BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,334
- 8,813
Suarez bhana Messi funga mwenyewe
Yeah angeweza kufunga hata goli 3 ila basi tu nae anapenda na wenzie wafunge...sema ndo ivyo akiwapa wanapoteza.
Suarez bhana Messi funga mwenyewe
Luis Suárez: “It hurts to see Messi critcized with Argentina and say he takes his friends to the national team. I’ve been at Barça for 5 years and never heard him say anything about coaches, nor who he’d prefer. When they ask him he says: “You guys do what you want.” [edg via md]Bila kupiga lile goals nilishaandaa matusi ndoo mbili
Lakin namvutia muda tu, somtyms anazingua sana japo ni mpambanaji
Kingine Suarez ni moja kati ya best friend wa messi, mtoto wa boss nae boss![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah angeweza kufunga hata goli 3 ila basi tu nae anapenda na wenzie wafunge...sema ndo ivyo akiwapa wanapoteza.
Luis Suárez: “It hurts to see Messi critcized with Argentina and say he takes his friends to the national team. I’ve been at Barça for 5 years and never heard him say anything about coaches, nor who he’d prefer. When they ask him he says: “You guys do what you want.” [edg via md]
Dembele aachwe game ya kesho kutwa, aendele kuwa fit Manyumbu wakutane nae Camp Nou!Labda wale wanaoibeza Barca niwaambie tu siri moja ...
Our team ina spirit au mentality ya ushindi 100%
When they play ,they wanajiona wanastahili kushinda ,ogopa sana huo moyo ...look at their paces...,movements,faces ..utagundua na mbaya zaidi hua wanabadilika sana (switching patterns and spaces wanapokua wanajenga attacks)
Kama umegundua tunashambulia kushoto,kulia na katikati
Atletico nadhani wakiulizwa kuhusu mtoto Malcom alieingia dakika chache watakufukuza kwao ,,Man U ..jiandaeni sana na Dembele....
Mimi nacheka nasema hiiiiiiiiiiDembele aachwe game ya kesho kutwa, aendele kuwa fit Manyumbu wakutane nae Camp Nou!
Akina Smalling watakimbizwa mpaka watoe ulimi kama soksi.
Alafu Barca tumekua na mtindo wa kushinda mida ya lala salama. Mida ya kuku kurudi bandani. Yani ikifika dakika ya 80 ndio mechi inaanza kwa upande wa Barca.
Najiuliza tu, the best defense in Europe couldn't stop us, vipi hawa akina Smalling na Jones nini kitawakuta?
- KANA -
Na wewe roga!Hv nyinyi mbona big match lazma ipatikane red card mnaloga sana mbafff
Sent using Jamii Forums mobile app

Habari dadaNime notice ana ule ujanja wa kungoja kwenye touchline kama Neymar alaafu vroom yuko ndani ya last half ya adui. Barca could be having a potent weapon here
Barcelona Ndo timu ambayo imeweza kumbadilisha Suares kutoka kwenye utukutu na kua mtu mstaarabu.Hv nyinyi mbona big match lazma ipatikane red card mnaloga sana mbafff
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachezaji 30 wote hao wa nini? Shida mmepanga kukamia hiyo mechi, ngoja iwatokee puaniWadau hicho ndicho kikosi kazi kwa ajili ya jumatano
Dembele karudi kundini View attachment 1065959
$ There's clear light at the end of the Tannel $
Mzee baba wachezaji ni 22, usifananishe number ya mchezaji na idadi ya kikosi. Naona ume panic siku 2 kabla ya match yenyeweWachezaji 30 wote hao wa nini? Shida mmepanga kukamia hiyo mechi, ngoja iwatokee puani
Mzee baba wachezaji ni 22, usifananishe number ya mchezaji na idadi ya kikosi. Naona ume panic siku 2 kabla ya match yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaaaah we jamaa vip?Najua ni 22 lakin mna post wote 30 kuringishia kikos? Mbn City na Tot hawafanyi huu unaz.....na hii hatua mnaeza ona ni chungu