Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
HahaaaaaaaWe are winners......!!!
Back to back ,Liverpool get ready ...mje na pampas Camp Nou
HahaaaaaaaWe are winners......!!!
Back to back ,Liverpool get ready ...mje na pampas Camp Nou
Hongeren barca kwa UBINGWA WA 26 WA LALIGA
Messi bado ana deni ,aliloahidi kuleta UCL,
avunge kwanza tusherekee ubingwaaaaaaaaaaa
Ligi nyepesi hii
Ligi ipi ngumu?
In La Liga bingwa ni either Barca au Madrid by default. In EPL any of the top 6 has a chance
Jibu swali mbona hujibu! Nimeuliza ligi ipi ngumu?
Huyu jamaa huyuView attachment 1083014
King ndio mchezaji wa kwanza wa Barcelona kushinda la liga mara 10.....
View attachment 1083016
Full wallpaper in history ❤
Sasa hao wagumu wa Epl mbona ni midebwedo tu kwa timu za Ukiondoa Barca na Real?In La Liga bingwa ni either Barca au Madrid by default. In EPL any of the top 6 has a chance
Sasa hao wagumu wa Epl mbona ni midebwedo tu kwa timu za Ukiondoa Barca na Real?
Altelico, Bilbao, Sevilla, Valencia, Villarreal hizi zote zinawahenyeshaga tu Europa na Uefa mkikutana nazo
Priority ya Barca namba ni Mjerumani, na Barca hawakuwa na khiyana na Bravo kwanini akae benchi wakati ana uwezo kucheza kwingine? Ndiyo maana alipewa nafasi ya kucheza game zote before leaving there kwa heshima.Unadhani huyo keeper wa Man City angekuwa Barcelona angemuweka T Stergen bench??? Reflex za Stergen ni extraordinaire
Congrats barca.
La liga
Ligi ya timu mbili