BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,334
- 8,813
Ni balaaaaaa, alafu inakuja mijitu inamfananisha Messi na michezaji ya ajabu ajabu eti, ronaldo mara sijui gaucho mara pele 😂😂😂😂
Aisee mmepata jembe kamanda....hongereni!
Itakuwa xavi anampigia simu dogo kumpa maujuzi maana keshaona hiyo ndio copy yakeArthur Mello improves so brilliantly,anaacha back passing na ku focus high on the pitch (naiona image ya Xavi) ,so it's about penetration balls to hapa na jicho kama la eagle
Jamani match ya jana nimeiona UEFA inatua Camp Nou
Boys were so stimulated and motivated to pass balls, Jana the foundation philosophy ya Lamasia Cantera "get the ball pass the ball" nimeiona kwa macho yangu
Mfalme hana uchoyo. Huweka mafanikio ya team mate mbele kwanza siku zote ....Hahaa Umeona eee, ile penalt hakutaka pia kaamua kumpa dogo apige
Aende tu aliyotutendea pale Barcelona hayaelezeki na atalipwa na Mungu tu. Ametufanya tuwe na amani, furaha, na tabasamu lisilo koma.Messi msimu wake wa mwisho anaenda marekani kumslizia umri
Aende tu aliyotutendea pale Barcelona hayaelezeki na atalipwa na Mungu tu. Ametufanya tuwe na amani, furaha, na tabasamu lisilo koma.
Messi ni Messiah wa ngozi ya gozi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Messi msimu wake wa mwisho anaenda marekani kumslizia umri
Nimekuwa nikiisoma haya makala yako fupi kwa sauti ya Oumulkheri amidou wa Deutsche Velle(DW) akifanya udondozi wa magazeti toka Bonn, ujeremani.Magazine za Catalonya-zinasema kuchezea Barca is more then kujua kucheza soccer-defence and midfield ni lazima ujue ku read the game na uwe na positional sense ndio maana watu kama Pique na Umtiti hardly sweat at all- Semedo of late nae anaanza kuingia kundi hili,midfield unaona Basquets na Raktic wapo wapo tu lakini wanaoil machine efficiently-huko mbele gazette linasema ndio lifeblood ya timu in so long Messi yupo anything can happen any moment
Ni hatari sanaMagazine za Catalonya-zinasema kuchezea Barca is more then kujua kucheza soccer-defence and midfield ni lazima ujue ku read the game na uwe na positional sense ndio maana watu kama Pique na Umtiti hardly sweat at all- Semedo of late nae anaanza kuingia kundi hili,midfield unaona Basquets na Raktic wapo wapo tu lakini wanaoil machine efficiently-huko mbele gazette linasema ndio lifeblood ya timu in so long Messi yupo anything can happen any moment
Mkuu haya n:Messi msimu wake wa mwisho anaenda marekani kumslizia umri
Yaani huu uzi sijui hata nisemeje