SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,904
Ndio league bora ulaya huu ni mwaka wa 5 mfululizo ,sio kila kinachotangazwa sana ndio kina ubora speaking of EPL
Ligi bora kwako
Ndio league bora ulaya huu ni mwaka wa 5 mfululizo ,sio kila kinachotangazwa sana ndio kina ubora speaking of EPL
Na hiyo unayoitaja bora ni kwako piaLigi bora kwako
Na hiyo unayoitaja bora ni kwako pia
This is ur view ,your perception and your world hatuwezi kukukatalia kuishi kwenye dunia yakoLa Liga haina mvuto.
Zaidi ya El Classico, Madrid derby and Barca vs Atleti, hakuna mvuto wowote.
EPL is the most watched league under the sun and it’s exciting to watch hata kama haijatoa UCL champ itaendelea kuwa the most watched and the most exciting and even the best league in the globe
This is ur view ,your perception and your world hatuwezi kukukatalia kuishi kwenye dunia yako
Lets us leave ours too
Sasa si ni Google hata wewe unaweza ku publish information tuzichukue kama source?Sio maneno yangu Bali ndio facts.
Hivi unafahamu hata England Championship ina viewers wengi duniani kuliko La Liga?
View attachment 1083387
Sasa si ni Google hata wewe unaweza ku publish information tuzichukue kama source?
Hivi most viewed na best kuna uhusiano?Google is free.
You can get all the facts and data. Do yourself a favor via reading and research instead of arguing against facts
Sasa si ni Google hata wewe unaweza ku publish information tuzichukue kama source?
To the man in the streets,tell him about winning trophies and not about what is most watched,what is tough etc etc-hawezi kukuelewa-and that's were the likes of Barca come into playGoogle is free.
You can get all the facts and data. Do yourself a favor via reading and research instead of arguing against facts
Tena and type the most viewed league sio best leagueEti mtu source of information yake ni quora daah... Hapo kila mtu anapublish vile anavoona.
Credibility matters
huku hata atletio kawahi chukuaLeicester city
Hivi most viewed na best kuna uhusiano?
View attachment 1083419
Lakini atletico bilibao na sevila wanampiga man u UEFA kama wanacheza na Granada tuLa Liga haina mvuto.
Zaidi ya El Classico, Madrid derby and Barca vs Atleti, hakuna mvuto wowote.
EPL is the most watched league under the sun and it’s exciting to watch hata kama haijatoa UCL champ itaendelea kuwa the most watched and the most exciting and even the best league in the globe
Kuwa na viwers sio kigezo Acha kuwaza kibeberu weweSio maneno yangu Bali ndio facts.
Hivi unafahamu hata England Championship ina viewers wengi duniani kuliko La Liga?
View attachment 1083387
Kabisa tangu miaka ya 2000 mpaka sasa Spain inanyanyasa sana kuanzia Europa na uefa kwa ngazi ya clabu, sasa sijui wanapima kwa lipi ukiondoa Madrid na Barcelona altetico madrid, Sevilla na Valencia bado wanauwezo wa kusumbua big four za timu zote za ulaya bila shida yoyote.Kuwa na viwers sio kigezo Acha kuwaza kibeberu wewe
Eti mtu source of information yake ni quora daah... Hapo kila mtu anapublish vile anavoona.
Credibility matters
Lakini atletico bilibao na sevila wanampiga man u UEFA kama wanacheza na Granada tu
Kuwa na viwers sio kigezo Acha kuwaza kibeberu wewe
Lakini atletico bilibao na sevila wanampiga man u UEFA kama wanacheza na Granada tu