Dribbles ndio zilizompa nafasi ya kuwania Balon D'or?
Then, why Dembele abebe tuzo wakati stats zake kwenye dribbling ni ndogo kuliko Lamine?
Ukiwa mshambuliaji role yako ya kwanza ni kufunga ya pili ni ku assist hizo Dribbles ni ziada tu.
Yani ni sawa na role ya goli kipa, jukumu lake mama ni kudaka. Hayo maswala ya passing ability, ball control, shooting ability nk yanakuja baadaye huko.
Hayo maswala ya kusema aliuchezea mpira yanakuwa yana make sense kama yataenda kuleta impact kwenye matokeo ya mwisho. Je bada ya hizo dribbles ulifunga? Je uli assist?
Lakini kama tutabaini ulikuwa na dribbles nyingi ambazo hazikuzaa goli au assist, hizo dribbles zako zinakuwa pointless.