaji.

Tunajidundia na kujinywia tu kama togwa ya ngomani.
 
Walau sisi kwenye zile 5 tulipata goli 2

Aisee mmenyanyaswa vibaya sana hadi nimewaonea huruma.

Dakika ya 90 lile shambulizi mlilokoswa hata mimi pale nilibana pumbu kuwasaidia msifungwe.
Madiriiidii ubane pumbu kbsa,ustione yatima sana😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom