FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Sasa ni Mbovu I'll kuja kupata goli 3 ugenini sio Jambo la kubeza.... Rudi jitafakari.
Sasa unashangaa Barcelona kufungwa goli tatu na inter ambayo wewe unaiona mbovu.

Hilo tulishajadili Barcelona inaachia sana magoli sio ajabu kufungwa goli 3 na inter.

Kashafungwa mpaka goli nne na timu za kawaida kuliko Inter.

Lakini strength ya Barcelona msimu huu hipo kwenye kufunga.

Na ndiyo maana inaongoza kwa magoli ya kufunga La liga na UEFA msimu huu.

Kwanini unaichukulia poa Barcelona ambayo scoring ability yake hiko vizuri?

Mechi ya jana kama ingekuwa timu oya oya mapema shughuli ingekuwa imeisha.

Lakini Barca kachomoa goli zote.


Kipi kinakufanya uamini moja kwa moja Inter anatutoa shabiki mwenzangu wa Barca?
 
Mzani wa Magoli ya kufunga na kufungwa hayatakiwi kukalibina kiasi Cha mzani kuwa level hasa ktk mguu wa kwanza...Jana Nina uhakika Hans hajafurahishwa kulazimishwa sare na Inter hasa akiwa nyumbani.
PSG alifungwa kabisa nyumbani na Livepool achilia mbali draw lakini alikuja kumtoa liver anfield.

Barcelona tuliwafunga PSG 3 -2 wakiwa kwao Parc des princes wakaja kutufungia nyumbani 4-1.

Kwenye football chochote kinaweza kukukuta popote nyumbani au ugenini ni possible.

Kitu gani kinakufanya ukate tamaa na uamini moja kwa moja inter anatutoa shabiki mwenzangu?
 
Barca hatoboi, San Siri Lamine yamaal anaenda kupigwa pin Moja matata timu nzima inakuwa imekufa, Barca wakiwaga ugenini unaweza sema ni Yanga yaani mpira wa ovyo wanacheza
😂😂😂😂😂
 
Yoyote anaweza kushinda endapo safu ya ulinzi haitafanya makosa ya wazi.
Mechi bado mpya kwa wote. Japo home team ana advantage.
Shida ya Barcelona tangu msimu umeanza imekuwa ni backline,sio rahisi kurekebisha ndani ya mda mfupi huu labda wafunge magoli mengi ambayo hayatafikiwa na Inter
 
Mashabiki wa RMA wamehamia Inter sasa tunakuja kuwakanda San Siro

Then mtahamia PSG tunawakanda tena

Mamaé round hii mtateseka sana

Na bado tukikutana tena tunawakanda
Sasa mimi una uhakika gani ni shabiki wa madrid?

Mimi kuja kusema msiwabeze Inter na kujipa matumaini makubwa ya kupita kuliko uhalisia tayari nimekua madrid?
 
PSG alifungwa kabisa nyumbani na Livepool achilia mbali draw lakini alikuja kumtoa liver anfield.

Barcelona tuliwafunga PSG 3 -2 wakiwa kwao Parc des princes wakaja kutufungia nyumbani 4-1.

Kwenye football chochote kinaweza kukukuta popote nyumbani au ugenini ni possible.

Kitu gani kinakufanya ukate tamaa na uamini moja kwa moja inter anatutoa shabiki mwenzangu?
Analysis ndogo kabisa Kwa namna Barca anavyocheza na inter wanavyocheza inter wanaweza kutengeneza chaos nyingi wakienda mara chache golini Kwa Barca kuliko Barca wakienda mara nyingi golini Kwa inter mechi ya away itakuwa ngumu Kwa Barca ,pili away form ya Barca kwenye uefa sio nzuri kama ya nyumbani ila ninampa nafasi Barca japo akitolewa ni wanaume wamewatoa vijana ,inter ni wanaume haswa,kwenye matokeo ya 3-3 kidogo wapate goli la nne ,na mwenendo wa mechi expected goal ilikuwa Kwa inter kuliko Kwa barca
 
Sasa unashangaa Barcelona kufungwa goli tatu na inter ambayo wewe unaiona mbovu.

Hilo tulishajadili Barcelona inaachia sana magoli sio ajabu kufungwa goli 3 na inter.

Kashafungwa mpaka goli nne na timu za kawaida kuliko Inter.

Lakini strength ya Barcelona msimu huu hipo kwenye kufunga.

Na ndiyo maana inaongoza kwa magoli ya kufunga La liga na UEFA msimu huu.

Kwanini unaichukulia poa Barcelona ambayo scoring ability yake hiko vizuri?

Mechi ya jana kama ingekuwa timu oya oya mapema shughuli ingekuwa imeisha.

Lakini Barca kachomoa goli zote.


Kipi kinakufanya uamini moja kwa moja Inter anatutoa shabiki mwenzangu wa Barca?
"Ulielewa neno Version ile ya aliyokutana nayo Pep"
Hakuna sehemu nimeandika Barca katoka, Muda wote najaribu kuonesha maeneo yanayofanya tunakuwa na mazingira magumu.

Inter anaesuasua kwenye Ligi kupata goli anapataje goli 3 kwetu na Sisi ndio tufanye kazi ya kurudisha ?
Inter alitakiwa afe kwa namna yoyote ile.
 
Kuna uwezekano mkubwa wa makombe matatu kuenda spain UEFA-barca,EUR0PA-athletic club,EUROPA.C-real betis anaweza kufanya hivyo maana yupo kwenye wakati mzuri
 
PSG alifungwa kabisa nyumbani na Livepool achilia mbali draw lakini alikuja kumtoa liver anfield.

Barcelona tuliwafunga PSG 3 -2 wakiwa kwao Parc des princes wakaja kutufungia nyumbani 4-1.

Kwenye football chochote kinaweza kukukuta popote nyumbani au ugenini ni possible.

Kitu gani kinakufanya ukate tamaa na uamini moja kwa moja inter anatutoa shabiki mwenzangu?
Barca tumejiongezea mzigo wenyewe Yani on target 10 Goli tatu wao On Target tatu Goli 3 hizi hesabu zetu Kuna Mechi zinachosha.
 
Jana Bacca alikuwa kafa goli 4 watu wa VAR wameamua kuibeba Bacca kwa kukataa goli halali la Inter. Ni vipi hii inakuwa offside?
20250501_110758.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom