hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 5,474
- 12,020
Sasa unashangaa Barcelona kufungwa goli tatu na inter ambayo wewe unaiona mbovu.Sasa ni Mbovu I'll kuja kupata goli 3 ugenini sio Jambo la kubeza.... Rudi jitafakari.
Hilo tulishajadili Barcelona inaachia sana magoli sio ajabu kufungwa goli 3 na inter.
Kashafungwa mpaka goli nne na timu za kawaida kuliko Inter.
Lakini strength ya Barcelona msimu huu hipo kwenye kufunga.
Na ndiyo maana inaongoza kwa magoli ya kufunga La liga na UEFA msimu huu.
Kwanini unaichukulia poa Barcelona ambayo scoring ability yake hiko vizuri?
Mechi ya jana kama ingekuwa timu oya oya mapema shughuli ingekuwa imeisha.
Lakini Barca kachomoa goli zote.
Kipi kinakufanya uamini moja kwa moja Inter anatutoa shabiki mwenzangu wa Barca?