Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,047
- 3,322
- CHAMPIONS
- CHAMPIONS
- 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Huyo jamaa leo kuchafua balaa 😁😁Hawajui kuwa tuna chizi wetu mmj anaitwa Vidal anaharibu mpk Figo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman tuseme ukwel akili za Vidal vinaendana kabisa na style ya nywele zake!!!! Yn natamn ck ya mech na liver aanze n mtu anaejitoa kinoma noma
Kwani huko Albescete nani anaongoza kwa kufunga magoli mengi katika historia yao?
Kuongoza kufunga magoli is one thing but winning something is another.
Hata Wayne Rooney aliongoza kufunga magoli na 3 Lions lakini alishinda nao nini?
Bado shangwe zinaendelea hapa Camp nou
Yenye timu bora zaidiLigi nyepesi hii
oyoooooo waleteeee waleteeeeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]avunge kwanza tusherekee ubingwaaaaaaaaaaaMkuu tukaushie..