FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Screenshot_2019-01-25-17-20-48.jpeg
 
Coutihno yuko poa tu.
Hapo shida ni Valiverdi ameshindwa kumtumia inavyotakikana.
Kamanda, Imeniuma sana hiyo 120M kwa coutinho,yani haiendani nae kabisa wakati kuna wachezaji wazuri zaidi yake kama Dybala, Christian eriksen, Kevin De bruyne, James rodriguez and De maria....

Huwa najiuliza sana walifikiria nini kusajili hii mizigo! Sipati jibu....
Coutinho

Boateng
Malcom
Gomez
Paulinho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Coutihno yuko poa tu.
Hapo shida ni Valiverdi ameshindwa kumtumia inavyotakikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kocha amefanya Barcelona ishuke thamani, zamani ilikua ni fahari kuchezea Barcelona na wachezaji wengi nyota walikua wanajivunia hilo. Leo hii mambo yamebadilika kuna wachezaji wanasajiliwa wanatuacha midomo wazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Notes:

Kweli Coutinho confidence imepotea kabisa...need an help: nakumbuka nilitahadharisha mapema...

Semedo is the right fit for RB (everybody now knows)

Nifundisheni jinsi ya ku miss match ya Barcelona ,I can't

Wakuu mpoooooo
 
Naona mabadiliko Leo;
Rakitic ana attack kama left winger ,tena sometimes anakua kwenye goal scoring position ,nadhani hii ni plan ya kufanya enforcement upande wa Coutinho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom